Mambo yenu hata siwaelewagi nabaki kuwashangaa tu👀👀
2974058_JamiiForums1283450169.jpg
 
Oyooo!!

Mwanamke uliyemtoa Bikra 90% wanausikivu, utiifu, upendo wa dhati yote.
Na ukitaka uone Raha ya mwanamke basi is mwanamke Bikra, utajiona mfalme, mwanaume KAMILi.

Lakini ni ngumu Kwa mwanamke gumegume kukutii, kukusikiliza, kukuheshimu, na kukupenda Kwa dhati yote.

Usione watu wanalalamika wanawake WA siku hizi sio watiifu, wajeuri na Malaya Malaya, chunguza 90% hawakuolewa na Bikra zao.

Kadiri mwanamke anavyolalwa na wanaume ndivyo anavyokuwa na roho ya kishenzi.

Huwezi fananisha mwanamke aliyelala na Mwanaume mmoja na Yule aliyelala na wanaume kuanzia watano mpaka kumi.

Hata mtazamo wao ni tofauti na namna wanavyokuchukulia,

OA mwanamke Bikra ufaidi Maisha.

Maneno ya magume gume yasikuchanganye ndivyo walivyo.

Wewe mwanamke amelala na wanaume kuanzia watatu sijui watano bado umuoe na umuite mke Kama sio kulogwa huko ni nini?

Mapovu ya magume gume siyataki leo!!
Kijana unaonekana una mke mmoja tu halafu huwajui wanawake.

Mwanamke hawi na mtiifu kwa sababu ameolewa akiwa bikra.

Utiifu ni katika tabia njema na kujitambua,sasa uhusiano na bikra sijui una utoa wapi ?
 
Hata kama wewe ni bamia, atajua tu wanaume wote wako hivyo, utaheshimiwa. Ila chunga sana wambea watambadilisha.
 
Oyooo!!

Mwanamke uliyemtoa Bikra 90% wanausikivu, utiifu, upendo wa dhati yote.
Na ukitaka uone Raha ya mwanamke basi is mwanamke Bikra, utajiona mfalme, mwanaume KAMILi.

Lakini ni ngumu Kwa mwanamke gumegume kukutii, kukusikiliza, kukuheshimu, na kukupenda Kwa dhati yote.

Usione watu wanalalamika wanawake WA siku hizi sio watiifu, wajeuri na Malaya Malaya, chunguza 90% hawakuolewa na Bikra zao.

Kadiri mwanamke anavyolalwa na wanaume ndivyo anavyokuwa na roho ya kishenzi.

Huwezi fananisha mwanamke aliyelala na Mwanaume mmoja na Yule aliyelala na wanaume kuanzia watano mpaka kumi.

Hata mtazamo wao ni tofauti na namna wanavyokuchukulia,

OA mwanamke Bikra ufaidi Maisha.

Maneno ya magume gume yasikuchanganye ndivyo walivyo.

Wewe mwanamke amelala na wanaume kuanzia watatu sijui watano bado umuoe na umuite mke Kama sio kulogwa huko ni nini?

Mapovu ya magume gume siyataki leo!!
Huu ndo Ukweli mtupu japo watakuja wenye Kupinga wasioelewa mambo japo kuwa wao wanadhani Wanaelewa, Bikra ina maana kubwa sana

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Bikra haina uhusiano na uaminifu wa mwanamke,update bahati awe na sifa zote.
Wapo waliooa bikra na wanasumbuka na ndoa zao
Haiwezekani ulazimishe kuoa bikra halafu mwanaume uwe malaya
Umemuelewa alipo sema sema 90% au ulikua na ugomvi na somo la hesabu?
 
Sawa.

Ila mkuu kwa huo umri hawa madogo wanakuwa Bado wanamambo mengi wanataka kujaribu, kumuweka ndani mwanamke wa miaka 18 ni hatari San wengi wqo japo sio wote akili zao znakuwa Bado hazijakomaa.

Ni bora kuoa 26 bikira kidogo huyu kwa huo umri unaweza sema kakwepa mishale mingi sana na unaweza muamini ila sio hivo vya 18 of age
Dawa yao ni kuwapiga pumbu kipitiliza,atatulizwa na rungu tu.Nakwambia hivi mwanamke mkorofi awe mtoto au mtu mzima mboo itamtuliza,simamia ukucha uone km atakusumbua.
 
Back
Top Bottom