Afisa Mikopo (Loan Officer au Credit Officer) ni mtaalamu wa masuala ya fedha nchini Tanzania ambaye ana dhamana ya kupokea, kufanya uchambuzi, na kutoa mapendekezo au maamuzi ya kuidhinisha maombi ya mikopo kwa watu binafsi, vikundi, au makampuni.
Huyu ndiye mtu wa kwanza unayekutana naye unapoingia benki au taasisi ya kifedha ukiomba mtaji au mkopo wa dharura.
Habari wakuu namleta mdau hapa anasema yeye anaomba kazi kwenye Microfinance yoyote kama afisa mikopo au nafasi nyingine yoyote.
SIFA ZAKE
ELIMU KIDATO CHA NNE NA DIPLOMA YA MASOKO
Ujuzi anajua vizuri kutumia Computer amewahi kujitolea sehemu kama Mhasibu miaka miwili (yaani kufanya kazi za...
Naitwa Lutamila Malindi Ibrahim, mwanafunzi wa Kigamboni City College of Health and Allied Sciences. Nimesajiliwa kwa namba ya usajili: S3363.0137.2021.
Ninaandika kwa uchungu na hofu kubwa. Mpaka leo hii, tarehe 6 Julai 2025, sijapata boom la nne kutoka HESLB.
Hali hii imenitesa sana...
Anonymous
Thread
afisaafisamikopo
boom
college
kigamboni
kufukuzwa
mikopo
mwanafunzi
Habari za mida hii GT...niende kwenye mada
Katika kujikwamua na maisha ya kawaida huenda ukajikuta unaingia benki na hivyo kufanya mawasiliano na afisa mikopo...
Picha linaanza ambapo huanza kukupigia hesabu za mkopo wa muda mrefu mfano miaka 9...
Tatizo linaanzia pale ambapo mnakubaliana...
Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi.
Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa na mtoto wao.
Lakini sasa shida ni moja, mfanyakazi mwenzake anayeitwa Stu.
Bwana huyu naye...
Kuna nafasi ya kazi ya afisa mikopo kwenye ofisi ya Microfinance.
Ni ofisi ambayo ndo inaanza kutoa huduma ya mikopo midogo midogo hivyo inahitaji mfanyakazi mwenye elimu ya diploma ya finance,Marketing, Accounting au Business Administration.
Muombaji anatakiwa awe amewahi kufanya kazi kama...
Heshima kwenu.
Naomba kujuzwa, hivi hizi kampuni za mikopo huwa zinalipa mshahara wa Tshs ngapi kwa afisa mikopo?
Je, mbali na mshahara huwa Kuna benefits zingine ambazo mfanyakazi anapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.