Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Magazeti mengi leo yameandika kuwa mbunge wa Kigoma kaskazini amusifu utendaji wa muungwana na hasa jinsi alivyo shughulikia miradi ya maendeleo huko Kigoma.
Wachambuzi wa siasa za nchi yetu naombeni kujuzwa hapa:-
1.Je huyu bwana mdogo ndo kaishiwa cha kuwaambia ndugu zake kwamba five yrs yeye amelifanyia nini jimbo lake?
2.Ama ndo mambo yale yale ya Tambwe Hiza?
Wachambuzi wa siasa za nchi yetu naombeni kujuzwa hapa:-
1.Je huyu bwana mdogo ndo kaishiwa cha kuwaambia ndugu zake kwamba five yrs yeye amelifanyia nini jimbo lake?
2.Ama ndo mambo yale yale ya Tambwe Hiza?