Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 10,481
Wanawake wa siku hizi hawaoni haya kuivua hadhi yao.Bikra siku hizi eti ni degree zao
Wanawake wa siku hizi hawaoni haya kuivua hadhi yao.Bikra siku hizi eti ni degree zao
mmnh unaioverate bikira mkuu,wanazozitoa ni wanaume wenzio,wasingekuwepo watu wangebaki bikira LOL,wacha kutupia lawama wanawake….
sijui hizo percentage umezitoa wapi??mnhhh….
24+ kukutwa na bikira wachache mkuu
sio kweli inadumisha mahusiano,wengi wanachepuka hata baada ya kuoana mabikira
huu uzi wanawake wana ogopa kuchangia. uanzishwe mjadala wa kitaifa kuhusu hii kitu watu tuna tumbukia kwenye miamba walio chonga wengine
umenikumbusha story moja ya mfalme Daudi ktk biblia. Story ilisema alilaliwa na mabikra kifuani ili apate joto wakati ni mgojwa. Yaani wafalme wa zamani walipenda sifa sana.
ugumu una anzia hapo ukiuliza wanaume kumi walio zikuta watatu saba wote hama kitu.HAHAHAH!
Nani wa kuanzisha sasa ikiwa hata baadhi ya wachungaji na viongozi wa nchi walioa bila kufuata hili. Unadhani ni rahisi kupinga kitu ambacho nawe ni mmoja wapo?
Embu fikiria habari ya Muna na marehemu mtoto wake Patrick, unadhani kama Muna angeolewa akiwa bikra na Peter ungesikia ile kesi?
Samahani mleta mada wewe ni peter wa muna maana issue za kugombania watoto ziko nyingi ila wewe umekomaa na hii ya patrick-muna-peter? Mbali na hilo hii mada yako ni nzuri na ina ujumbe mzuri unaofikirisha. Kuna mda hata mimi ujikuta namchukia mwanamke wangu ninapokumbuka nilivo mkuta hana bikra. Na imani yangu ni hiyo hiyo uliyoielezea ya kuwa wanaume wote tuliochukua wanawake wasio na bikra tunaishi na wake za waume wenzetu.
Ndoa ni agano inafungwa pale tu mtu mme anapolala na mtu mke aliye na bikra. Wengine mahusiano yetu yako kijamii zaidi ili mradi tulienda makanisani/misikitini/bomani haimanishi kuwa tumefunga ndoa kiimani. Huko tunaenda tu ili kupata uhalali wa kuishi kwenye jamii pasipo kusumbuliwa ila kwa Mungu mwanaume halali wa ndoa ni yule aliyetoa bikra ya mwanamke husika - hao ndio wanafunga lile agano halisi la ndoa. Mengine tunayofanya ya kupelekana makanisani nk ni utaratibu tu wa hapa duniani ili jamii iweze kuwa tulivu kidogo.
Mwanaume ana bikira?bikira kwa wanawake ndio ina baraka,wanaume je bikra zao hazileti baraka au kudumisha mahusiano???
waliooa wanawake bikira hajawahi kuchepuka?
Kwa nini wawe wachache?mmnh unaioverate bikira mkuu,wanazozitoa ni wanaume wenzio,wasingekuwepo watu wangebaki bikira LOL,wacha kutupia lawama wanawake….
sijui hizo percentage umezitoa wapi??mnhhh….
24+ kukutwa na bikira wachache mkuu
sio kweli inadumisha mahusiano,wengi wanachepuka hata baada ya kuoana mabikira
Hongera zako,alikuwa ana miaka mingapi?Nimembikira mama C wangu na nimeweka ndani,,nilinogewa na ile seal niliyoikuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana mi nilishasema ntaoa bikra,nikikosa basi sitaoa kabisa maisha yote
Sent using Jamii Forums mobile app