Kuna nini cha ziada kufuga no sio kufuga ni kumpa matunzo haya mbwa huyu? Je, kipo ambacho wengi hatuoneshwi au ni mapenzi tu kwa mnyama huyu? Lakini pia kufuatia na tukio la juzi mbwa kujeruhi watu wanaomfuga ni ipi hatari kwa dada huyu mlezi wa mbwa? Huyu anatofauti gani na yule mbwa alojeruhi...
Bila blah blah nadhani wote tulishuhudia kilichotokea mexhi ya Yanga dhidi ya Al Ahly hasa baada ya mgeni(Ahly) kutangulia kupata goli la uongozi baadhi ya mashabiki wakiwa na jezi nyekundu walionekana wakivunja na kuruka juu ya viti kushangilia goli lile la uongozi kabla Yanga hawajasawazisha...
IDF wameshasema lengo lao ni viongozi wa HAMAS kwa hiyo wanawasaka popote walipo na HAMAS wameona sehemu ya kutafuta huruma kwa mataifa mengine ni kujificha kwenye miundombinu ya kutolea huduma za kijamii.
Muhimu amani ipatikane
Sasa vitoto vyote vya mitaani lazima viupopoe kupata chochote kitu. Ndicho kinachoendelea hata humu JF na kwenye mitandao mingine watu wanatumia ma bundle yao na muda wao kuiandika vibaya na wachache wakiiandika kwa mazuri. Lakini lengo lao kubwa kupata attention.
Kuna wengine hawana hoja kutwa...
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.
Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home...
Sakata la Feisal na klabu ya Yanga bado linaendelea katika mgogoro wa kimkataba kati ya Young Africans na mchezaji wake Feisal Salum ambaye alitaka kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu hivyo kuamrishwa kuja kufanya mapitio ya kimkataba na club yake.
Sasa mara hii kaja na Jasmine Razack...
Sote hatuna uhakika humu ila kwa namna navyoelewa siasa za mpira wa Bongo huyu Feisal haondoki Yanga sasa hivi.
Haya mambo yanayoendelea mitandaoni sijui its done deal hakuna kitu kama icho. Hii ni propaganda imepangwa na wapinzani kujaribu kuitoa Yanga kwenye Focus kuelekea game na Azam hapo...
Habari za wakati huu wapambanaji na msio wapambanaji. Naomba mwenye uelewa zaidi anisaidie katika hili hasa kupitia hii mifuko ya uwekezaji wa pamoja.
Ni kupitia mfuko gani wa UTT nitaweza kupata shilingi milioni 2 kila mwezi na kwa mtaji kiasi gani. Pia niliwahi kusikia unaweza kukopa bank kwa...
Kunako michuano ya Uefa Champion Lague iliyofikia hatua ya mtoano (16 bora) baada ya draw kupangwa walijitokeza watu kutoa maoni yao juu ya timu zitakazo fuzu kwenda hatua ya robo fainal lakini cha kushangaza wengi wao waliipuzia timu ya Chelsea wakiamini haitaweza kutoboa baada ya kupangwa na...
Salaam wakuu. Nimeitoa huko nikaona itapendeza nikishare nanyi. Hiyo hapo tiririka nayo.
ASSET~ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo.
LIABILITY~ni kitu kinachotoa pesa mfukoni kwako.
Ukitaka kuwa tajiri hiki ndio kitu pekee unacho hitaji kukijua na kukifanyia kazi...
Huwa mnatumia mbinu gani kwa watoto ambao viwango vyao kielimu (darasani) wanashuka. Yani hapandi au ana mantain hapo hapo.
Napata shida nina mdogo wangu (ke) yani hapandi. Na wastani wake ni mbovu. Mwakani hapo ana NECTA. Naombeni ushauri na maoni yenu tafadhali.
Nina imani muda bado upo na...
Kama kichwa kinavyojieleza. Tushuke nao hapa.
*1. VIPWENTE* - _Hawa Ni Aina Ya Wapenzi Ambao Yeye Anaweza Akakumiss Hadi Anahisi Network Zinakatika...Lakini Hakutafuti Ng'ooo Iwe Ni Kwa Message Au Laivulaivu, Kwasababu Hataki Kuonekana Wakwanza Kukutafuta._
*2. VIMBUNDU* - _Hawa Ni Aina Ya...
Habari zenu wana jukwaa..!! Poleni na shughuli za ujenzi wa taifa. Leo naomba iniwekee misemo uliyowahi kukutanana nayo ikakufurahisha, kuchekesha au ilikushangaza..
Mimi naanza na huu hapa:
_DUA ZENU WAPENDWA_ *Nakatisha mtaa wa jangwani mda huu nimebeba mbao*[emoji23][emoji23][emoji23]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.