Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha; 1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa...
9 Reactions
77 Replies
8K Views
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji . Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi . ==== Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi...
32 Reactions
426 Replies
33K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa na baadae kushiriki Dua Maalum ya kumuombea...
1 Reactions
3 Replies
342 Views
Dar es Salaam. Ripoti mpya ya Benki ya Dunia imetoa taswira inayohusu nchi zinazoendelea, ikiwa ni pamoja na Tanzania, zinazokabiliana na kuongezeka kwa mzigo wa kulipa madeni. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekabidhiwa mfano wa ramani ya mji mpya wa biashara na uwekezaji, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi B - Mkoa wa Mjini...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Inajulikana kimisemo Kuwa Dawa ya Deni ni kulipa lakini madeni mengine yashakuwa bad debts kama yale ya epa Kwani tusipolipa Madeni ya Nyerere na Mzee Rukhsa watatufanya nini? Hilo tu Nawatakia...
0 Reactions
3 Replies
333 Views
watanzania wengi we are tired, tumechoka sana, . hii SERIKALI ya awamu hii is the worst government ever. EVERYTHING IS BROKEN, BADO SOCIETY TU, 2025 MBALI SANA WE ARE RUNNING OUT PATIENCE...
6 Reactions
52 Replies
2K Views
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hiki kizazi cha hawa Baby Boomers (watu waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1960 i.e 1946-1964), ni kizazi cha watu...
3 Reactions
2 Replies
562 Views
Asalaam Aleykum. Inasikitisha sana kuzaliwa kwenye nchi ambayo watu wake wamejaa ubinafsi na kila mtu yuko tu kuangalia maslahi yake na ya familia yake! Yaani nyinyi ma "Baby Boomers" ndo wa...
2 Reactions
2 Replies
464 Views
wasalaam, inashangaza mpaka sasa serikali ccm na tume ya uchaguzi ya ccm hawana mpango wa kuandikisha wapiga kura wapya ktk daftari la kudumu la mpiga kura. ukiangalia kule upande wa pili visiwani...
2 Reactions
2 Replies
935 Views
Maamuzi ya Mahakama , kwa kifupi yanakubali hawa walifukuzwa na CHADEMA , kwamba sasa si wabunge ila wasikilizwe rufaa ya kupingwa kufukuzwa. Maskini wa Tanganyika aliyebebeshwa mzigo wa Tozo za...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Momba lililopo mkoani Songwe, Condester Michael Sichalwe amesema muunganiko wa mabunge ya Afrika Mashariki ni jambo linalolochochea shughuli za kiuchumi, kijamii, kisiasa pamoja...
1 Reactions
1 Replies
359 Views
Baada ya ziara ndefu ya kanda ya Ziwa CCM imejiridhisha bado inakubalika sana hivyo inawaandalia Wanachama wake na Wananchi wote kwa Ujumla program ya Ushindi wa sunami Kule ziwani ndio Kwenye...
1 Reactions
4 Replies
525 Views
KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania...
2 Reactions
52 Replies
3K Views
Jana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi ambayo Jerry Silaa ameteuliwa. Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri...
21 Reactions
75 Replies
9K Views
1 kwanza kabisa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Wa Tanzania.Nipo na Christopher Kweka tunawasalimu. 2 Imekuwa ni siku Nyingi sana Tangu kuonana na nyinyi ukoo wangu nikaona si vyema...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Lisu ana matatizo sana jamani, msikie anavyopingwa na wakenya kwa ushahidi. Anaitangazia ubaya Tanzania huko nje ya mipaka, ni hatari sana huyu mtu. Hataki wawekezaji waje hata kidogo. ni...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO (Francis Samaiko - PICHANI) aliwekwa mahabusu kwa kosa la uvunjifu wa amani kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 30/11/2023. madini ya rubi Hakuna mgogoro wowote kati ya...
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema yeye kama mume wa Mama Salma Kikwete mbunge wa sasa wa Jamhuri, ni zamu yake sasa kumuunga mkono mkewe katika ubunge huo. Mama Salma ambaye alikuwa mstari wa...
20 Reactions
119 Replies
18K Views
Kwa wataalamu wa diplomasia na kwa kuzingatia mada yangu ya pasipoti za Tanzania kushikiliwa na waajiri. Watu wengi wanaona siyo jukumu la Afisa Ubalozi kumlinda kwa hali zote raia wa Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
447 Views
Back
Top Bottom