Nilikuwa naangalia clip ya ziara ya makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kwenye kaburi la Balozi Kasanga Tumbo
Tundu Lisu alisema ni vema pakawepo na Kumbukizi la Balozi Kasanga Tumbo kila...
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri...
Salama ya CHADEMA nikususia uchaguzi zaidi ya kushiriki. Wawaache wale ambao wana tamaa ya ubunge waende ACT au CHAUMa kuliko kushiriki uchaguzi unaosimamiwa na Makada wa CCM.
Wasipoweka msimamo...
Demokrasia tunayoifuata ni kuchagua kiongozi umtakaye katika mazingira yatakayoonesha kwamba ameshinda au kushindwa kihalali. Yaani haki ya mpigakura ionekane peupe, na kuheshimiwa na wadau wote...
Kila anayesimama kutetea watanzania anafungwa na watanzania ila anayeiba anaongezewa cheo. Tumeona wale wote walioiba wakasifia watawala wanazidi kupewa nafasi nzuri ya kuiba na kula ila wale wote...
Kumekuwa na shutuma nyingi sana za kumshutumu Magufuli kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020 lakini watowa lawama wote ukiwauliza alivurugaje au aliiba vipi kura hakuna atakayekupa jibu.
Sasa leo...
CHama cha Mafisadi, hivi sasa kiko katika mgawanyiko baina ya wafuasi wa Mwenfazake, na wafuasi wa Mama, na matokeo yake ni chuki iliyopo baina ya pande hizi mbili na chuki hii ndio chanzo cha...
Mchakato wa kumtangaza Mtumishi wa Mungu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa Mwenyeheri na hatimate Mtakatifu unaendelea na kwa sasa uko chini Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.
KANISA...
Kuna mambo yanaongelewa "mtaani" (majukwaa yasiyo rasmi) ukiyasikia unaweza kudhani unaota au hayapo kumbe ndio uhalisia
Ukiona na kusikia wasanii wanaotunga tungo za kuikosoa serikali...
Salaam!
Tukipata barabara mpya ya Kakonko hadi Mambali (Uyui) tutaokoa muda wa kusafiri, fedha na uhovu. Kwa kuwa tunapozungukia Kahama - Nzega - Tabora tunasafiri zaidi ya 400kms.
Lkn pia...
Figisu zinaendelea kwenye mikoa na wilaya ambapo wale viongozi wasio na uwezo wanarejeshwa kwenye nafasi za uteuzi ili wazee waweze kushika nafasi za juu kwenye chama
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa...
Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Chatanda amefurahishwa na Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika wilaya ya Geita chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndg.Zahara Michuzi kwa kujenga...
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS kujenga mizani katika Barabara kuu zinazoingia na kutoka mjini Kigoma.
Amesema kasi...
Moja kwa moja kwenye mada.
Haya madini ntayokupa hapa hutapata popote maana weye natambua una "potential" kubwa huko mbele ya safari.
Kama kawaida yangu jana baada ya kusikiliza ulokisema...
Nawasalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Kwa sasa combination ya Mbowe ( Mwamba) na Tundu Lisu ( Ni Yeye) ndio inafanya Vizuri sana kwenye Siasa za Majukwaani, mitandaoni na Mioyoni...
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Elihuruma Mabelya amemtaka Mwalimu Japhet Maganga kurejea kazini kufuatia Katibu Mkuu Ofisi ya Rais- Utumishi, Juma Mkomi kutoidhinisha maombi ya mwalimu huyo...
Kutoka kuhesabu hasara,kundo la Madeni na inefficiency Sasa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco limerekodi faida ya kwanza ya kibiashara ya Shilingi Bilioni 110.
Mageuzi yaliyosimamiwa na...
Sasa ni rasmi Wawekezaji wa sekta ya nyumba na ardhi (real sector investors) kutoka nje ya nchi wataruhusiwa kumiliki ardhi na nyumba kwa minajiri ya biashara ndani ya Tanzania kwa masharti...
NAIBU WAZIRI: HAKUNA MADARAJA KATIKA BIMA YA NHIF
Mbunge Aida Joseph Khenani alitoa hoja kuwa Wananchi wanapokata Bima za Afya za NHIF wanawekewa ukomo wa baadhi ya huduma na dawa wanapofika...
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.
Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.