Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 751
Hongera Rais Samia.
Ila mawaziri acheni kutukuza sana kaz za Rais. Hapo tumia maneno ya kumuombea Mh Rais.
Kwenye elimu maafisa elimu wana shida ni kama miungu watu. MCHENGERWA fuatilia maafisa hawa ni Machawa na mamalaya. Wengine wanajiona kama kwamba hawatasitaafu.
Ile 900,000/= wanaita posho ya kisheria inawapa jeur sana mnapodai posho ya madaraka ya mwl mkuu na mratibu huyu mwl hamumuoni?
Ila mawaziri acheni kutukuza sana kaz za Rais. Hapo tumia maneno ya kumuombea Mh Rais.
Kwenye elimu maafisa elimu wana shida ni kama miungu watu. MCHENGERWA fuatilia maafisa hawa ni Machawa na mamalaya. Wengine wanajiona kama kwamba hawatasitaafu.
Ile 900,000/= wanaita posho ya kisheria inawapa jeur sana mnapodai posho ya madaraka ya mwl mkuu na mratibu huyu mwl hamumuoni?