Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Zamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu.
Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana.
Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila kula vizuri, kunywa maji mengi n.k?
Lakini mbona wazee wetu wanakunywa pombe miaka nenda rudi lakini hawasumbuliwi na magonjwa haya kama vijana wa leo?
Madaktari wameshindwa kabisa kuthibiti vifo vya magonjwa haya kiasi kwamba mtu akishaumwa tu haya magonjwa anahesabu kifo wakati wowote.
Kwanini yameshindikana?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana.
Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila kula vizuri, kunywa maji mengi n.k?
Lakini mbona wazee wetu wanakunywa pombe miaka nenda rudi lakini hawasumbuliwi na magonjwa haya kama vijana wa leo?
Madaktari wameshindwa kabisa kuthibiti vifo vya magonjwa haya kiasi kwamba mtu akishaumwa tu haya magonjwa anahesabu kifo wakati wowote.
Kwanini yameshindikana?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app