Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,198
- 21,534
Bila blah blah nadhani wote tulishuhudia kilichotokea mexhi ya Yanga dhidi ya Al Ahly hasa baada ya mgeni(Ahly) kutangulia kupata goli la uongozi baadhi ya mashabiki wakiwa na jezi nyekundu walionekana wakivunja na kuruka juu ya viti kushangilia goli lile la uongozi kabla Yanga hawajasawazisha.
Kutokana na situation hiyo hakukua na namna zaidi ya kuilipisha fine Yanga jambo ambalo kwa upande wangu naona ni sawa kwa 50%. Sasa kuelekea mechi ya leo dhidi ya Medeama mashabiki wamemriwa kuingia uwanjani wakiwa na jezi ya Yanga original. Tafsiri yake ni kheri uvae jezi ya Yanga ukafanye fujo kuliko uvae matambala mengine halafu bado ufanye fujo zako hii ni dharau kubwa.
Hongera sana uongozi kwa uamuzi huu. Hutaki jezi ya Yanga kalipie VIP huko ukajaribu vurugu zako.
Kutokana na situation hiyo hakukua na namna zaidi ya kuilipisha fine Yanga jambo ambalo kwa upande wangu naona ni sawa kwa 50%. Sasa kuelekea mechi ya leo dhidi ya Medeama mashabiki wamemriwa kuingia uwanjani wakiwa na jezi ya Yanga original. Tafsiri yake ni kheri uvae jezi ya Yanga ukafanye fujo kuliko uvae matambala mengine halafu bado ufanye fujo zako hii ni dharau kubwa.
Hongera sana uongozi kwa uamuzi huu. Hutaki jezi ya Yanga kalipie VIP huko ukajaribu vurugu zako.