Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,886
Kwa jina la jamhuri,
Wakuu hivi kama nina kiwanja naona kimekaa sehemu nzuri naweza kukifanya kiwe soko? Yaani hapo kati nijenge au niwape watu wajenge meza za kuweka mambo ya mbogamboga, nafaka na vyakula vingine halafu pembeni nijenge furemu kuzunguka. Kama tu yalivyo masoko mengi.
Hapo nakuwa nachukua miatatu miatatu za wenye vibanda, miambilimiambili za chooni na kodi za maduka kwenye frem zinazozunguka.
Inawwzekana hii kitu, ishu za mipango miji zikoje?
Wakuu hivi kama nina kiwanja naona kimekaa sehemu nzuri naweza kukifanya kiwe soko? Yaani hapo kati nijenge au niwape watu wajenge meza za kuweka mambo ya mbogamboga, nafaka na vyakula vingine halafu pembeni nijenge furemu kuzunguka. Kama tu yalivyo masoko mengi.
Hapo nakuwa nachukua miatatu miatatu za wenye vibanda, miambilimiambili za chooni na kodi za maduka kwenye frem zinazozunguka.
Inawwzekana hii kitu, ishu za mipango miji zikoje?