Clepatina ana point huyu, haujamjibuKila kitu duniani kuna jinsia moja anakibeba kuliko kingine hamna jipya. Sawa na ukiwa na umasikini, atabebeshwa zaidi mwanaume kuliko mwanamke lakini ujue tumepata elimu sawa na chances sawa za kutafuta kipato na maisha, ila kwasababu mwanaume ndio provider na ndiyo thamani yake hiyo lawama haiepukiki vivyohivyo mke ni nurturer, her purity na kujitunza kwake ndio thamani yake. Hata upigane mara 100 hutaweza badilisha, jifunze kuishi nayo maana hata wanaume wamebeba lawama zao. Dunia uwanja wa vita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo angu mambo vp unanitenga siku izi..Single mother anatengenezwa na mwanaume
Uzuri mimi sina shida ya ndoa kutoka JF ndo mana siogopi kutoa mada zitakazonipunguzia points za kupata wachumba hapa!Clepatina waoaji ni wachache sana. Humu ndani kuna kampeni ya kataa ndoa 🤣 unafikiri unaweza ukawaelesha?
Shaloom.
Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa.
H
Hao wanaotegesha mimba ni wapuuzi ila pia ikiwapendeza msiache damu zenu zikateseka kwa ujinga wa mama zao🙏🙏Hadithi ndefu ila inaonekana msimamo wa dada uheshimiwe maana alirubuniwa kihuni na kuleweshwa. Nyie mnaotutegea mimba tutawaacha na watoto wenu
Sio kweli kwamba umenielewa.Nimekuelewa.
Im not talking about past issues mkuu.
Im talking about what is going on in our society.
Naongelea present tena present continuous issue.
Mimi naongelea single maza wote kuonekana hawafai.
Naomba unijibu mkuu.
Wewe unaamini kabisa na moyo na akili zako kuwa hakuna single maza hata mmoja anayeweza kuwa mke mwema?
Kwani kama mimi sio albino nikikemea albino kuuliwa nakua nimetoa malalamiko yasiyo na msingi?B
Basi kama unaamini kuwa hamna mtu anayeshushwa thamani kwahivyo vitu, hii mada hukutakiwa kuileta huku. Nakama unajua kuwa kuna single mums pia wanaolewa pia hii mada hukutakiwa kuileta, maana unalalamika huku ukijua malalamiko hayo hayana msingi. Hayo ndiyo maisha yalivyo, hakuna jinsia inayokula mema ya nchi wote tunateseka kwakuwa tubinadamu. Never blame your problem on anyone, they are yours and only for you, maneno ya watu hayauwii.
Naomba tufunge mjadala umemaliza Kila kitu...Sio kweli kwamba umenielewa.
Mdada A amezaa na jamaa B, Kisha wakaachana kwasababu zozote wanazozijua wao. Huyu mdada A akakutana na jamaa C wakaingia kwenye mahusiano. In this scenario Jamaa B ni past, na Jamaa C ni present.
Kumbuka huyu jamaa B atakuwa anaulizia issue za mtoto wake, so wakati huyu mdada A akiwa anadili present continuous and future life with jamaa C, huyu jamaa B atakuwa anamdrag kwenye past life, at the same time watakuwa na present life, maana Wana mtoto pamoja ambae anaendelea kuwepo.
So, ukisha zaa na mtu mwingine (iwe kwa jinsia zote) past haiwezi kuwa past tena.
Tukirudi kwenye swali lako, sio kwamba single mothers wote ni wabaya, maana hata nyie ambao hamna watoto, mpo ambao ni vichomi kuliko maelezo. So kuwa mke mwema, ni mtu mwenyewe jinsi alivyo.
Jinsi nature ilivyo, wanawake mnawapenda sana watoto wenu kuliko kitu chochote, na hapo ndio weakness inapoanzia.
Hawa Singo mama ni wa kuogopa.Mwanamke kujitunza, shida ya wanawake wa kisasa ni kushindana na wanaume, hili nimepitia kabisaa.
Sababu kuu za kujikuta single maza;
i. kujitegesha ashike mimba makusudi bila kupanga akidhani ndio tiketi ya kuolewa hata kama hakidhi vigezo UJINGA
ii. kuwaringia na kuwakatalia wenye nia ya dhati kuoa, kwa sababu hawako fit financially, mwisho anaangukia kwa mwenye nazo ambaye ni tapeli mpita njia TAMAA
iii. kujiona mzuri sana kwamba you want something big instead of something you deserve EGO
iv. ugumu wa maisha mpaka kuamua kubeba ujauzito ili matunzo ya mtoto ya kupe unafuu wamaisha UMASKINI
v. akili bendera, kushauriwa na mashosti, limbwata (kuroga), kucheat, jeuri, mdomo domo, katika haya utazaa kila mkoa ila utaachika tu UAMINIFU ZERO
Conditionaly usingo maza ni laana ya kurithi (mfano ninao, japo sitomwachia mtoto ntamchukua nimlee mimi singo faza ila ntamwachia upumbavu wake na laana aliyorithi)
Labda kama alishika mimba bahati mbaya na baba hamjui/ alimwongopea au amekataa mimba, kidogo kuna excuse lakini mwisho wa siku ni kiherehere chake.
Kwa sababu hizo kuoa single maza ni kujitia mikosi, labda kama baba mtoto alifariki hiyo ni thawabu mbele za Mungu.
I didn't mean you are looking for a partner here. I just said these men who we see campaigning for no marriage they won't understand what you are saying. What you trying to explain hold no water🤐 in other words you are screaming to deaf people. Au niseme tu ukimpigia mbuzi ngoma atacheza?😀Uzuri mimi sina shida ya ndoa kutoka JF ndo mana siogopi kutoa mada zitakazonipunguzia points za kupata wachumba hapa!
Wanaotaka wachumba hapa wasiige mada zangu.
Mimi niko hapa kufurahi,kujifunza na kusema vitu ambavyo wanawake wanaotafuta ndoa humu wanaogopa kusema.
Trust me wanawake wenzangu singo mazas na non single mazas wamefurahia mimi kuomba muache huu unyanyapaaji ila ndo wanaogopa kunipigia vigelegele watakosa wachumba🤣.
Najua ni ngumu kuwaelewesha ila nimeona kuliko kuongelea mada pendwa kama 3some,misambwanda na kujitongozesha nikaona acha JMos yangu niitumie kuanzisha uzi wa kuwatetea wanawake wenzangu.
Hata wasiponielewa ila nina furahi kufanya nilichofanya😍🤩
Huo ni msemo tu, au kauli jumuishi. Ni kama ambavyo wanawake huwa mnasema "wanaume wote ni mbwa" kwani huwa ni kweli? . Mbona ndoa zinafungwa kila kukicha?Umenena vema Gily .
Jishangazi la Analyse na hao wanaotegesha mimba wakidhani wataolewa hao ni wapuuzi na wajinga ila pamoja na kujua kuwa wapo wa hivyo ila pia tunajua wapo waliobakwa na wapo walionasa mimba kwa bahati mbaya wakaamua kutozitoa.
Naomba uniambie Gily unafikiri mwanamke aliyekua singo maza kwa kubakwa ni sawa kunyanyapaliwa?
Ni sawa akaitwa scam?
Ni sawa akaonekana hafai kupata uhusiano wa kudumu?
Ni sawa aonekane anafaa kugonga na kukimbiwa?
Hili ni jambo hema sana tena uzuri ukiwa na mbegu safi. Nina mbegu safi kabisa 😀Ukoo wetu tupo wachache sana na sisi wanaume tusipo pambana ukoo unaweza kupotea huko mbeleni....
Mimi pia naitaji watoto kama kumi na kuendelea....😊😊
Naomba unikumbushe tafadhali!
Kila kitu duniani kuna jinsia moja anakibeba kuliko kingine hamna jipya. Sawa na ukiwa na umasikini, atabebeshwa zaidi mwanaume kuliko mwanamke lakini ujue tumepata elimu sawa na chances sawa za kutafuta kipato na maisha, ila kwasababu mwanaume ndio provider na ndiyo thamani yake hiyo lawama haiepukiki vivyohivyo mke ni nurturer, her purity na kujitunza kwake ndio thamani yake. Hata upigane mara 100 hutaweza badilisha, jifunze kuishi nayo maana hata wanaume wamebeba lawama zao. Dunia uwanja wa vita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inawezekana wewe ni mwema na una nia njema kabisa ila tatizo ni mambo yanayowahusu single mazaz tunayoyashuhudia huku mitaani ndio tatizo.Uzuri mimi sina shida ya ndoa kutoka JF ndo mana siogopi kutoa mada zitakazonipunguzia points za kupata wachumba hapa!
Wanaotaka wachumba hapa wasiige mada zangu.
Mimi niko hapa kufurahi,kujifunza na kusema vitu ambavyo wanawake wanaotafuta ndoa humu wanaogopa kusema.
Trust me wanawake wenzangu singo mazas na non single mazas wamefurahia mimi kuomba muache huu unyanyapaaji ila ndo wanaogopa kunipigia vigelegele watakosa wachumba🤣.
Najua ni ngumu kuwaelewesha ila nimeona kuliko kuongelea mada pendwa kama 3some,misambwanda na kujitongozesha nikaona acha JMos yangu niitumie kuanzisha uzi wa kuwatetea wanawake wenzangu.
Hata wasiponielewa ila nina furahi kufanya nilichofanya😍🤩
Mama wa wanaume 95% hawawezi support watoto wao kuoa single mothersBorn & raised by singomaza ila huwa hataki kusikia kijana wake yeyote anaoa singomaza, ukimuuliza why, anajibu “Watoto wote wazuri hawa why ukaoe mke wa mtu mali pochocho”