Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 422
- 524
Nimesikiliza kwa umakini juu ya maoni ya Mwanamziki wetu nguli Diamond Plutinum Kuwa Mama Samia Atambuliwe kama Mama wa Taifa la Tanzania.
Baadhi ya Sababu alizotoa ni hizi zifuatazo;
1. Ni mwanamke wa kwanza kuwa kiongozi wa Taifa la Tanzania,
2. Pamoja na kuwa ni mwanamke,amefanya kazi bora na ya kutukuka mno hadi sasa,
3. Ameunganisha nchi.
Tuongeze sababu zingine ili mswada uwasilishwe bungeni na kuwa sheria.
Naomba kuwasilisha.
Baadhi ya Sababu alizotoa ni hizi zifuatazo;
1. Ni mwanamke wa kwanza kuwa kiongozi wa Taifa la Tanzania,
2. Pamoja na kuwa ni mwanamke,amefanya kazi bora na ya kutukuka mno hadi sasa,
3. Ameunganisha nchi.
Tuongeze sababu zingine ili mswada uwasilishwe bungeni na kuwa sheria.
Naomba kuwasilisha.