Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani wapendwa wana JF wenzangu, Nimedata? within one month 3 cars within predent's office related to him straight have been involved in scandals of tyres and dirty fuel. Who is iresponsible to...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Na Mwandishi Wetu, Dodoma UKUMBI mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, unaotumika kwa shughuli za Bunge utavunjwa na kusukwa upya ili kuruhusu utengenezaji wa viti vya kisasa vitakavyofungwa...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Ndugu John Mnyika,naandika barua hii kuwakilisha mawazo na vilio vya wana Ubungo kuhusu matatizo ya miundombinu hususani ubovu wa barabara zao. Wana Ubungo wengi wamenituma niwasiliane nawe ili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Yaani kila inachofanya CCM bwana Marmo anakibariki na kuwa ni Sehemu ya Maisha au Kanuni za Uchaguzi, kaaazi Kweli kweli Marmo aruhusu vyama vya siasa kampeni ya nyumba kwa nyumba Na Muhibu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa yeyote menye wasifu wa bwana Christopher Winea Mushi anayetaka ubunge jimbo la hai na ambae amechaguliwa kuwa kamanda wa vijana wilaya ya Hai please, ili tuweze kumfahamu kama anastahili...
0 Reactions
71 Replies
9K Views
Hodi hodi naingia, mara ya kwanza nachangia roho yangu yafurahia , jamii forum kunukia ila naumia kwa mada hii nachangia. tunawaita wasomi, na macho yetu yapo kwao tunajisisifu nao, kumbe...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Je watanzania wanapenda kudanganywa? Je watanzania ni wavivu kweli wa kufikiri? Je watanzania hawana uwezo wa tenganisha ukweli na uwongo? Nimesukumwa na hasira kuleta maswali haya, baada ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Miaka 49 baada ya Uhuru hali ni hii.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mimi mwenzenu napata shida kuhusu majukumu ya Wabunge tunaowachagua kwenye majimbo yetu. Asilimia kubwa ya wananchi wanasema Mbunge wetu hakutufanyia hivi, mfano hakutujengea shule...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Bajeti ya magari ya Ikulu yapaa Source: Raiamwema BAJETI ya Serikali ilipitishwa juzi jioni huku matumizi kadhaa, yakiwamo ya Ikulu, yakiwa yamepanda kutoka Sh. bilioni 7.23 hadi bilioni 8.8...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
17th June 2010 Kambi ya Upinzani Bungeni imeitaka serikali kuacha visingizio kuhusu hali ya maisha inayozidi kuwa mbaya miongoni mwa wananchi wa kawaida kila kukicha, badala yake itafute mbinu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
If there is another Golden Opportunity for a true Intifada to the politics of Tanzania, then this is the perfect time for it. As Kikwete's Government is presenting its 5th budget and all...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Upande wa Serikali katika rufaa ya kesi ya kuruhusu mgombea binafsi umeshinda katika hukumu iliyosomwa leo na Mahakama ya Rufaa iliyokuwa inasikilizwa na jopo la majaji 7. More to follow
0 Reactions
144 Replies
11K Views
Ilikuwa kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Anaanza kwa kujibu swali la anaelezea vipi vitendo vya watoto kukatisha masomo na kuwa barabarani kuombaomba? Ni vitu gani vinasababisha hali hiyo?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo Chama cha Chadema jimbo la Bukoba mjini lilikutanisha viongozi wake ili kuwapa elimu ya sheria mpya za uchaguzi na mambo mengine yahusuyo uchaguzi. Ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Asalaam Aleykum, Taarifa nilizonazo ni kuwa TFF walienda benki ya NMB kuomba mkopo kwa njia ya overdraft ili waweze kuwalipa Brazil appearance fees za kuja Tanzania. Sina uhakika na exact...
0 Reactions
90 Replies
9K Views
This might be interesting MPs shortchanging voters! Thomas
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pamoja na madudu yote yanayotokea na kuhatarisha usalama sijaona hata gazeti au chombo chochote cha habari kinacholeta majibu ya RO kuelezea uzembe na matukio haya mbalimbali. Haiwezekani matukio...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Pamoja na baadhi ya watu kuanza kuamini kwamba Rostam Aziz amepungua nguvu na kwamba sasa hana uwezo wa kupanga safu katika uchaguzi wa mwaka huu kama alivyofanya huko nyuma, UKWELI ni kwamba ana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimefedheheshwa na kitendo cha kiongozi wa juu wa jeshi la polisi kutangaza nia zao za ubunge kwa tiketi ya CCM. Tibaigana, na jana nikachoka kusikia kamanda wa trafiki Kombe. Hivi hawa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom