Nimejaribu sana kutafuta neno la kiswahili juu ya critical thinking. Ziko maana kadhaa ambazo hata zenyewe kuzisema ni msamiati mgumu kwa wengi.
Nieleze tu kwamba ninachotaka kuonyesha katika...
..ndugu zangu mtakumbuka Jiwe wakati wa kampeni alidai kuna hujuma ya kutengeneza mgao wa umeme.
..mbinu aliyodai inatumika ni kufungulia maji wa Mtera ili kina kiwe kidogo na kusababisha mitambo...
Kwa nini mtu usig'atuke na kupisha watu wenye nia thabiti ya kuwakomboa Watanzania?
Tozo, ufisadi, umeme kukatika hovyo na wizi wa mali za umma iiuweze kudhibitiwa unahitaji viongozi wenye nia...
Nadhani kama ningepewa task ngumu zaidi ni kutafuta mwanasiasa mmoja asiye mzandiki. Nalazimika kuhukumu kwamba pengine siasa ni uzandiki na uzandiki ndio siasa yenyewe.
Mjadala wenye afya kwa...
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi...
Miaka 60 ya uhuru ni jambo gani ambalo ccm wanaweza kujivunia wamelifanya na ku accomplish angalau kwa asilimia 60%.
Wale maadui watatu waliotangazwa na Baba wa Taifa ujinga, maradhi na Umaskini...
- Ziara imekuwa na Mafanikio Makubwa.
- Azindua Miradi iliyogharimu mabilioni ya Pesa.
- Asema Serikali imedhamiria kufungua Mkoa wa Mtwara kiuchumi.
- Wananchi wamshukuru na Kusema Ziara...
Kiongozi yeyote ili kufikia malengo yake lazima awe na Mikakati. Mojawapo ni uzalishaji wa umeme WA kutosha , ili mitandao ya kukusanya Kodi iwe na ufanisi unaotakiwa, Kwa kutumia vishikwambi...
Kuna watu tena unakuta ni viongozi tena labda ni wa CCM tena unakuta labda ni mbunge, unakuta anatumia mamlaka yake kupokonya na kudhrumu viwanja vya wanyonge kwa kisingizio cha miradi. Unakuta...
Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu Philip Isdory Mpango
Nawasalimu sana katika jina la JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA!
Baada ya Salaam hizi nachukuwa wasaa huu kuwaombea afya ya siha bora Wewe...
Tanzania ni nchi moja nzuri sana tena saaana, ila haijabahatika kuwa na mwendelezo wa viongozi wazuri wenye uchungu na nchi
Ukweli napenda nisisitize, 17 march 2023, TANZANIA ilipoteza kiongozi...
Jirani zetu Rwanda wameanza ujenzi wa vinu vya kisasa vya nuclear ambavyo ifikapo mwaka 2026 vitakuwa vinazalisha umeme wa uhakika wa bei nafuu. Vinu hivi vitazalisha pia mafuta na bidhaa...
Ninafikiri lengo lilikuwa kuhakikisha hotuba ya Rais inasikilizwa na kuwafikia wananchi wengi. Mtazamo wangu ninaona hata kwa siku ya leo hawa watawala + tanesco wangefanya uungwani kuwaachia...
Mapungufu madogo madogo na kasoro chache zilizopo, vipo pia kila mahali inapotekelezwa demokrasia ya aina ya Tanzania, mathalani Marekani na kwingineko.
Na kwasababu hiyo uchaguzi huru na wa haki...
Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na...
Negative plus Negative 🟰 Positive
Don’t think it’s a demotion simply means…😂😂😂.
Uzuri ni kwamba Rais akikuteua kwa nafasi yoyote ile juwa kwamba wewe ni jembe na anakuamini utamsaidia...
TANZANIA TUJIANDAE KIMKAKATI UWENYEJI WA AFCON 2027.
Tarehe 27 Septemba 2023 Shirikisho la Mpira Barani Afrika CAF katika kikao chake kilichoketi Nchini Misri ,wamezitangaza nchi za Afrika...
Wanajamvi
Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi
Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu...
Nikiwa ndio nimeajiriwa NBC mwaka 2008 kuelekea 2009 kwenye mkutano mmoja NBC MD's road tour, nilimsikia mtu mmoja anahutubia anasema "Mtaimba sana Solidarity forever lakini mtabaki hapo hapo,Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.