Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 422
- 522
Tumemsikia Mkuu wa Majeshi Mstaafu Generali Mabeyo akisimulia hivi karibuni jinsi Magufuli alivyouguzwa hadi kufariki.
Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.
Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.
Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.
Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.
Katika maelezo yake, Generali anadhihirisha kuwa Magufuli alifariki tarehe na muda uliotajwa na Mhe. Samia alipokuwa akitangaza kifo hicho.
Lakini akina Evaristi Chahali na Kigogo wakajifanya wana taarifa za ndani na nyeti na kutangaza kuwa kifo hicho kilitokea kabla.
Mbaya zaidi Chahali akadai kuwa Zitto Kabwe alihusika kwa kiasi kikubwa kufanikisha Mhe. Samia kuapishwa kuwa Rais akidai kuwa kuna baadhi ya viongozi walitaka asiapishwe.
Lakini Generali anaonesha kuwa hakukuwa na changamoto ya namna hiyo. Hata kama ingekuwepo wasingemtafuta Zitto atoe ushauri.