Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,302
- 24,139
Ndiye Rais aliyeiunda Taasisi ya TANROADS kama ilivyo leo na vile vile TRA. Miaka ya zamani kazi zote za ujenzi wa barabara ziliaminika kuwa zinafanywa na wazungu.Mzee Benjamin Mkapa Tunakukumbuka Kwa Kutuwekea Kasi na Viwango Serikalini. Tutakukumbuka kwa Maono yako BORA YA KUKUZA uchumi wa taifa letu pendwa...
R.I.P
Mkapa aliondoa dhana hiyo.