Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,200
- 21,538
Mtu yoyote anayesema bingwa keshapatikana naamini bado haujui mpira vizuri, ninaamini bado hajauona ubora wa Yanga. Zipo dakika 90 nyingine za kutetea hiki kilichotokea jana uwanja wa Mkapa.
Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO
Njoo nikejeli, nitukane ila Jumamosi utakuja kusema nilitabiri. Naandika hivi nikifahamu vyema home ground ina advantage kubwa lakini siyo kikwazo kwa Yanga kwenda kufanya kitu huko huko Algeria. Kama wao wameshinda ugenini kwa nini Yanga asishinde huko Algeria? INAWEZEKANA? Jibu ni NDIO