Habari wakuu, huduma ya online copy haipo katika website ya nida ila kuna wataalam huwa wanauwezo wa kuzipata. Hivi ujanja gani wa kiteknolojia hutumika?
Habari wakuu, kuna binti anadai kijana wetu amempa mimba. Hivyo wamekuja wazazi wa binti kudai ndoa ya mkeka, kinyume na hapo wanatishia kumfunga kijana wetu kwani binti kamaliza form four mwaka jana. Mimba ina miezi 4/5 hivo iliingia wakati akiwa mwanafunzi ingawa kwa sasa amemaliza.
Kijana...
Habari wakuu! Naomba kuelimishwa kidogo, nataka kufanya biashara na Supermarket moja hapa jijini Dar, wameahidi kuchukua mzigo mkubwa iwapo ntakuwa namiliki risiti za EFD kwaajili ya VAT. Kwa lengo wakati nawauzia basi niwatolee hiyo electronic receipt.
Sasa naomba ushauri je kumiliki hicho...
Habari wa kuu nilikua naulizia kwa mwenye kujua wale matechnician wanaosaidia wanafunzi during practicals huwa range za mishahara yao ipoje kuanzia kwenye bachelor, master na hata PhD.
Karibuni wadau
Habari wakuu, nimejaza online loss report kwa ajili ya laini ya simu nimefanya malipo baada ya kutumiwa control number kila nikiingia sehemu ya kuangalia taarifa yako ili nipate kupakua ile loss report naambiwa taarifa yako haijathibitishwa. Kwa utaratibu wa sasa wameeleza kuwa kwa loss report...
Habari wakuu naomba kujuzwa juu ya huyu aliyepitia njia hii atakua na kigezo cha kuwa mhadhiri wa chuo kikuu?
Vigezo vya TCU ni first degree yaani Bachelor uwe na at least GPA ya 3.5 then Masters uwe na at least GPA ya 4.
Sasa huyu alipata GPA 3.2 first degree , kisha akafanya Masters akapata...
Habari wa kuu, kama swali lilivo ningependa kujua kama mtu ana GPA za lower divisions , kisha anakazana kusoma Masters mpaka PhD, kuna opportunities gani atapata maana tumezoea hayo kwa academicians...
Habari wakuu,
Naomba kujua ukiwa mtumishi wa serikali na ukataka kujiendeleza kupitia Open University of Tanzania ambapo bado utaendelea na majukumu yako ya kazi, ni lazima uombe barua ya ruhusa ya mwajiri ya kujiendeleza kimasomo?
Au unaweza kupiga kimya kimya tu haiana haja kama ya wale...
Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second.
Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa...
Habari wataalam,
Kuna sehemu nimeomba mkopo ila katika kipengele cha dhamana (Collateral) nina hati ya kiwanja kupitia serikali ya kijiji, wahusika wamenambia ili waikubali niipeleke kwa mwanasheria ili iwe legal doccument.
Sasa nnachotaka kujua hii hati yangu nikiipeleka kwa mwanasheria...
Habari wakuu, kwa wenye uzoefu wa kushiriki mashindano mbali mbali ambayo wanatoa zawadi za vitu kama vile friji,tv,pikipiki,gari n.k
Ningepeda kujua je kuna ukweli wowote kwamba kabla ya kupokea zawadi hizo huwa unalipia kodi TRA kwanza ndio ukabidhiwe zawadi yako?
Habari wakuu! Nimeona baadhi ya vyuo wakitoa evening program kwa Diploma za Nurse course, hivi kuna chuo kinachotoa Clinical Medicine kwa Evening program pia?
Habari waungwana msaada wenu dogo orodha ya wanafunzi waliochaguliwa hayupo ila akifungua akaunti yake anapewa congratulations kwa kuchaguliwa vipi hapo afanyeje
Habari wakuu naomba msaada wa ufafanuzi anayeijua hii kozi.
ukisoma soko linakua sekta gani ? unakuwa mtengenezaji dawa au tabibu? kuna market ya hii kozi?
na mengineyo ambayo cjaulza napenda kujua
habari wakuu, naomba msaada katika hatua yaa mwisho ya kukamilisha ujazaji a fomu za online za bodi ya mikopo katika kusubmit wamandika "PRINT AND SSUBMIT YOUR APPICATION FORM AND ATTAACHME'' ukiclick zinkuja documents katika pdf kwa jili ya kuprint sasa je hpo ndioo unakua ushasubmit tayarii...
Dogo amepata D NNE katika masomo ya Civics,kiswahl ,Geography na English ukimuuliza anataka kusoma anapenda nini? anasema chochote ambacho wajuzi watamshauri yupo tayari kwa ngazi ya certificate.. Hebu mshaurini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.