Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nilikuwa naangalia clip ya ziara ya makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kwenye kaburi la Balozi Kasanga Tumbo Tundu Lisu alisema ni vema pakawepo na Kumbukizi la Balozi Kasanga Tumbo kila...
1 Reactions
17 Replies
993 Views
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri...
8 Reactions
72 Replies
4K Views
Salama ya CHADEMA nikususia uchaguzi zaidi ya kushiriki. Wawaache wale ambao wana tamaa ya ubunge waende ACT au CHAUMa kuliko kushiriki uchaguzi unaosimamiwa na Makada wa CCM. Wasipoweka msimamo...
0 Reactions
9 Replies
822 Views
Demokrasia tunayoifuata ni kuchagua kiongozi umtakaye katika mazingira yatakayoonesha kwamba ameshinda au kushindwa kihalali. Yaani haki ya mpigakura ionekane peupe, na kuheshimiwa na wadau wote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kila anayesimama kutetea watanzania anafungwa na watanzania ila anayeiba anaongezewa cheo. Tumeona wale wote walioiba wakasifia watawala wanazidi kupewa nafasi nzuri ya kuiba na kula ila wale wote...
3 Reactions
5 Replies
578 Views
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu. Sasa leo...
28 Reactions
145 Replies
8K Views
CHama cha Mafisadi, hivi sasa kiko katika mgawanyiko baina ya wafuasi wa Mwenfazake, na wafuasi wa Mama, na matokeo yake ni chuki iliyopo baina ya pande hizi mbili na chuki hii ndio chanzo cha...
26 Reactions
74 Replies
7K Views
Mchakato wa kumtangaza Mtumishi wa Mungu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa Mwenyeheri na hatimate Mtakatifu unaendelea na kwa sasa uko chini Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania. KANISA...
11 Reactions
69 Replies
7K Views
Kuna mambo yanaongelewa "mtaani" (majukwaa yasiyo rasmi) ukiyasikia unaweza kudhani unaota au hayapo kumbe ndio uhalisia Ukiona na kusikia wasanii wanaotunga tungo za kuikosoa serikali...
3 Reactions
1 Replies
990 Views
Salaam! Tukipata barabara mpya ya Kakonko hadi Mambali (Uyui) tutaokoa muda wa kusafiri, fedha na uhovu. Kwa kuwa tunapozungukia Kahama - Nzega - Tabora tunasafiri zaidi ya 400kms. Lkn pia...
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Figisu zinaendelea kwenye mikoa na wilaya ambapo wale viongozi wasio na uwezo wanarejeshwa kwenye nafasi za uteuzi ili wazee waweze kushika nafasi za juu kwenye chama Mwenyekiti wa CCM mkoa wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Chatanda amefurahishwa na Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika wilaya ya Geita chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndg.Zahara Michuzi kwa kujenga...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS kujenga mizani katika Barabara kuu zinazoingia na kutoka mjini Kigoma. Amesema kasi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Haya madini ntayokupa hapa hutapata popote maana weye natambua una "potential" kubwa huko mbele ya safari. Kama kawaida yangu jana baada ya kusikiliza ulokisema...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Nawasalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo Kwa sasa combination ya Mbowe ( Mwamba) na Tundu Lisu ( Ni Yeye) ndio inafanya Vizuri sana kwenye Siasa za Majukwaani, mitandaoni na Mioyoni...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Elihuruma Mabelya amemtaka Mwalimu Japhet Maganga kurejea kazini kufuatia Katibu Mkuu Ofisi ya Rais- Utumishi, Juma Mkomi kutoidhinisha maombi ya mwalimu huyo...
0 Reactions
228 Replies
24K Views
Kutoka kuhesabu hasara,kundo la Madeni na inefficiency Sasa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco limerekodi faida ya kwanza ya kibiashara ya Shilingi Bilioni 110. Mageuzi yaliyosimamiwa na...
4 Reactions
138 Replies
9K Views
Sasa ni rasmi Wawekezaji wa sekta ya nyumba na ardhi (real sector investors) kutoka nje ya nchi wataruhusiwa kumiliki ardhi na nyumba kwa minajiri ya biashara ndani ya Tanzania kwa masharti...
6 Reactions
58 Replies
7K Views
NAIBU WAZIRI: HAKUNA MADARAJA KATIKA BIMA YA NHIF Mbunge Aida Joseph Khenani alitoa hoja kuwa Wananchi wanapokata Bima za Afya za NHIF wanawekewa ukomo wa baadhi ya huduma na dawa wanapofika...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi. Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom