Search results

  1. SteveMollel

    Sio kila mimba isiyo na baba basi ni kwa uwezo wa roho mtakatifu.

    Baada ya kuponea maisha kwa kuzama ndani ya ziwa la barafu, kipindi akiwa msichana mdogo, Cecilia alikata shauri la kumtumikia Mungu kwa kipindi chake chote alichobakiza duniani. Kwahiyo anapofikia umri, anajiunga na 'convent' ya hapa Italia ili apate kuwa sister kwa kiapo na matendo. Hivyo...
  2. SteveMollel

    Kisa cha Afisa mikopo na laana alopewa na mteja

    Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi. Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa na mtoto wao. Lakini sasa shida ni moja, mfanyakazi mwenzake anayeitwa Stu. Bwana huyu naye...
  3. SteveMollel

    Kisa cha mwili usojulikana ni wa nani. Hauna jino moja wala kovu lolote

    Baada ya kutokea kwa mauaji ya watu kadhaa, polisi wanafika eneo la tukio kwa lengo la kufanya uchunguzi. Katika eneo hilo wanakutana na miili isiyopungua mitatu, yote imelala mfu, wanaikagua na kujiridhisha. Wanaupata mwili mwingine ndani ya 'basement', mwili wa msichana mzungu, makadirio ya...
  4. SteveMollel

    Filamu: Mwili wa mwanamke aliyekufa kwa sumu, umepotea Mochwari

    Utafanya nini kama umefiwa, umeupeleka mwili wa mpendwa wako kuhifadhiwa alafu unapigiwa simu kwamba mwili hauonekani? Umepotea? Haujulikani ulipo? Tafuta popcorn, ambaa na kisa hiki.. Baada ya kutokea ajali, mlinzi wa hospitali akigongwa na gari mita kadhaa kutoka eneo lake la kazi, inspekta...
  5. SteveMollel

    Kisa cha maiti ya Anna Fritz na vifo vya wanaume waliombaka

    Wakati wewe ukienda kuhani msiba unaogopa hata kuaga maiti kwa kuitazama au basi ukiaga unaanza kutusumbua wiki nzima kwamba marehemu anakutokea kwenye kona, basi jua kwa hawa mabwana hali ni tofauti. Kila mnyonge na mnyonge wake. Wao hawakuishia kuiona maiti, bali waliisasambua kabisa mpaka...
  6. SteveMollel

    Adaiwa kumuua mpenzi wake kwenye makazi ya askari Kunduchi kisa wivu wa mapenzi

    Kota za polisi, Kunduchi. Majira ya saa nane mchana leo hii.. Wakati mambo mengine yakiwa yanaendelea kama kawaida, watu walisikia kelele na purukushani kutoka kwenye ghorofa ya juu kabisa katika jengo la block G, chumba namba 30. Kelele hizo hazikuwa za sherehe, ni mwanaume alikuwa anang'aka...
  7. SteveMollel

    Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

    Na hiki ni kisa kama nilivyosimuliwa na Magreth Haule, mwanamke aliyewahi kuhudumia shule moja ya msingi (English Medium) kata ya Mbezi Juu, Dar es salaam...
  8. SteveMollel

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Jirani Yangu wa kule Goba Hakuwa Mtu wa Kawaida. Sasa ni miaka miwili imepita, nimehamia na ninaishi kwengine, lakini yale ya kule Goba nayakumbuka vema kana kwamba yametokea jana yake, na huenda mambo hayo nikayakumbuka hata na milele maana ni moja ya visa ambavyo vilinishangaza sana. Mwaka...
  9. SteveMollel

    Tukibaki Hai, Tutasimulia

    Ni muda mrefu sana kwenye hizi anga za simulizi, sasa hatimaye nimerejea na hadithi hii. Kwa wale wageni, waweza tazama hizi ... ni kazi ya mikono yangu ... https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1331844/ https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1220493/...
  10. SteveMollel

    Jifungie zako ndani, tazama filamu hizi

    It's been a damn long time kiunga hiki, hope mko poa nyote, karibuni tena uwanjani hapa tupendekezeane filamu nzuri za kutazama katika kipindi hiki cha weekend, na hivi mvua inanyesha ukikaa zako ndani unafurahia muda wako to the maximum! Tazama hapa .... 1. THE 8th NIGHT Miaka alfu mbili...
  11. SteveMollel

    Mkasa wa wakimbizi wa Sudan na Apeth (na mikasa mingine)

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Karibuni tena. Kwa tahadhima, ninaomba nijibu mahitaji ya watu juu ya mfululizo huu wa 'nyuzi' za visa vya filamu kwa kutuma uzi huu wa tisa sasa kwa mfululizo. Nakiri ni muda sasa lakini natumai hakuna kilichoharibika. Kwa 'weekend' hii...
  12. SteveMollel

    Android games na Appplications za kulipia (free)

    Niaje wananzengo? Direct to the point. Kwa wale waumini wa apps ambazo zinahitajika kufanya manunuzi ili upate baadhi ya huduma, karibuni sana hapa. Utapakua apps unazozitaka na hata games vilevile (wewe mwenyewe) zikiwa tayari na full money ama coins ndani yake so wewe ni kufanya purchasing...
  13. SteveMollel

    Bless weekend yako na hizi movies..

    Kama si muda kubana, tungaliona thread hii tangu jana (Ijumaa), lakini hakuna kilichoharibika, bado ni weekend so twende na hizi hapa kuanzia usiku huu... Hii itakuwa ni thread yangu ya nane sasa katika mfululizo wa 'movies to watch'... kama ni mgeni, basi waweza zipitia moja baada ya nyingine...
  14. SteveMollel

    Chukua muda wako kutazama hizi Movies Weekend hii

    Nina furaha nimerudi tena uwanjani hapa ikiwa ni toleo langu la saba sasa kuhusu movies mbalimbali. Ni matumaini yangu mko salama. Sasa Weekend ndo' hiyooo inasogea, wengine hatuna mambo ya clubs wala drinking, tunafanyaje? Tunakaaa ndani kutazama movies. Bila kupoteza muda, tutazame movies...
  15. SteveMollel

    Movies kali za weekend hii (Session 06)

    Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza. Bila kupoteza muda, tuzame kwenye hizi hapa ambazo naamini hautajutia ukizipatia muda na bundle...
  16. SteveMollel

    Wewe ni mpenzi wa Movies? (Session 05). Tupia jicho hapa..

    Niaje, wakuu? Kama kawaida tunakutana katika mfululizo wetu wa tano sasa wa kugusiana filamu kuhamasishana kuzitazama na kuzielewa. Bila maneno mingi, na tuanze. Karibu. IDENTITY ya 2003. Kuna watu wanaamini hamna kitu kinachotokea duniani kwa bahati mbaya. Kila kitu kimepangwa na kipo kwa...
  17. SteveMollel

    Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

    Habari zenu wandugu? Ni kitambo kidogo sasa hatujakutana kwenye hiki kijiwe chetu cha movies kutokana na mambo ya hapa na pale lakini natumai kila kitu kipo poa! Pasipo kupoteza muda, leo tutazamia ‘session ya 04’ kwenye huu mfululizo wetu wa kuhamasishana kutazama filamu mbalimbali kwa...
  18. SteveMollel

    Filamu hii na dunia tuliyomo

    Hellow! Natumai mko poa ndugu na mnaendelea kujikinga dhidi ya Corona. Na mimi katika nafasi yangu, naendelea kuwaletea mambo kadha wa kadha kuhusu filamu kama moja ya njia ha kuhamasishana kukaa nyumbani ili kupunguza mizunguko isiyo na ulazima. Basi leo, tofauti na siku zingine ambazo huwa...
  19. SteveMollel

    Unapenda MOVIES? (SESSION 03) Usikose hizi wiki hii...

    Niaje wazee? Natumai mnaendelea vema huku mkiendeleza mapambano dhidi ya janga hili la Corona. Tafadhali usipuuzie, ni serious na inaua. Usingoje serikali ikuchukulie hatua, bali chukua mwenyewe kwa ajili ya familia yako. Basi kama ilivyo kawaida, leo hii nitajaribu kushirikiana nanyi baadhi...
  20. SteveMollel

    Unapenda movies? Tazama hizi weekend hii!

    Habari wapenda filamu wenzangu. Ni siku nyingine tena tumepewa nafasi ya kukutana hapa na kujadiliana mambo kadhaa kadhaa kuhusu utazamaji wa filamu, starehe ambayo kwa sasa ukizingatia na hali ya mlipuko wa Corona inatufaa zaidi kwa kutuhamasisha tukae ndani kujiepusha na michangamano isiyo ya...
Back
Top Bottom