Covid: India on UK travel red list as Covid crisis grows
Coronavirus pandemic
A medic tests a bus passenger in Jaipur, Rajasthan, India, on Thursday
India has joined the UK's travel red list - effectively banning travel - as a deadly second wave of infections sweeps the country.
British and...
VISA FREE DESTINATIONS FOR A TANZANIAN
5 February 2016
Sakina Shabbir Manji
Most countries require a Visa with your Tanzanian passport in order to enter. However there are some visa free countries that will allow you to enter their premises without a visa or will provide you with one as soon as...
Inapofika wakati mpenzi wako anataka kuolewa au anataka kuoa na wewe ukijiangalia hauko tiyali kutokana sababu mbalimbali labda bado unasoma,hujajipanga vizuli, au kuna mambo unataka uyaweke sawa ndio uowee
Je, ni sahihi kuingia kwenye ndoa kwa hofu ya kuogopa kumpoteza umpendaye na ukasitisha...
Wakuu habari
Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics.
Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika...
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri wakuu,
Nisipoteze muda kuna hili swala limetokea pahali kidogo limenishangaza bada ya mzee mmoja kuchachama kwa ukali juu ya tabia ambayo binafsi sijaona kama ni tatizo japo si mumini wa hiyo tabia hapana.
Mzee alikuwa mbogo na kudai kijana hayaheshimu maliwato...
Bwawa la Grand Renaissance Dam ambalo limekuwa likijengwa nchini Ethiopia kwa zaidi ya miaka 10 sasa linatajwa kuwa ndio litakuwa kubwa kabisa Afrika kwa sasa.
Bwawa hili limefikia hatua ya ujazaji maji, na Misri analalamika kwamba kiwango cha maji ya mto Nile yanayowafikia kitapungua na hivyo...
Kwa jina la jamhuri,
Wakuu hivi kama nina kiwanja naona kimekaa sehemu nzuri naweza kukifanya kiwe soko? Yaani hapo kati nijenge au niwape watu wajenge meza za kuweka mambo ya mbogamboga, nafaka na vyakula vingine halafu pembeni nijenge furemu kuzunguka. Kama tu yalivyo masoko mengi.
Hapo...
Tanzania imeanzisha tena vita vya kiuchumi kama kawaida yao. Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo bila kutoa sababu zozote za kimsingi. Naona bado mnataka vita hamjatosheka. Mkimwaga mboga sisi tutamwaga ugali.
Habari wana JF,
Natumaini mu wazima wa afya ni Dua na maombi yangu kwa mola ,azidi kuwalinda na kuwapa maarifa na hekima ili tuzidi kufundishana na kupeana mawazo, Narudi kwenye mada.
Binafsi nipo single na huwa nikikutana na marafiki au washkaji zangu, wengi huwa nikiwauliza why umeingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.