Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tangu jana tunashuhudia kupostiwa topic kadhaa za vibaraka wa CCM na DP-WORLD humu zikiwa na dalili ya ku-test upepo wa Jamii kuhusu uwekezaji wa kifisadi wa DP-WORLD Kwenye Bandari zetu. Enyi...
13 Reactions
82 Replies
4K Views
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu. Hii maana...
28 Reactions
86 Replies
8K Views
Nayaheshimu sana na mno Madhehebu mengine yote ukiachilia langu la Katoliki, ila kwa Tanzania hii na Nguvu ya Kanisa Katoliki tokea Uhuru na lilivyojikita indirectly katika Siasa za Tanzania...
26 Reactions
409 Replies
36K Views
Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili. Tulitegemea EWURA...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Niende moja Kwa moja kwenye hoja, Kwa siku chache ulizokaa Wizara ya Nishati ndugu Biteko, Leo ni siku ya tatu mfululizo mkoa wa Geita na Shinyanga hatujakatiwa umeme. Huo ni mwanzo mzuri...
5 Reactions
68 Replies
3K Views
Katika nchi yetu imeonekana kwa sasa sifa kuu ya klongozi ni kuwa mahiri wa kutatua kero. Kiongozi anateuliwa leo, anaambiwa wewe utafaa kwenye kutatua kero hii. Mfano ni kero ya mgawo wa...
1 Reactions
1 Replies
467 Views
Ni vyema hali ya uwanja ikawa wazi kwetu na kwao. Ukweli hautaacha kuwa mchungu. Kususia uchaguzi itakuwa ni SAWA na kususia fisi bucha. Wanapaswa kujua kususa hakupo! Kujipanga kwa ushindi...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Nikwambie Rais Samia ya kwamba January Makamba na management nzima ya Tanesco ndio imesababisha hii adha ya umeme tuliyonayo sasa, kwanini unaona aibu kusema hadharani failure ya waziri na...
13 Reactions
27 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai, 2023 amefanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Wilaya kama ifuatavyo: 1) Ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya...
7 Reactions
158 Replies
24K Views
Serikali Kupitia Tanesco imeandika Historia ya kusaini mkataba wa Kuzalisha Umeme wa Juna na kampuni ya China wenye thamani ya Shilingi Bilioni 275 ambao utazalisha megawatt 150 Kishapu ,Shinyanga...
8 Reactions
153 Replies
10K Views
Matatizo yote ya taifa letu yanatokana na kutokujua kiingereza vizuri na msingi mbovu wa kiingereza. Huo ndio ukweli lazima tuuseme. Ukiingalia mataifa yote yanayotumia kiingereza kama official...
1 Reactions
3 Replies
536 Views
Tena akiwa mama Abdul sijui atakuja na ipi na vile katoka ukanda wa mipasho itakuwa kivumbi tupu!. Ugumu unakuja taswira alioitengeneza watu sahivi wanaona hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Aliyekuwa MD Tanesco ndugu Maharage nimesikiliza redioni mida hii akimshukuru rais kumteua kuwa boss mpya Posta. Amedai kuwa anaenda kufanya maajabu Posta Kama alivyobadilisha Tanesco katika...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Bunge Maalum la katiba linaendelea muda huu na leo wajumbe wataendelea kujadili sura ya kwanza na sita ya rasimu mpya ya katiba. Mh. Sereweji kutoka Zanzibar anasema kuwa muundo wa serikali...
24 Reactions
1K Replies
135K Views
Kwenye kiapo Cha Leo mapacha wateule wa Rais Samia peter na jonh Ulanga ni watu wa kutoka mkoa gani . Kwa kuwa jamiiforums ni mtandao mpana ,majibu tafadhari USSR
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kwa siku kadhaa hatuna Msemaji wa Serikali baada ya Gerson Msigwa kupelekwa Wizarani , na hakuna kilichobadilika , basi ni dhahiri kwamba Cheo hiki hakina haja ya kuwepo ili kupunguza...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Tatizo la mgao wa umeme nchini; Serikali iwajibike Utangulizi Nchi nzima sasa inakabiliwa na tatizo la mgao wa umeme. Taarifa ya shirika la umeme nchini TANESCO imeeleza kuwa hali hii inatokana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
MBUNGE TAUHIDA GALLOS ATEMBELEA WANAFUNZI KIDATO CHA NNE WANAOJIANDAA NA MTIHANI WA TAIFA Mbunge wa Viti Maalum (Wanawake) Zanzibar, Mhe. Tauhida Cassian Gallos ameambatana na kuongozana na...
1 Reactions
6 Replies
664 Views
Mheshimiwa Rais wa JMT, Pamoja kuwa upo busy na majukumu yako lakini ikikupendeza basi naomba usome huu ujumbe wangu pasipo kuchoka, na kama kuna wasaidizi wako basi itakuwa ni vema endapo...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu zangu tunapozungumzia Mataifa makubwa tunawalenga Marekani, Ujerumani, Wiingereza, Japan, China, Korea nakadhalika. Haya ni mataifa makubwa yalifanikiwa tangu zamani na wakati mwingine...
3 Reactions
12 Replies
920 Views
Back
Top Bottom