JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
Habari wakuu naomba kujuzwa juu ya huyu aliyepitia njia hii atakua na kigezo cha kuwa mhadhiri wa chuo kikuu?
Vigezo vya TCU ni first degree yaani Bachelor uwe na at least GPA ya 3.5 then Masters uwe na at least GPA ya 4.
Sasa huyu alipata GPA 3.2 first degree , kisha akafanya Masters akapata GPA 4.4 ...akafanya bachelor degree nyengine baada ya masters akapata GPA ya 3.9 kisha akafanya PhD. Je anakua tayari amekidhi vigezo vya TCU na anaweza kuajiriwa kama lecturer?
Ahsante
Vigezo vya TCU ni first degree yaani Bachelor uwe na at least GPA ya 3.5 then Masters uwe na at least GPA ya 4.
Sasa huyu alipata GPA 3.2 first degree , kisha akafanya Masters akapata GPA 4.4 ...akafanya bachelor degree nyengine baada ya masters akapata GPA ya 3.9 kisha akafanya PhD. Je anakua tayari amekidhi vigezo vya TCU na anaweza kuajiriwa kama lecturer?
Ahsante