JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
Habari wakuu, kwa wenye uzoefu wa kushiriki mashindano mbali mbali ambayo wanatoa zawadi za vitu kama vile friji,tv,pikipiki,gari n.k
Ningepeda kujua je kuna ukweli wowote kwamba kabla ya kupokea zawadi hizo huwa unalipia kodi TRA kwanza ndio ukabidhiwe zawadi yako?
Ningepeda kujua je kuna ukweli wowote kwamba kabla ya kupokea zawadi hizo huwa unalipia kodi TRA kwanza ndio ukabidhiwe zawadi yako?