ini

The INI file format is an informal standard for configuration files of computing platforms and software. INI files are simple text files with a basic structure composed of sections, properties, and values.In MS-DOS and 16-bit Microsoft Windows platforms up through Windows ME, the INI file served as the primary mechanism to configure operating system and installed applications features, such as device drivers, fonts, startup launchers, and things that needed to be initialized in booting Windows. INI files were also generally used by applications to store their individual settings.Starting with Windows NT, Microsoft favored the use of the registry, and began to steer developers away from using INI files for configuration. All subsequent versions of Windows have used the Windows Registry for system configuration, and applications built on the .NET Framework use special XML .config files. The APIs still exist in Windows, however, and developers may still use them.
The name "INI file" comes from the commonly used filename extension .INI, which stands for "initialization". Other common initialization file extensions are .CFG, .conf, and .TXT, especially CONFIG.SYS and 'config.txt' occurrences.
Linux and Unix systems also use a similar file format for system configuration. In addition, platform-agnostic software may use this file format for configuration. It is human-readable and simple to parse, so it is a usable format for configuration files that do not require much greater complexity.
Git configuration files are similar to INI files.For example, the platform-agnostic PHP uses the INI format for its "php.ini" configuration file in both Windows and Linux systems.Desktop.ini files determine how a directory is displayed by Windows, such as the icon used by that directory.

View More On Wikipedia.org
  1. ndege JOHN

    WHO: Watu 3500 hufariki kwa homa ya ini kila siku

    Shirika la Afya Ulimwenguni WHO limeonya kuwa zaidi ya watu 3,500 hufariki kutokana na virusi vya homa ya ini kila siku na kuongeza idadi ya wanaoathirika duniani. Kulingana na ripoti ya WHO iliyotolewa sanjari na Mkutano wa Kilele wa Ugonjwa wa homa ya Ini utakaofanyika nchini Ureno wiki hii...
  2. Lady Whistledown

    Magonjwa ya Koo, Tumbo, Figo na Ini husababisha mdomo kunuka

    Je Wajua? Baadhi ya Magonjwa ya Koo, Njia ya Hewa, Mfumo wa Tumbo, Figo na Kisukari husababisha Kinywa kutoa Harufu Mbaya Watu wenye Kisukari wanaweza kuwa na kiwango kikubwa cha Sukari kwenye mate yao, ambayo husababisha bakteria wa mdomoni kuzalisha Kemikali zinazosababisha harufu mbaya...
  3. Love Doctor

    Madhara mafuta ya breki(Brake Fluid)

    Habari Madaktari na wafamasia, watu wengi tumekuwa tukitumia mafuta ya breki kujitibu mba. Nimepita mahali nimesikia yana madhara. Naomba kujua yana madhara gani?
  4. LIKUD

    TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

    Habari ya kwanza niliyokutana nayo leo kwenye mitandao ya kijamii inahusu kifo cha mwanadada Mwimbaji Bulelwa Makutukana ( Zahara) kilicho tokea jana huko Johanesburg baada ya kuugua ini kwa muda mfupi. Zahara amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 35. Binafsi nitamkumbuka sana Zahara kwa...
  5. Rwaz

    Kupima tezidume, UTI sugu, bawasiri, figo, ini, kibofu, utumbo...dar

    Nawasalimu nyote kwa nguvu za huyo atiaye uhai. Kwa mtanzania wa kawaida asiye na bima ndan ya dar wapi pa uhakika kupima vipimo tajwa hapo juu kwa wakat mmoja? Bajet yake ni sh ngap? Mwenye mzaha katika afya aniache kwa leo. Natanguliza shukran
  6. JanguKamaJangu

    Hospitali ya Taifa Muhimbili kuanza huduma ya upandikizaji wa Ini ifikapo Mwaka 2025

    Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) itaanzisha huduma ya upandikizaji Ini ifikapo mwaka 2025 ikiwa ni mwendelezo wa azma ya Serikali kuhakikisha kwamba huduma za ubingwa bobezi zinapatikana nchini. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Prof. Mohamed Janabi wakati akifungua mafunzo ya...
  7. M

    Tatizo la saratani ya ini

    Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo...
  8. R

    Maadhimisho ya Siku ya Homa ya Ini Duniani: Una ufahamu wowote juu ya ugonjwa huu na jinsi ya kujikinga?

    Siku ya Ini Duniani huadhimishwa tarehe 28 Julai ya kila mwaka, leko kuu ikiwa ni kuelimisha na kuikumbusha jamii katika athari za ugonjwa huu, jinsi unavyoambukizwa na namna ya kujikinga. Takwimu za Shirika la Afya Duniani kupitia taarifa ya Homa ya Ini yam waka 2021 zinaonesha kuwa, mwaka...
  9. BARD AI

    Ripoti Muhimbili: Wanaume 4 hadi 8 wanaishi na Maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini

    Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. John Rwegasha ametoa taarifa hiyo na kuongeza kuwa idadi hiyo inaweza kuwa zaidi kwa makundi hatarishi wakiwemo wanaojidunga Dawa za, Kulevya Aidha kwa mujibu wa Takwimu za MNH, Saratani ya Ini ni ya pili kwa...
  10. M

    Mazoezi ni tiba ya moyo, ini na mfumo wa uzazi

    Nilikuwa na dalili za ugonjwa wa Moyo na Ini ambapo dalili hizo zilinianza nikiwa na miaka 42 japo ninaamini haikuwa kwa kiwango kikubwa. Kadiri siku na miaka ilivyoongezeka ndivyo hali hiyo ilivyozidi kuongezeka hadi kufikia kupatwa na mabadiliko mengine ambayo nilikuwa sina hasa la kupunguwa...
  11. isaya febu

    Yajue Maambukizi ya Homa ya Ini na Jinsi ya Kujikinga

    Ini ni kiungo muhimu sana ndani ya miili yetu, hufanya kazi zaidi ya 500 ; moja ya kazi ni kuchuja na kuondoa sumu kutoka kwenye damu. Kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumizi ya pombe kupita kiasi, sumu kwenye damu au maambukizi; ini hupata shida na kuvimba na kushindwa kufanya kazi...
  12. Melki the Storyteller

    UZUSHI Kunyonya lips za mwanamke aliyepaka lipshine hupelekea ugonjwa wa Homa ya Ini

    Hivi kuna ukweli ndani yake kuwa wanaume wanaonyonya lips za wanawake waliopaka lipshine, hupelekea kupatwa na Hepatisis B?
  13. Sildenafil Citrate

    Visa vya Saratani ya Ini Kuongezeka kwa asilimia 55 ifikapo mwaka 2040

    Idadi ya watu wanaougua au kufariki kwa ugonjwa wa saratani ya Ini wataongezeka kwa hadi zaidi ya asilimia 55 ya kiwango cha sasa ifikapo mwaka 2040 iwapo jitihada za haraka hazitafanyika kuikabili changamoto hii. Watu 905,700 walibainika kuwa na ugonjwa huu mwaka 2020 pekee huku wengine...
  14. beth

    Julai 28: Siku ya Homa ya Ini Duniani (World Hepatitis Day)

    Homa ya Ini (Hepatitis) ni Ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya aina mbalimbali. Virusi vinavyosababisha Homa Ya Ini vipo katika makundi matano: A, B, C, D na E Maadhimisho ya Mwaka 2022 yamejikita katika uhitaji wa kuleta Huduma za Homa ya Ini karibu zaidi na Vituo vya Afya na Jamii ili...
  15. M

    Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

    Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya. Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani. Sasa huyu...
  16. JanguKamaJangu

    Mambo yanayokuweka katika hatari ya kuugua ugonjwa wa Ini

    Virusi vya homa ya ini vipo vya aina 5 (A, B, C, D,E). Aina mbili za virusi (B Na C) zimetajwa kuwa ndio sababu kuu za ugonjwa wa homa ya ini ambayo husambaa kupitia damu na majimaji ya mwili. Wataalamu wa afya wanasema virusi hivi vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza mtu mara 100 zaidi ya...
  17. Mc Charles Turuka

    Naomba msaada wa tiba ya homa ya ini

    TIBA YA HOMA YA INI NI IPI? Ndugu zangu, Wanajukwaa wenzangu Kuna Ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na Maumivu ya Mbavu za Kulia pamoja na Kukojoa Mkojo wenye rangi ya Kahawia na Kutokwa na Jasho Jingi wakati wa Usiku. Baada ya vipimo alionekana ana hepatitis B na Tayari ini limeshaanza...
  18. Lager

    Chanjo ya Homa ya Ini ina gharama au ni bure?

    Nilikuwa napenda kujua kuhusu chanjo ya homa ya ini kama inatolewa bure ama inagharama. Msaada wenu tafadhari.
  19. Hivi punde

    Kwanini magonjwa ya figo, ini pamoja na mapafu yanaondoa vijana wengi sana?

    Zamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu. Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana. Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila...
Back
Top Bottom