Msaada wanajukwaa hili la elimu. Napenda kujua ni wapi kozi za IELTS
*zinafanyikia
*Ada
*Muda
kwa mnaojua kihusu hili naomba ufafanuzi wenu tafadhali nahitaji hili jambo nifanikiwe.
Ndugu wanajukwaa samahani, naomba msaada wa kuvijua vyuo vya ualimu ngazi ya cheti vya serikali vinavyopatikana jijini Dar es salaam na location vinapopatikana.
Natanguliza asante zangu kwenu.
Asalaam Aleykum ndugu zangu...!
Natumaini ni siku nyingine tena tumeamka tukiwa na afya tele Asante nyingi kwake Mola muumba wa mbingu na ardhi.
Siku ya leo nina ushauri mfupi kwa Rais Mama Samia atakapolivunja baraza la mawaziri basi anatakiwa amfuatilie waziri mmoja baada ya mwingine katika...
Katika hizi siku kadhaa za kifo cha magufuli kumeonekana kutokea kwa vitendo kadhaa vya kuonyesha furaha kwa baadhi ya watu na masikitiko kwa baadhi ya watu. Kwa kifupi kumekuwepo na hisia mseto juu ya kifo cha kiongozi Magufuli.
Lakini pamoja na hili kujitokeza tujaribu kurudi nyuma kidogo...
Wasaalam ndugu wana jamvi!!
Nimefikiri kwa marefu na mapana bila kupata majibu ya baadhi ya maswali yahusuyo utawala wa Dr Jakaya Kikwete enzi za utawala wake. Ni miaka kadhaa imepita sasa toka mzee wetu arudi kijijini kwao Msoga kuendelea na maisha yake ya kawaida baada ya kumaliza muda wake...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ndugu zangu niko hapa kuomba nafasi ya kuunganishwa mradi wowote wa ujenzi ili niweze kupata kazi ya kibarua sina taaluma ya uhandisi mimi ni mwalimu ila mambo yamekuwa magumu sana nisaidieni nipate kibarua.
Kwa kifupi hali si nzuri naamini humu kuna...
Maisha ni kitendawili kigumu ambacho kwa sisi wanadamu kukitegua tunashindwa kabisa kutokana na ugumu wake.
Ama kwa hakika mambo hayajawa mepesi mpaka ugumu ukukumbatie.
Ni mwaka mwingine bado namaliza soli ya kiatu kusaka fursa ya ajira au kibarua nipate kuweka mkono kinywani ila still mambo...
Kwa siku za hivi karibuni mara baada ya kuanza bunge kumezuka mambo ambayo kwakweli sisi kama Wananchi na Watanzania hatukuzoea kabisa tangu tupate uhuru wetu 1961.
Kuna mambo yanaendelea Bungeni yanatia hasira na kuchochea laana ambayo hatutaki itokee katika hili taifa lililoasisiwa na...
Wasaalam ndugu wanajukwaa!!
Ni muda mrefu kidogo nimezidi kuumizwa na tabia za makada wa Chama Cha Mapinduzi (si wote ni baadhi). Kumekuwa na tabia ambayo wanazidi kuikumbatia na kuiona ni sawa kabisa katika majadiliano kuitumia kama ngao ya kumdhibiti mtu anaehoji uhalali wa kitu fulani au...
Ndugu zangu natanguliza salam zangu kwenu!
Nimekuwa nikipata shida ya amiba mara kwa mara nimetumia dawa kama Tinidazole kwa nyakati tofauti tofauti na namaliza dozi lakini bado tatizo linarudia tena.
Naomba mnishauri kulingana na uzoefu wenu wa kitabibu kuhusu huu ugonjwa.
Napaswa nitumie...
Mapenzi ni kitu ambacho kwa asilimia kubwa kinatawala katika nafsi ya mwanadamu. Amini usiamini kubali ukatae mapenzi yana thamani sawa na uhai wako.
Mimi ninapokuwa niko free napenda kusikiliza nyimbo zifuatazo kwa utulivu na kwa hisia nzito nikitafakari mengi juu ya wapendwa wanaonipa amani...
Habari za majukumu ndugu wanajukwaa?
Napenda tufanye challenge kidogo ili kuboresha uwezo wetu wa kiingereza.
Sentensi hizi ukitaka kuzipeleka kwa lugha ya kiingereza Zinakuwaje:
1. KAMA NINGEKUWA MIMI
2. HII DUNIA INAENDA WAPI
3. USIJALI HATA KIDOGO
Karibuni tubadilishane na kupeana uwezo...
Kuna baadhi ya majina ya vyakula hayapo wazi kwa lugha ya kiingereza kiasi kwamba ukiulizwa kwa kushitukizwa huwezi ukajua ujibu nini.
kwa mfano Ugali
Unaweza ukaongezea mifano mingine hapo china na majina yake kwa kiingereza
Habari za majukumu ndugu wanajukwaa?
Mimi napenda kufahamu zile decent websites za kuomba kazi nchi za nje kama Norway, Sweeden, Canada, Turkey, Holland, Malta, Nk.
pia napenda kufahamu kwa wale tusio na elimu tunaotarajia kazi za unprofessional kama vile fruit picking, viwandani, house...
Habari za mwaka mpya ndugu zangu wana JF? Ni imani yangu mko salama salimini.
Nisiwachoshe sana!!
Lengo langu naomba msaada wa kupata nafasi ya kazi ya ualimu niko Mbeya Mjini ni na shahada ya elimu BAEd. Pia niko tayari hata kuvolunteer ili nipate experience ya kutosha.
Najua humu kuna watu...
Habari za majukumu wana JF education?
Naamini katika mafanikio ya kila mtu kuna mtu nyuma yake hata kama mafanikio yako yalikuja bila kusaidiwa na mtu naamini umewahi kusaidia mtu.
Humu ndani kuna wamiliki wa shule, maheadmaster, headteachers, managers, HRs nk.
Naomba msaada wa kutimiza...
Wadau habari za majukumu ya kila siku? samahani napenda sana kusoma online hasa kwenye website mbalimbali lakini sasa nataka nianze kusoma course zinazotolewa na free websites kwa ajili ya kujinoa zaidi na kuongeza maarifa kichwani ili kuweza kupambana na mazingira ya kuajiajiri.
Napenda...
Hakika mambo yanazidi kuwa tough hii mitani tena kwangu imekuwa kama sumu iuayo taratibu as time goes on nakuwa frustrated sana.
Niko Dodoma now mwezi wa tatu sasa baada ya kutoka mbeya kuja kufanya interview hapa na sikufanikiwa kupata kazi niliamua kubaki hapa ili niweze kujaribu kutafuta...
Habari zenu wanajukwaa?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo Dodoma mjini. Nina shahada ya kwanza ya ualimu ila sijabahatika kuajiriwa. Natafuta mwanamke wa kuishi naye maisha ya ndoa awe ni mcha Mungu na awe na miaka kati ya 24 na 30.
Mwanamke mwenye mtoto mmoja anatakiwa awe na kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.