huyo mzee wasiwe wan mhoji ...ameshachoka mwili,roho na akili!
Mimi huwa simwelewi kabisa zaidi ya kusoma vitabu vyake (Ili nijibie mitihani)


Mzigo wa mwenzako ni ganda la usufi

Sisi tulioko hapa hatuwezi kumsahau Laanatullahi Mkapa

 
Kumbu kumbu
 

Attachments

  • IMG_3150.MP4
    2.6 MB
  • 11D610AE-47F1-48E3-9CE6-DDCB4D933716.jpeg
    11D610AE-47F1-48E3-9CE6-DDCB4D933716.jpeg
    62.2 KB · Views: 3
  • 8EAD2CE1-E895-44E1-A677-264B99D6A42E.jpeg
    8EAD2CE1-E895-44E1-A677-264B99D6A42E.jpeg
    21.8 KB · Views: 4
Tangu asubuhi nimekuwa nikifuatilia coverage ya kuifiwa na kiongozi wetu mstaafa mh. Benjamin William Mkapa kupitia ITV.

Ilipofika takriban saa saba na dakika kumi na tatu, ITV ilikuwa ikimhoji mh. Msekwa kufuatana na kifo hicho. Cha kushangaza mheshimiwa huyo alianza kuongelea maandamano baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 katika mwelekeo ambao ungefufua vidonda vilivyopona.
hongera sana sana ITV kwa kukatisha maongezi hayo.

Marehemu alikuwa jasiri sana hadi akasema mauaji yale yalimsononesha sana. Naamini hata familia zilizoathirika zimesamehe na sasa tu wamoja. kuongelea maandamano yale kwa jinsi alivyoanza mh. Msekwa ilikuwa ni hatari.
Waandishi wa habari wengi nao ni wapumbavu, mtamhoji vipi babu kama yule ambaye kumbukumbu nyingi zinapotea?
 
Alifikiri hatokufa, sasa akakutatane na aliowauwa.
Mungu amlipe anachostahili.
Kila nafsi itaonja mauti, tuwe waadalifu tunapotunukiwa neema haswaa, ya afya, utajiri & power, mauti ndio mwisho wetu na tutalipwa kwa tulichopanda.
hivi hiki kijamaa cha kisukuma nacho kuna siku kitakufa kweli?
 
Taifa la Tanzania limeingia katika maombolezo ya kitaifa ya siku 7 kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa. Katika hizo siku saba za maombolezo inategemewa mazishi yake yatafanyika.

Marehemu Rais mstaafu Benjamini Mkapa kiasili ni mwenyeji wa mkoa wa Mtwara (Ndanda/Masasi) mahali alipozaliwa na kukulia kisha kuhamia Dar ambako maisha yake yalijikita na mara alipostaafu akaenda kuishi Tanga (Lushoto) mahali ambapo alipapenda zaidi.

Kwa sasa amefariki dunia, kitendawili ni wapi atakwenda kuzikwa. Na huu ndio wakati muafaka wa kujadili, kutafakari na kushauri.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Taifa la Tanzania limeingia katika maombolezo ya kitaifa ya siku 7 kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa. Katika hizo siku saba za maombolezo inategemewa mazishi yake yatafanyika...

Nitashangaa, Nitasikitika na hata Kutowaelewa wale Wahusika na wana Familia wake kama hawatamzika Mzee Wetu Mkapa Kwao huko Mtwara.
 
Alifikiri hatokufa, sasa akakutatane na aliowauwa. Mungu amlipe anachostahili.
Kila nafsi itaonja mauti, tuwe waadalifu tunapotunukiwa neema haswaa, ya afya, utajiri & power, mauti ndio mwisho wetu na tutalipwa kwa tulichopanda.
Unaeza shangaa hakutani nao...au akakutana naao n "akawaua tena"
 
Back
Top Bottom