Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini shughuli ndio imeishia hapa kwa Yanga

Southern Highland

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
13,200
21,538
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.

Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
 
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.

njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? jibu ni NDIO
Kuna watu wamejaa chuki, Jana walipata fursa ya kuonesha chuki zao hadharani.

Sasa ole wao Yanga irudi na kombe hapa watahama nchi wenyewe.
 
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.

Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
Jipe moyo
 
20230528_081110.jpg
 
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.

Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
Ukitoka wewe mm ndio wa mwisho wenu
 
Aisee Yanga kutoboa kule ni kitu kisichowezekana kabisa. Kama USM Alger aliweza kutoka suhulu mugenini kwa Asec Mimose na kumtungua 2 kavu nyumbani basi sio timu ya mchezo. Kumbuka Asec ni timu inayoongoza ligi ya Ivory Coast.

Ndio maana Muarabu kaondoka hapa huku anashangilia sana maana anaona biashara imekwisha. Na kuna hatari tukapigwa 5
 
Back
Top Bottom