Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,040
- 3,286
😊 mwanamke akijitunza, mwanaume atafanya ngono na nani!?... 😁 stick on it dude...Alaa kwahiyo Point yako ni kuwa wanawake wajitunze ila wanaume ndiyo wafanye ngono siyo
😊 mwanamke akijitunza, mwanaume atafanya ngono na nani!?... 😁 stick on it dude...Alaa kwahiyo Point yako ni kuwa wanawake wajitunze ila wanaume ndiyo wafanye ngono siyo
Mkuu hadi nimekuuliza hivyo ni kwamba nimeshasoma hizo threads zako sana tu na nimegundua bado haujui maana ya bikira hivyo bado haujui unachokiongelea... Itoshe tu kusema kwamba huwa unaandika kwa mihemko na siyo facts...Soma hapa kisha urudi>>>>>> Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra...
Akikujibu nishitue.Zama hizi bikra sio inshu sana ingawa ina umuhimu wake,
Kunawatu bikra zao zimetolewa kwa misuko suko kama kubakwa, huyu tunamuweka kundi gani!?
swala la kuoa bikra kwa lango la kutulia kwende ndoa tunajidanganya kama ana huruka ya kuchapwa anchapwa haijalishi ulitoa bikra au laah!
wangapi walitoa bikra na bdo wakasalitiwa n wapenzi au wake zao!?
Bikra ni ugwiji kwa sisi wanaume kua ndio mtu first kumjua lakini kwa mwanamke ni tunu kwa mwanaume lkn ni pale unpokuja kutunuku mtu aise sahihi kwake au wewe mwanaume unanyandua BK ya mtu kwa tamaa tu
jamii ikandiwe kotekote
Hata mimi nimemwelewa sana na nilitaka aje hapo hapo ila sasa mkuu unamwambiaje mwanamke ajitunze halafu unamwacha mwanaume aendelee kutongoza tu hovyo? Unafikiri wanawake wataweza kukwepa vishawishi vyote vya kutongozwa ikiwa wanaume wataendelea kutongoza hovyo?Nilichoelewa mimi ni kwamba, kama wanawake wakiwa na uwezo wa kujitunza unadhani wanaume tungefanya ngono na nani?! Uzinzi utatokea wapi..
mwanamke akijitunza, mwanaume atafanya ngono na nani!?... stick on it dude...
Hata mimi nimemwelewa sana na nilitaka aje hapo hapo ila sasa mkuu unamwambiaje mwanamke ajitunze halafu unamwacha mwanaume aendelee kutongoza tu hovyo? Unafikiri wanawake wataweza kukwepa vishawishi vyote vya kutongozwa ikiwa wanaume wataendelea kutongoza hovyo?
Ndiyo maana tunasema haya mambo mnapoyapigia kelele hakikisheni mnayapigia kelele kwa pande zote mbili maana ngono inahusisha jinsia zote mbili! Tusiongelee haya mambo as if wanaume wanafanya ngono na viumbe vingine na wanawake wanafanya ngono na viumbe vingine!
WaZee wa Neema. We uaaaAa,. Baadae unaokolewa kwa nEEmaSifa kuu mbili za mke bora ni
1) Mcha Mungu
2) Mchapa kazi
Note ; ukiokoka unazaliwa mara ya pili unafanywa kuwa kiumbe kipya.
Hahahahhah nakubali BossWaZee wa Neema. We uaaaAa,. Baadae unaokolewa kwa nEEma
Hahaha! Huwa najiuliza huyu Mungu sio yule yule wa Jana leo na Hata milele!? Inakuwaje anaanza kwa na double standards!?Hahahahhah nakubali Boss
Noo ss ndio huwa hatuelewi Bible iko standard kabisaHahaha! Huwa najiuliza huyu Mungu sio yule yule wa Jana leo na Hata milele!? Inakuwaje anaanza kwa na double standards!?
Maximum iwe laki mbili unusu
kwa wastani iwe ngapi kwa asiye na bikira
Kumbe ni ss!Noo ss ndio huwa hatuelewi Bible iko standard kabisa
Umeambiwa unaruhusiwa kumkataa mwanaume asikuoe endapo haja kutoa bikra tu. Koz bikra inayo elezwa hapa anayo mwamamke tu.Tunaruhusiwa kukataa wanaume wasio na bikra? Since tumeenda kiroho zaidi?
Halafu anataka mahari iwe 2M
Kweli wanaume tumeubwa matesoHalafu anataka mahari iwe 2M