Hao mabikira enzi zetu wanapanda wapi? Kwa Mswati wana incentive ya labda siku moja wataolewa na king. Kama darasa la tano tu bikes ni za kuhesabu, mpaka kufikia muda wa kuolewa? Times is changed
Pengine ni mjinga, najisi hutoka ndani ya mtu.Unauliza kama mjinga. Embu soma mada uielewe kwanza acha kukurupuka
Swali mujarab kabisaWao wenyewe ni bikra?
Huwezi elewa ila kama unaakili nzuri huwezi iona mada hii ni ya kipuuzi. Unadhani aya hizo alizozisema zikaandikwa alikurupuka. Ikiwa Kuhani atakiuka kanuni hizo unadhani hao anaowaongoza watakuaje?
Unajua tofauti ya sheria na mafundisho? Embu nipe sheria inayozungumzia jambo lako. Unachokisema ni fundisho la Yesu kuhusu unajisi. Na sio sheria.
Biblia pana sana na ukiwa na akili km zako unasoma juu juu ndo matokeo yke unakuja na vimada vya kipuuzi km hiki. Yaani mambo ya walawi ndo yamekufanya uje na wazo hilo. Nisawa na mambo ya watanzia upeleke ghana uanze kuwasemea upuuzi