Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimejaribu sana kutafuta neno la kiswahili juu ya critical thinking. Ziko maana kadhaa ambazo hata zenyewe kuzisema ni msamiati mgumu kwa wengi. Nieleze tu kwamba ninachotaka kuonyesha katika...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
..ndugu zangu mtakumbuka Jiwe wakati wa kampeni alidai kuna hujuma ya kutengeneza mgao wa umeme. ..mbinu aliyodai inatumika ni kufungulia maji wa Mtera ili kina kiwe kidogo na kusababisha mitambo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa nini mtu usig'atuke na kupisha watu wenye nia thabiti ya kuwakomboa Watanzania? Tozo, ufisadi, umeme kukatika hovyo na wizi wa mali za umma iiuweze kudhibitiwa unahitaji viongozi wenye nia...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Nadhani kama ningepewa task ngumu zaidi ni kutafuta mwanasiasa mmoja asiye mzandiki. Nalazimika kuhukumu kwamba pengine siasa ni uzandiki na uzandiki ndio siasa yenyewe. Mjadala wenye afya kwa...
0 Reactions
4 Replies
642 Views
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi...
13 Reactions
93 Replies
5K Views
Miaka 60 ya uhuru ni jambo gani ambalo ccm wanaweza kujivunia wamelifanya na ku accomplish angalau kwa asilimia 60%. Wale maadui watatu waliotangazwa na Baba wa Taifa ujinga, maradhi na Umaskini...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
- Ziara imekuwa na Mafanikio Makubwa. - Azindua Miradi iliyogharimu mabilioni ya Pesa. - Asema Serikali imedhamiria kufungua Mkoa wa Mtwara kiuchumi. - Wananchi wamshukuru na Kusema Ziara...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiongozi yeyote ili kufikia malengo yake lazima awe na Mikakati. Mojawapo ni uzalishaji wa umeme WA kutosha , ili mitandao ya kukusanya Kodi iwe na ufanisi unaotakiwa, Kwa kutumia vishikwambi...
1 Reactions
0 Replies
445 Views
Kuna watu tena unakuta ni viongozi tena labda ni wa CCM tena unakuta labda ni mbunge, unakuta anatumia mamlaka yake kupokonya na kudhrumu viwanja vya wanyonge kwa kisingizio cha miradi. Unakuta...
0 Reactions
0 Replies
294 Views
Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu Philip Isdory Mpango Nawasalimu sana katika jina la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA! Baada ya Salaam hizi nachukuwa wasaa huu kuwaombea afya ya siha bora Wewe...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania ni nchi moja nzuri sana tena saaana, ila haijabahatika kuwa na mwendelezo wa viongozi wazuri wenye uchungu na nchi Ukweli napenda nisisitize, 17 march 2023, TANZANIA ilipoteza kiongozi...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
Jirani zetu Rwanda wameanza ujenzi wa vinu vya kisasa vya nuclear ambavyo ifikapo mwaka 2026 vitakuwa vinazalisha umeme wa uhakika wa bei nafuu. Vinu hivi vitazalisha pia mafuta na bidhaa...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Kama umeweza kufufuka Bagamoyo Port Umeweza kufufua.NHC Umeweza kufufua Pension Funds eg NSSF na Psssf Umeweza kufufua Kilimo Umeweza Kufufua Biashara Umerudisha Ajira Serikalini Tunaomba...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ninafikiri lengo lilikuwa kuhakikisha hotuba ya Rais inasikilizwa na kuwafikia wananchi wengi. Mtazamo wangu ninaona hata kwa siku ya leo hawa watawala + tanesco wangefanya uungwani kuwaachia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mapungufu madogo madogo na kasoro chache zilizopo, vipo pia kila mahali inapotekelezwa demokrasia ya aina ya Tanzania, mathalani Marekani na kwingineko. Na kwasababu hiyo uchaguzi huru na wa haki...
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM. CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na...
4 Reactions
63 Replies
5K Views
Negative plus Negative 🟰 Positive Don’t think it’s a demotion simply means…😂😂😂. Uzuri ni kwamba Rais akikuteua kwa nafasi yoyote ile juwa kwamba wewe ni jembe na anakuamini utamsaidia...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
TANZANIA TUJIANDAE KIMKAKATI UWENYEJI WA AFCON 2027. Tarehe 27 Septemba 2023 Shirikisho la Mpira Barani Afrika CAF katika kikao chake kilichoketi Nchini Misri ,wamezitangaza nchi za Afrika...
0 Reactions
3 Replies
785 Views
Wanajamvi Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom