Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 124
- 246
Habari wana JF,
Natumaini mu wazima wa afya ni Dua na maombi yangu kwa mola ,azidi kuwalinda na kuwapa maarifa na hekima ili tuzidi kufundishana na kupeana mawazo, Narudi kwenye mada.
Binafsi nipo single na huwa nikikutana na marafiki au washkaji zangu, wengi huwa nikiwauliza why umeingia kwenye mahusiano na huyu binti ,majibu.
Ninayopata huwa nikiyatafakari ninaona hayana uzito kwa upande wangu ,mtu anasema tu cjui nipo lonely sana, mwingine mm nataka nipige na kusepa, mwingine ni mkumbo tu nae awe na demu, nikaja kugundua ndio maana mahusiano mengi hayadumu now dayz, kwa sababu mtu haelewi mahusiano ni ,nini..?
Na How , unayaendeshaje hayo mahusiano ,na kwa nini upo kwenye mahusiano, What, How, bWhy..?? Binafsi kitu cha kwanza ninachopenda kukitazama kabla sijaingia kwenye mahusiano ni UTAYARI WANGU..
How about you?
Nini unapenda kuzingatia kabla hujazama humo..
Uzi nawasilisha
Natumaini mu wazima wa afya ni Dua na maombi yangu kwa mola ,azidi kuwalinda na kuwapa maarifa na hekima ili tuzidi kufundishana na kupeana mawazo, Narudi kwenye mada.
Binafsi nipo single na huwa nikikutana na marafiki au washkaji zangu, wengi huwa nikiwauliza why umeingia kwenye mahusiano na huyu binti ,majibu.
Ninayopata huwa nikiyatafakari ninaona hayana uzito kwa upande wangu ,mtu anasema tu cjui nipo lonely sana, mwingine mm nataka nipige na kusepa, mwingine ni mkumbo tu nae awe na demu, nikaja kugundua ndio maana mahusiano mengi hayadumu now dayz, kwa sababu mtu haelewi mahusiano ni ,nini..?
Na How , unayaendeshaje hayo mahusiano ,na kwa nini upo kwenye mahusiano, What, How, bWhy..?? Binafsi kitu cha kwanza ninachopenda kukitazama kabla sijaingia kwenye mahusiano ni UTAYARI WANGU..
How about you?
Nini unapenda kuzingatia kabla hujazama humo..
Uzi nawasilisha