anna makinda

Anne Semamba Makinda (born 26 July 1949) is a Tanzanian politician and the first female Speaker of the National Assembly of Tanzania, in office from 2010 to 2015. She was the last Chairman and the first President of UNICEF at the international level from 1993 to 1994.

View More On Wikipedia.org
  1. Suley2019

    Uteuzi: Amani Karume na Anna Makinda wateuliwa kuwa Wakuu wa Chuo

    Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Anne Semamba Makinda, Spika Mstaafu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Mkuu wa Chuo (Chancellor) cha Sayansi...
  2. Roving Journalist

    Anna Makinda afungua mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022

    Leo tarehe 17 Julai, 2023 Mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 yamefunguliwa Mkoani Manyara na Anna Makinda, Kamisaa na Muhamasishaji wa Sensa Tanzania, na Kuhudhuruwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga, Sekretarieti ya Mkoa, Kamati ya Sensa...
  3. Master Oogway

    Anna Makinda: Mbivu na mbichi za Hayati Magufuli

    Hiki ndicho alichokisema "Anna Makinda" Spika wabunge mstaafu na nguli wa siasa hapa Tanzania akihudumu serikalini kwa zaidi ya miaka 40, kuhusiana na Hayati Marehemu Magufuli. Tega sikio msikilize kwa makini utajua mbivu na mbichi, uovu na ubaya, mazuri na mema.
  4. JackisonDubai

    Anna Makinda: Kuna Mawaziri walikuwa wanapinga Serikali kuhamia Dodoma, bila Hayati Magufuli isingewezekana

    Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa...
  5. J

    Lema: Makinda anasema Wananchi wafundishwe namna nzuri ya kucheza kamari, akafundishe Watoto wake Nchi imekwisha hii!

    Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema Mh Lema ameendelea na Utetezi wake kwa vijana na zamu hii amemvaa Spika mstaafu Mh Anna Makinda. Lema amesema "Anna Makinda anasema Wananchi wafundishwe namna nzuri ya Kucheza Kamari akafundishe Watoto wake" Lema alikuwa akihutubia Mkutano wa hadhara jijini...
  6. peno hasegawa

    Anne Makinda awataka vijana kujitafutia ajira

    Kamisaa wa Sensa Kitaifa, Anna Makinda amewataka vijana wasomi kujitengenezea uchumi wao binafsi kupitia fursa zilizoko kwenye maeneo wanayoishi kuliko kutegemea ajira kutoka Serikalini au sekta binafsi. Akizungumza leo Oktoba 12 na Kamati ya sensa katika kikao cha kutathimini sensa kwa Mkoa wa...
  7. Sildenafil Citrate

    Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

    Wakati kilio cha watu kukosa ajira hasa kwa vijana kikiendelea kushika kasi, Kamisaa wa Sensa Tanzania Bara, Anne Makinda, amesema kuna idadi kubwa ya wasomi wanaoishi kwa wazazi wao wakila bure kwa kutotaka kufanya shughuli za kuingizia kipato. Makinda ametoa kauli hiyo leo ijumaa, Septemba...
  8. J

    Makinda: Wenzetu walioendelea kila mtu anajisensa mwenyewe kwa simu yake, ila SISI bado hivyo tuwasubiri makarani

    Kamisaa wa sensa mama Makinda amesema Kaya zote zitapitiwa na makarani wa sensa cha muhimu ni uvumilivu tu Makinda amewasihi sana wananchi kuacha taarifa nyumbani kama watakuwa hawapo Chanzo: Millard Ayo
  9. sifi leo

    Nini kinaendelea kwa Makalani wa Moshi vijijini siku 8 kabla ya zoezi la sensa kufanyia? Kamishina wa Sensa Taifa Anna Makinda uje fasta

    Sijui kinachosemwa ni kweli au la? Kwanza tangu zoezi lianze liligubikwa na malalamiko mengi sana Mfano Makalani waliokuwa wakifunzwa walilalamikia kupikiwa chakula kibichi uku wakikatwa shilingi elf 5000 Kila siku kwa ajili ya kununua chakula aliyekuwa anapika wanafunzi walipo lalamika...
  10. MakinikiA

    Anna Makinda: Maafisa wa sensa watakiwa kujitolea kuonyesha uzalendo

    Salama wandugu, Hii nchi mbona double standard sana. Waliwafanyia interview watu ili kuwapa kazi sasa kama walikuwa hawana hela za kuwalipa hao maafisa wangetangaza ajira za kujitolea kuonyesha uzalendo. Ingefaa zaidi uzalendo waanze wabunge na mawaziri wasilipwe posho ili haki itendeke...
  11. Erythrocyte

    Picha: Maspika Wastaafu na Spika mpya, Job Ndugai hayumo

    Kwa sisi viona mbali jambo hili laweza kuleta Tafsiri nyingi sana
  12. Analogia Malenga

    #COVID19 Anne Makinda: Sensa ya watu na makazi haihusiani na chanjo

    Kamisaa wa Sensa, Anne Makinda amesema baadhi ya watu wana imani potofu kuwa zoezi la uhesabu watu na makazi wanahusiana na chanjo ya #COVID19 Amesema hilo sio kweli, japo ni muhimu kwa wananchi kupata chanjo ya corona. Ambapo wanaendelea kutoa elimu kuhusu sensa itakayofanyika 2022 Aidha...
  13. Q

    Spika Ndugai: Mkiniona naharibu alaumiwe Makinda

    Kauli hiyo ameitoa Bungeni Dodoma, jana jioni Juni 10, 2021, wakati akimkaribisha Bungeni, na kuongeza kuwa Mama Makinda, amekuwa ni mwalimu wake kwa kipindi kirefu tangu alipoingia Bungeni kwa mara ya kwanza. "Mama Makinda amekaa humu Bungeni takribani miaka 40 hii rekodi siyo rahisi na yeye...
Back
Top Bottom