anna

Anna Sui (Chinese: 蕭志美; ) is an American fashion designer from Detroit. She was named one of the "Top 5 Fashion Icons of the Decade" and in 2009 earned the Geoffrey Beene Lifetime Achievement Award from the Council of Fashion Designers of America (CFDA), joining the ranks of Yves Saint Laurent, Giorgio Armani, Ralph Lauren, and Diane von Furstenberg. Her brand categories include several fashion lines, footwear, cosmetics, fragrances, eyewear, jewelry, accessories, home goods and a gifts line.

View More On Wikipedia.org
  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Prof Anna Tibaijuka kwenye muswada wa Fedha 69 wa 2026

    Anna Tibaijuka, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi, UN-Habitat-Nairobi na Waziri wa Tanzania, anachambua marekebisho ya Sheria ya Fedha 2026 kwenye kifungu cha 69 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania. Marekebisho hayo yanaruhusu serikali kupata mapato ya muda kutoka kwa...
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Profesa Anna Tibaijuka amekosea kuifananisha serikali mbili na anguko la USSR

    Katika mahojiano yake na mwandishi Khalifa wa The Chanzo, Prof Tibaijuka alitetea serikali mbili akirejea kuvunjika kwa muungano wa USSR baada kuanzishwa serikali ya Urusi na kudai ilidhoofisha muungano wa USSR. Huu sio kweli, serikali ya Urusi iliyoundwa mwaka mmoja 1990 kabla ya USSR...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Anne Kilango: Serikali ina Pesa, Madiwani waongezewe Posho

    Mbunge wa Jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akichangia Bajetia Kuu ya Serikali 2026/2027 Bungeni leo Juni 2026, ameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuboresha maslahi na posho za madiwani nchini. "Nimwombe Rais Samia kwa unyenyekevu, kwa hali ilivyo sasa, ni vyema serikali...
  4. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania CHADEMA watamkumbukaje Bi. Anna Komu?

    Moja ya Taarifa za kusikitisha leo ni kifo cha Bi Anna Komu, kada wa CHADEMA kwa zaidi ya miongo 3. Anna Komu alishika nyazifa mbalimbali za ngazi za juu kabisa ikiwemo ujumbe wa bodi ya udhamini ndani ya CHADEMA kwa nyakati tofauti. Hata hivyo mwaka jana kwa kushirikia na Said Issa...
  5. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    Naheshimu na Uwezo na Carrier ya Professor Anna Tibaijuka ni Msomi mzuri aliyekulia ndani ya Chama Cha Mapinduzi CCM upande wake mwingine anafahamika kuhusika na kashfa ya Escrow Account Bibi huyu kwa sasa mfumo umemkataa ndiyo maana anabwabwaja kila siku kuinanga Serikali ya awamu ya 6 lakin...
  6. Area 56

    JamiiForums Tanzania CGI Anna Makakala ndio Mkuu pekee wa Chombo cha Ulinzi na Usalama aliyebaki mwenye uteuzi wa hayati Magufuli

    Rais Samia alipoingia tu madarakani 19 March 2021 alianza taratibu kuwaondoa Wakuu waVyombo vya Ulinzi na Usalama na kuweka wakwake. Ndio, wengine walikuwa washakaribia kustaafu kama Jenerali Mabeyo, ila wengine waliondolewa kabla ya kustaafu kwao kama vile DGIS Diwani Athumani pamoja na IGP...
  7. Poker

    JamiiForums Tanzania Text na picha za utupu za Vini Jr wa Real Madrid zavujishwa mtandaoni na mrembo Anna Silva

    Mrembo Anna Silva, amenukuliwa akisema amechoshwa na tabia ya mchezaji huyo wa Real Madrid kutaka kushiriki naye threesome. Licha ya hivyo pia Vini amekuwa akimtumia picha za nyeti zake mrembo huyo wa kibrazil. Kuna nyakati Anna Silva alimkubalia Vini ombi lake la threesome, ila baadae vini...
  8. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mh. Bwege ategua kitendawili cha Anna Komu wa WADEMA na Monalisa Ndala wa ACT

    https://vm.tiktok.com/ZMArjpvGV/ https://vm.tiktok.com/ZMArjvR83/ https://vm.tiktok.com/ZMArjpXkm/
  9. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ujumbe kwa Kamishna Jenerali wa Uhamiaji: Kijiji cha Itumbi wilayani Chunya kuna wachina wanajiandaa kushiriki uchaguzi mkuu 2025

    Tembelea, Kijiji Cha Itumbi, kilichopo kata ya Matundasi, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya. Kuna wachina ambao ni wa Tanganyika na wanajiandaa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, ingawa sio raia wa Tanzania. Ukifika huko, uangalie kazi wanazozifanya na aina ya vibali ulivyowapatia.
  10. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Profesa Anna Tibaijuka: Serikali inahitaji kukosolewa, sio unaenda Bungeni unabaki kupiga makofi tu

    Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka anasema ukiwa ni mtu wa kupiga makofi tu Bungeni huisaidii serikali Akizungumzia kuhusu demokrasia na chimbuko lake Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka amegusia sakata la Katiba mpya nchini Tanzania kwa kusema ''Vijana mtachoka sana kuja kusubiri katiba mpya''...
  11. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Profesa Anna Tibaijuka: Mgombea Mbinafsi aruhusiwe katika Chaguzi za Tanzania

    Akigusia siasa nchini Tanzania, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka anasema mfumo wetu kwa sasa unatambua wagombea kutokana na vyama vyao ni wakati sasa mfumo uruhusu wagombea binafsi Kuhusu sakata la machafuko nchini Congo Profesa, Anna Kajumulo Tibaijuka anasema Tatizo ni serikali ya nchini...
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Mtifuano wa Tundu Lissu na Anna Makinda Bungeni. Nini cha kujifunza?

    Salaam Wakuu, Nimeangalia huu Mtifuano wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Wakili Tundu Lissu na aliyekuwa Spika wa Tanzania Anna Makinda. Je, Wabunge na Wanasiasa wa kizazi hiki, kuna cha kujifunza? Hili lilikuwa bunge la kumi Mkutano wa kumi na nane na kikao cha tatu wabishana kuhusu...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka, ulikaa kimya wakati unahudumu katika Serikali kandamizi ya hiki unachokikemea sasa kulinda maslahi yako, na sasa kaa kimya!

    Wenye akili hatutakusikiliza! Ulikuwa sehemu ya mfumo kandamizi, hukusema lolote ukitetea kwenda "chooni". Leo usitudanganye, ni kwa vile uko nje ya mfumo, lakini huna dhati ya moyo kutetea haki! Kama ulikubali kushirikiana na wauaji wa wakati ule, leo nyamaza! Nyamaza kabisa, wahutubie hao...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi ambaye huwa hamuelewi anachokifanya huyu Dada Dk. Anna Henga wa LHRC ni Mimi peke yangu au?

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) kimelaani hatua ya Jeshi la Polisi kuwashikilia baadhi ya Viongozi na Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na baadhi ya Waandishi wa Habari, baada ya Chama CHADEMA kupanga kufanya kongamano la maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani...
  15. P

    JamiiForums Tanzania Rushwa Ilivyo Muharibia Prof. Anna Tibaijuka

    Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano duniani. Ila nyota yake ilizimwa kama mshumaa baada ya yeye kuingia kwenye siasa. Kutokana na uchapa...
  16. SteveMollel

    JamiiForums Tanzania Kisa cha maiti ya Anna Fritz na vifo vya wanaume waliombaka

    Wakati wewe ukienda kuhani msiba unaogopa hata kuaga maiti kwa kuitazama au basi ukiaga unaanza kutusumbua wiki nzima kwamba marehemu anakutokea kwenye kona, basi jua kwa hawa mabwana hali ni tofauti. Kila mnyonge na mnyonge wake. Wao hawakuishia kuiona maiti, bali waliisasambua kabisa mpaka...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa X (Twitter) Peter Madeleka anaandika HAWAKO juu ya SHERIA na wala HAWANA KINGA ya kutoshitakiwa KIJINAI. Naishukuru Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa KUIPOKEA kesi hii kwa ADMISSION No. AD/RM/ARS/91511/2023 Pia soma > Peter Madeleka agonga mwamba. Mahakama...
  18. W

    JamiiForums Tanzania Mbona Anna Tibaijuka ana hasira hivi kila wakati kuhusu uwekezaji wa DP World?

    Hatulii, hakika kuna maslahi yake yaliyoguswa.....haki ya Mungu tena!
  19. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Amani Karume na Anna Makinda wateuliwa kuwa Wakuu wa Chuo

    Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Anne Semamba Makinda, Spika Mstaafu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Mkuu wa Chuo (Chancellor) cha Sayansi...
  20. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Jinsi suala la bandari linavyoidhalilisha na kuichafua LHRC

    Habari zenu wanaJF wenzangu, Ki ukweli hili suala la bandari ilikuwa ni lazima litokee ili watanzania tuweze kuwajua maadui wetu wa taifa. Lakini pia ilikuwa ni lazima litokee ili tuweze kuwajua wale Chui na Simba, waliojivika ngozi ya Kondoo na Swala. Watanzania wenye akili zetu timamu we...
Back
Top Bottom