Mie kila pakikucha huwa ninakumbuka ile aliyosema ananunua treni. Bahati mbaya siku hiyo nikiwa ninasubiria kwenye foleni pale alipokuwa akihubiria nikasikia ahadi hiyo. Seriously ilinibidi nipaki...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaweka miundombinu bora kwa michezo yote Zanzibar.
Rais Dk. Mwinyi amesema hayo katika hafla...
Ilikuwa ni mazoea na jadi kamati kuu ya Chadema kufukuza watu, na waliofukuzwa hawakuona haja ya kukomaa mahakamani bali walihama au kuanzisha vyama vipya. Mdee amefanya sawa na Upare wake kukomaa...
Viongozi wanamiliki magari (mabasi na malori), hao hao wanamiliki vituo vya mafuta ya kunyweshea magari yao, hao hao wanamiliki hoteli za wageni mahali yanakoenda magari yao ili abiria waliopanda...
Hayati Shabaan Robert aliandika 'Kusadikika' na 'Kufikirika' ili kuisema Serikali ya Kikoloni ya Waingereza. Wakoloni hawakumkamata, badala yake aliendelea kufanya kazi katika Serikali ya...
Wiki jana nimeingia benki moja Mikoa Fulani nikakuta watumishi wamejikusanya kwa majonzi. Baadhi yao niliwafahamu Na nilipowadodosa wakadai mikopo yao kukwamishwa na maafisa utumishi.
Walidai...
Imekwisha, Jaji kabariki kuwa uamuzi wa Kamati Kuu (KK) ulikuwa sahihi kwa mujibu wa katiba ya Chadema na sheria za nchi.
Lakini rufaa ya COVID 19 haikusikilizwa kihalali kwa vile wajumbe wa KK...
Nimewaza sana baada ya kuona bunge la umoja wa nchi za ulaya umepiga kura kwa wingi kabisa kulaani serikali ya Tanzania kuwaondoa kwa hiari wamaasai Ngorongoro .
Hamaki yangu kubwa ilisimamia...
Wanabodi,
Mimi kama kawaida yangu ni mtu wa maswali na hapa nauliza tuu, ila tuanze na kitu kinachoitwa first thing first
Kwanza, Kikao cha Baraza Kuu la Chadema, ni kikao, halali, hivyo maamuzi...
Je, ni kweli uongozi wa Chadema hawakutoa baraka kwa wanaoitwa covid-19 kwenda bungeni?
Je, ni kweli walienda bila uongozi kuwateua?
Kama ni kweli inakuaje hawa waliondoka bila wenza wao kujua...
Safari hii alipotimkia Ubelgiji alikwenda kulikoleza kwa akina Amsterdam na matokeo yake ndio haya.....
Kisha akaja kujibanza hapo Kenya akifanya vikao na wale wanufaika wa Loliondo huku akijinadi...
Kwawale tuliokua tukifatilia kesi hadi sasa hukumu, na kwajinsi hakimu alivyosoma hukumu, imesikitisha sana kuona maamuzi yaliyotolewa.
Kulingana na wanasheria walivyokua wakieleza, nikua ili...
Nchi za kiafrika zimeshindwa kubaini uwanda mpya uliopo ulimwenguni baada ya vita baridi kati ya nchi kubwa kuisha anasema balozi Ami Mpungwe.
Africa imeshindwa katika mapinduzi ya kiviwanda na...
Kupitia mtandao wa X, Wakili Peter Madeleka ameandika kuwa
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Arusha (A.R. NDOSSY-SRM) AMEKATAA kutoa HATI YA WITO (Summons) Kwa WASHITAKIWA hapo , KINYUME kabisa...
Kupitia ukurasa wake rasmi wa X (Twitter) Peter Madeleka anaandika
HAWAKO juu ya SHERIA na wala HAWANA KINGA ya kutoshitakiwa KIJINAI. Naishukuru Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kwa KUIPOKEA kesi...
Hukumu iliyokuwa inasubiriwa hatimae leo imetoka.Katika hukumu hiyo Jaji amekiri kuwa Halima na Wenzake walikwishafukuzwa uanachama na Kamati kuu hivyo sio Wanachama wa Chadema.
Kwa kuishia hapo...
Ukiachana na South Africa ambayo kwa sasa iko Oversupplied na Wahamiaji haramu kutoka pande zote za Dunia, Tanzania huenda ni kituo cha pili cha wahamiaji haramu kwa Africa ukiitoa hio South...
Katika siasa anguko la mmoja ni faraja kwa wengine.Hii imedhihirika ndani ya CCM ambako baada ya anguko la Daniel Chongolo baadhi ya makada wenzake wanahaha kutaka kuwa mrithi wake.
Wafuatao...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya kwanza imefanya majadiliano ya kidiplomasia na Serikali ya Finland kwa lengo la kuimarisha, kukuza na kudumisha ushirikiano katika sekta...
UKWELI KUHUSU UJENZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)
Mhe. Edward Ngoyai Lowassa yeye mwenyewe anaeleza, ananukuliwa kama ifuatavyo:
"Sikuwashinikiza nilitaka watumie busara zao tu. Ilikuwa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.