Je,
1. Wazanaki wanakotoka viongozi mbalimbali ikiwemo baba wa taifa Mwalimu Nyerere ni 100% Watanzania?
2. Wamakuwa kutoka mkoani Mtwara ambako pia anatoka aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Mkapa ni 100% Watanzania?
3. Kabila la Wasubi atokalo aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Magufuli na ambalo pia ni la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati nao ni Watanzania 100%?
4. Kabila la analotoka Makamu wa Rais wa sasa Dr. Mpango ni 100% Watanzania?
5. Kabila la CDF Gen. Mkunda ni 100% la Watanzania?
6. Hayati Baba wa Taifa alikosea kusema na hata kukemea vikali Watanzania kuanza kubaguana kwa makabila na mataifa watokayo kiasili?
7. Kwanini hili limetokea sasa wakati Tanzania ikielekea katika chaguzi za Serikali ya mitaa mwaka huu na ule uchaguzi mkuu wa mwakani?
Tafadhali Rais Samia na CDF Gen. Mkunda nijibuni haraka haya maswali yangu ili nami niwajibu upesi walionituma kwani wako hewani sasa wanangojea.
1. Wazanaki wanakotoka viongozi mbalimbali ikiwemo baba wa taifa Mwalimu Nyerere ni 100% Watanzania?
2. Wamakuwa kutoka mkoani Mtwara ambako pia anatoka aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Mkapa ni 100% Watanzania?
3. Kabila la Wasubi atokalo aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Magufuli na ambalo pia ni la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati nao ni Watanzania 100%?
4. Kabila la analotoka Makamu wa Rais wa sasa Dr. Mpango ni 100% Watanzania?
5. Kabila la CDF Gen. Mkunda ni 100% la Watanzania?
6. Hayati Baba wa Taifa alikosea kusema na hata kukemea vikali Watanzania kuanza kubaguana kwa makabila na mataifa watokayo kiasili?
7. Kwanini hili limetokea sasa wakati Tanzania ikielekea katika chaguzi za Serikali ya mitaa mwaka huu na ule uchaguzi mkuu wa mwakani?
Tafadhali Rais Samia na CDF Gen. Mkunda nijibuni haraka haya maswali yangu ili nami niwajibu upesi walionituma kwani wako hewani sasa wanangojea.