UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM SCHOOL LF LAW
(FORMERLY FACULTY OF LAW)
STAFF SEMINAR ON THE COURT OF APPEAL DECISION IN
HON ATTORNEY GENERAL v. REVEREND...
Thursday, 01 July 2010
Na Yusuph Katimba, Dodoma
Majira
SERIKALI imesema inachunguza tuhuma zinazomwandama Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Bw. Ephraem Mrema yakiwemo madai ya kuendelea kubaki...
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Juni 30, 2010
Watakiwa kujieleza kabla ya uteuzi
Wengi wahofia kukatwa majina
WABUNGE 275 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameagizwa kuandaa taarifa za utendaji wao...
Serikali iko katika hatua za mwisho kutekeleza majaribio ya mpango wa pensheni kwa wazee wote nchini wenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea bila kujali kuwa walikuwa watumishi serikalini au...
Kwa mlioona yule mwanafunzi wa form 3 ambaye aliamua kupanda kwenye nguzo ya umeme pale Ubungo kwenye mataa akilalamika uongozi mbovu wa serikali ya Kikwete hauna demokrasia inayostahili...
NIMEONA HABARI YA MTOTO KWA RAIS KIKWETE KUPATA UWAKILI KISHA RAIS AKAFANYA SHEREHE YA KIFAMILIA IKULU TENA AKITUMIA NEMBO YA TAIFA/SERIKALI/STATE KWENYE KADI YA MWALIKOAMBAYO INAMAKOSA YA KITOTO...
Wanabodi,
Katika kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu bungeni asubihi hii, imedhihirika kumbe Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, haitumiki Zanzibar hata katika...
Najua kipindi hiki cha uchaguzi wasanii wetu wa vikaragozi watatufundisha mengi na kutupa burudani safi kuhusiana na uchaguzi kwa kutumia vikarosi. Ninaomba thread hii itumike kutunza vikaragosi...
baada ya malalamiko mengi dhidi ya mwanae Januari na kutokubalika katika jimbo la bumbuli, Mzee Makamba amedokeza huenda akaamua kuingia mwenyewe kwenye ulingo...mzee Makamba alinukuliwa akiyasema...
Mbunge wa Kawe, Rita Mlaki, ametangaza rasmi kutogombea tena jimbo la Kawe.
Rita Mlaki ametangaza kutogombea huko akiwa Bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia makadirio ya Bajeti ya Miundombinu...
mbali na wananchi wa tz kuwa katika shida kubwa katika kipindi cha kwanza cha kikwete lakini ni umati mkubwa ulijitokeza jana kumuunga mkono mjini morogoro , sijui ni kwanini watu wamefurahisha na...
VOTE HAPO JUU,
HATA KAMA SIO MWANACHAMA WA JF UNAWEZA KUPIGA KURA
Hii ni Opinion poll ya JF kuangalia nani ni mwanasiasa maarufu na mwenye mvuto.
Majina yako in alphabetical order
Limitation...
Kwa hili tutapata wabunge watendaji japo awataweza kujitenga na ufisadi. Hapa atanafutwa panya wa kumfunga paka kengele. Tafakari
source:CCM sasa yawarusha roho wabunge wake
Zion train is coming our way;
The Zion train is coming our way;
Oh, people, get on board! (you better get on board!)
Thank the Lord (praise Fari) -
I gotta catch a train, 'cause there is no...
MM (Tanzania Daima Jumatano)
MANENO yanabeba maana. Wakati mwingine maneno yanaficha maana vile vile. Lakini wakati mwingine maneno yanakwepesha maana.
Ni jukumu la mtu mwenye akili kujua...
Ndugu wanaJF, kama mwezi hivi niliangalia TV wakati wa mjadala fulani. Kwenye huo mjadala, wachangiaji walichangia, pamoja na mambo mengine, kuwa inabidi matumizi yetu ya maneno yawe chanya...
Malecela kumrudisha Sitta kwenye uspika
Bunge la Tanzania likiendelea na mikutano yake
Kizito Noya, Dodoma na Boniface Meena Dar
WAZIRI Mkuu mstaafu, John Malecela amesema atafanya kila...
Magazeti mengi leo yameandika kuwa mbunge wa Kigoma kaskazini amusifu utendaji wa muungwana na hasa jinsi alivyo shughulikia miradi ya maendeleo huko Kigoma.
Wachambuzi wa siasa za nchi yetu...
Let me be too hard on these friends of mine today (TGNP,TAMWA et al)
Hata kama leo mtapewa 50% ya uwakilishi bungeni na huo upendeleo kwa asilimia kubwa lazima utoke CCM (iwe kwa viti maalum au...
TANZANIA: Kikwete struggles with CCM factionalism
December 2, 2009
SUBJECT: Challenges facing President Jakaya Kikwete and the ruling party.
SIGNIFICANCE: November saw deep divisions between two...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.