JOESKY
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 816
- 2,032
Ndugu zangu natanguliza salam zangu kwenu!
Nimekuwa nikipata shida ya amiba mara kwa mara nimetumia dawa kama Tinidazole kwa nyakati tofauti tofauti na namaliza dozi lakini bado tatizo linarudia tena.
Naomba mnishauri kulingana na uzoefu wenu wa kitabibu kuhusu huu ugonjwa.
Napaswa nitumie dawa gani ya uhakika wa kumaliza tatizo?
Asanteni.
Nimekuwa nikipata shida ya amiba mara kwa mara nimetumia dawa kama Tinidazole kwa nyakati tofauti tofauti na namaliza dozi lakini bado tatizo linarudia tena.
Naomba mnishauri kulingana na uzoefu wenu wa kitabibu kuhusu huu ugonjwa.
Napaswa nitumie dawa gani ya uhakika wa kumaliza tatizo?
Asanteni.