Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Amesema hilo sio kweli, japo ni muhimu kwa wananchi kupata chanjo ya corona. Ambapo wanaendelea kutoa elimu kuhusu sensa itakayofanyika 2022
Aidha amesema vijana waliohitimu vyuo vikuu ambao wanajitolea maeneo mbalimbali watapewa kipaumbele katika kupewa ajira za kuhesabu watu
Amezungumza hayo akiwa Clouds Fm