Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,670
- 34,369
Huo ndo ukweli Mimi sitaoa had nipate mwanamke bikra , ninae dem ananipenda sana hata kuwe na mvua atanitafuta bila kujali ananyeshewa kias gan lakin sijamkuta bikra Mimi sina mapenzi nae kwakua najua tayari alishapendana na mtu mwngne kabla yangu had akakubal kumpa bikra mi naona ni kama ananiigizia kunipenda tu sina malengo nae yoyote sijawahi kuanza kumtafuta kwa sms wala kumpigia simu siku zote anaanza yeye
ila nikikumbuka sijamkuta bikra namchukia balaa maana nilitegemea ntamkuta bikra maana ni mtt wa dinidini sana
ila nikikumbuka sijamkuta bikra namchukia balaa maana nilitegemea ntamkuta bikra maana ni mtt wa dinidini sana