Ifike mahali Watanzania tuache kukubali hadaa na uzushi unaotolewa na akina Evarist Chahali na Kigogo

Kimalingano

JF-Expert Member
Mar 27, 2023
422
522
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.

Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.

Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.

Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.

Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
 
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.

Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.

Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.

Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.

Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Mkuu ulitaka Generali wa Jeshi la JMT..Aende kinyume na Rais wa JMT ili kitokee nini?

Ulitaka atamka Tarehe tofauti na iliyokubalika na Serkali ili watanzania Wakose imani na Serkali? Halafu kitokee kitu gani?

Kuna Vitu huwa viko Ndani ya Kiapo mpaka unakufa na kama ni Dhambi bhasi utakufanya nayo Ilu kulinda Maslahi ya Serkali iliyopo madarakani
 
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.

Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.

Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.

Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.

Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Kwa jinsi hali halisi ya mashaka yaliyopo ktk kusema ukweli iliyopo kwa Viongozi wa Serikali ya nchi hii, ni vigumu sana kuamini matamko hayo yaliyosemwa na huyu mtu, ni ngumu sana kupita kiasi kumuamini kwamba amesema ukweli.
 
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.

Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.

Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.

Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.

Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
hata hivyo
uposhwaji, uzushi, habari, stori na simulizi kama hizo za hawo wazushi ulowataja,
zinaaminika, zinapendwa na kukubalika sana chadema, kwasababu hawana wanachoweza kufanya ispokua kubabaika na uzishi....
na huwa wanajadili uzushi kama huo hadi kamati kuu...
 
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.

Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.

Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.

Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.

Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Mkuu mimi sijui kipi ni cha kweli ila hata kama hayo madai ya akina kigogo ni ya kweli wewe wadhani angesema.
Bado unaamini tamko la waziri mkuu kuwa rais mzima anachapa kazi.
Kuna mambo mengine yanabaki kuwa siri tu siku zote.
Hivyo ukweli na uongo wanaujua wahusika
 
Mtoa hoja usiwe mtu wa kuchagua habari unayoitaka wewe,President Magufuli wakati fighting for his life,PM alikuja public kusema kuwa yupo na afya njema na anaendelea kuchapa kazi,pia think out of box,President yupo critical ill,vice wake yupo Tanga for 5 days!,kimkoa ambacho mimi mwenyewe ninakimaliza kukitembelea kwa 2 days,PM yupo huko why hii itokee,cdf ni maoni yake take with a pich of salt
 
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.

Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.

Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.

Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.

Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Ulitakaje !?? Waziri Mkuu Majaliwa si alisema yupo anachapa Kazi!??
 
Wewe mwenyewe ubadilike.acha kuamini maneno ya watu ata kama wako upande unaoupenda.Hayo maelezo ya cdf mstaafu yameongeza maswali kuliko majibu,bora angekaa tu kimya.Kwasababu haiwezekani kiongozi wa nchi awe mahututi hospitalini alafu wasaidizi wake wa karibu wasiwe na taarifa yakuiambia Umma.Tena taarifa yenyewe ilitolewa baada yakuwepo sistofahamu.Ukitumia akili zako vizuri bora nawewe ukae kimya tuuache muda utatoa majibu sahihi kwa wakati wake.
 
Na wewe umekubali hadaa kuwa Jiwe alifariki tarehe 17??

Kwa uchu wa madaraka uliopo Africa kiongozi hawezi kufariki ikatangazwa siku hiyo hiyo

Kama ulivyosikia kulikuwepo na timu pinzani miongoni mwa wanakijani ambao kila mtu alikuwa na pendekezo lake nani akwae urais ni uthibitisho tosha wewe ndio uliziona ni hadaa ila ndio ulikuwa ukweli wa mambo.

Pole sana sukumagang.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom