Kwanini Mawaziri wanatoa takwimu za uongo tathmini miaka 3 ya Rais Samia?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu.

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?

20240319_115033.jpg
 
Tatizo ni lako sio la taarifa wala mtoa taarifa, Kwa kifupi umeshindwa kuielewa taarifa husika.

Taarifa inasema ujenzi na uendelezaji wa hospitali mpya za halmashauri 127 lakini wewe hoja yako imesimama kwenye ujenzi zaidi.

Labda nikuulize swali ,katika halmashauri 185 Kulikuwa na hospitali za halmashauri ngapi zilikuwa zimekamilika kabla Rais Samia hajaingia madarakani?
 
Waswahili husema "Mbwa ukimjua jina, hakupi shida njiani'.

Takwimu za uongo zinaambatana na sifa kwa huyo anaesemekana kufanikisha hayo ya uongo. Washajua anapenda kusifiwa basi na wao wanampa sifa hata ikiwa za uongo. Kikubwa yao yanaenda.
 
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu..

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?​

View attachment 2938852

Na watunga mashairi musiwe nyumanyuma nayi mjitokeze kuandika tungo za kusifia utawala wa awamu ya 6 kwa mistari iliyopangika kama shairi hili la zama za Tanganyika ilipokuwa chini ya King George nchi nzima ilisherehekea maadhimisho ya kila mwaka

TOKA MAKTABA :
Shairi maalum la kumbukumbu ya kuzaliwa King George V lililoandikwa na raia wa koloni la Uingereza la Tanganyika Afrika Mashariki

Mbaraka bin Shomari (1897)

9) Wakatabahu khadimu, Mimi kijitu fakiri.(9) This was written by a servant,
I’m an unimportant, poor person
Jina langu mwalimu, Mbaraka bin Shomari.My name is Mwalimu, Mbaraka bin Shomari.
Nimesifu mwazzimu, Mfalme akhiyariI’ve praised the Great, the beloved Kaiser —
Hapana tena hapana, wewe ndio
Kaizari!
There is nobody else. You are the Kaiser!
11Mbaraka bin Shomari
 
Wa-Shairi tusiwe nyuma tufanye hima kuja na tungo kwa ajili ya siku hii ya kumbukumbu 2024, ni uzalendo kiongozi haji bali kwa mapenzi ya Mungu yaani ukiona mtawala ameukwaa uongozi juwa nyuma yake amekingiwa kifua na Mungu.

Tujikumbushe jinsi hali ilivyokuwa enzi za Tanganyika iliyokuwa koloni chini ya utawala wa Mwingereza

Toka maktaba :

Sisi raia inabidi tukae kutunga shairi , wimbo au tenzi kukumbuka siku hii adhimu ya kuzaliwa mtawala wetu Maulana King George V.

Heshima ya King George V ( “Respect for King George V”)16 Kaniki Nguo ya Kale, Dar es Salaam Mambo Leo (c.1923-36)

(1) Leo siku ya tatu katika mwezi wa Juni(1) Today is the third day in the month of June
Kazaliwa Bwana wetu King
George Sultani
When was born our lord and sultan King George
Jamii ya wote shime andameni
Mkongeni
Everyone hurry up and proceed to Mkongeni
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(2) King George ni mwana wa King
Edward
(2) King George is the son of King
Edward
Amezaliwa Ulaya nchi ya upande wa kaskaziHe was born in Europe in a country to the north
Kama tujuavyo yeye ni pekee asadi17As we know he is a special lion
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(3) Watakutana mabwana wakubwa na wadogo(3) The noble and the lowly will participate
Hapazuiwi kijana akuambiaye ni mrongoNo youth will not be denied; whoever tells you otherwise is a liar
Wala fujo hapatakuwa ya mafimbo na magongoNor will there be disturbances with sticks or clubs
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(4) Siku hiyo ni siku ya furija na anasa18(4) This day is a day of celebration and entertainment
Atakayejaliwa kwenda furaha hatakosaWhoever attends will certainly be happy
Kwani ni siku ya idi bashasha yatupasaFor it is a holiday and we are expected to be joyful
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(5) Atahudhuria Gavana bwana wa
Tanganyika
(5) His Lord the Governor of
Tanganyika will attend
Siku hiyo mwenye nishani itampasa kupachikaOn this day whoever has medals should wear them
Asiyekuwa na mwana hata jiwe ataeleka19The one without children should carry a stone
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(6) Akina Bwana Askari hupanda wao farasi(6) The soldiers will mount their horses
Mwendo wao taratibu kama mwendo wa papasiThey will pass slowly by, at the speed of a tick
Kuwaonyesha raia mambo yasiyo kiasiTo show the citizens extraordinary things
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(7) Tazameni ibura ya Mfalme kuwa
Ulaya
(7) Look at this extraordinary celebration for a king who is in
Europe
Huko mambo mbayana kama amehudhuria20There [at Mkongomeni] things will be celebrated as though he were attending
Jamaa ukaidi wani mbona mtaangamia21What’s the point of being stubborn lest you be destroyed?22
Tukatazame heshima ya maulana King George.So we see respect paid to His
Highness King George
(8) Kuna wingi wa Polisi wazuiao hatari(8) There are many police to prevent danger
Wapitisha kwa kiasi zote pia motakariThey only allow selected motorcars to pass
Hiyo ndiyo dunia wala nyingine haiwiThat is indeed how the world is.
It cannot be otherwise
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(9) Mfalme King George wote mnamjua(9) Sovereign King George all of you know him
Kwa alama za mataji mara utamjuaBy the symbol of his crowns you’ll immediately recognize him
Na utakapo ya zaidi soma utajuaAnd if you want to know more, read about him
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(10) King George ana sifa kupenda wake raia(10) King George is known for liking his subjects
Walio bora na hafifu wote twamfurahiaThe upper and lower classes we all are happy for him
Tumwombee Rabuka huruma amzidishieLet us pray to God will show more mercy to him
Tukatazame heshima ya maulana
King George.
So we see respect paid to His
Highness King George
(11) Sifa hapa zimekoma mwaka huu najaribu(11) The praises end here, this year I am trying
Labda nitapata yangu huwa bahati nasibuPerhaps I will have my luck
Sikukaa nasimama nangoja yangu matulubu23I am not sitting, I stand, waiting to get what I expect
Tukatazame heshima ya maulana King George.So we see respect paid to His
Highness King George
15The following example of another birthday poem for King George composed by a poet with the pen name “Komagi bin Sansa
 
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu..

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?​

View attachment 2938852
huu ni utepetevu katika ufahamu na uelewa lakini zaid ni ulalamishi na upotoshaji wa kiwango cha juu sana 🐒

si utulie, usome report vuzuri kwa umakini na weledi uelewa.

hadi kwenye mambo muhimu kama haya ambayo yako wazi bayana mnakurupuka 🐒
 

Shukrani za Africa ( “Thanks from Africa”)3 Jakobo Ngombo Pwani na Bara (January 1911)

Afrika furahi, mshukuru sana
Kaisari wee;
Rejoice, Africa, be very grateful to Kaiser
Baraka na amani kakupa Kaisari yee!Blessing and peace the Kaiser has given to you!
Jina lake la sifa na lenyi ufahari.His name is glorious and full of fame
Kumbuka waasi wafanywavyo ni
Kaisari
Remember how rebels are treated by the Kaiser
Chuma pendo, umpende sana
Kaisari saa;
Gather love that you may love dearly the Kaiser
Dola yake ni kubwa, miji yote kaiwasha taa!The empire is big: in all towns he has lit lamps !4
Eleza ya kale kama sasa yakufaa,Tell of the past and if the present is useful to you
Fundisha watoto wako wapate kumtii.Teach your children so that they obey him
Ginsi gani wafanya matata wala hutulii?5Why do you cause trouble instead of being calm?
Hura, hura umwigie, umwombee na uhai,Shout ‘Hurrah, hurrah!’ for him and pray that he have a long life
Itokeapo hatari, aikingiyae ni yeye tai,When danger threatens, it is he, the eagle, who protects6
Jina lake la sifa na lenyi ufahari.His name is glorious and full of fame
Kumbuka waasi wafanywavyo ni
Kaisari,
Remember how rebels are treated by the Kaiser
Lazimu umwogope wala usimkosee,You must fear him and not go against him
Mheshimu sana na kodi umletee,Respect him and pay your taxes to him
Nani aondoaye shida zako kila pahali?Who else removes all your troubles everywhere?
Nguvu hizi ni za watu walio wakali,This is the strength of fierce people.
Ona ujue, ya kwamba hii serkali,See and know very well that this is a government.
Palipo na vita aendaye ni yeye shujaa,Where there is war it is he, the hero, who strides forth
Raiya wote salama katuondolea mabaa,All citizens are safe. He has removed all danger
Salaam Bwana wetu wee, na baada ya salaam:‘Hail to you, our Lord!’ and after greetings:
Shujaa mkuu ndiwe, wote twakufahamu.‘You are the greatest hero. We all recognize you.
Tangu Bushiri na majimaji akusubutuye nani?Since Bushiri and Maji Maji who dares rise against you?
Umewatibu kwa nguvu wala huwezekaniYou dealt with them with unmatched force.
Vuruguvurugu waondoa kwa watu wakaidi,7You eradicate disorder caused by stubborn people.’
Wakristo mwombeeni maisha, aishi azidi,Christians, pray that he be blessed with a long life.
Yeee, Mungu azidi kumpa nguvu na uzima,Oh, God, continue to grant him strength and health.
Ziondolewe shida zote za hapa
Afrika daima
That he may continue so that all of Africa’s troubles are dispelled forever
 
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu..

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?​

View attachment 2938852

Fast Foward 2024 toka mwaka 1915, tusherehekee miaka 3 ya kaisari (kiongozi)​

Kwa Siku Kuu ya Kaiser Wetu ( “On Our Kaiser’s Birthday”)8 Ramazan Saidi Kiongozi (February 1915)

(1) August ni mwanzo, wa kuenezewa vita.In August began the spread of the war
Yakatujia mawazo, nyoyo zetu zikijuta.Ideas came to us while regret filled our hearts
Adui mzo kwa mzo, kuja kwetu kutupita.Many enemies came to dominate us
Mungu atawalani, kwa baa la kujitakia.May God curse them for bringing calamity upon themselves.
(2) Wote tukastaajabu, Wangereza watakani?All of us were amazed: what do the English want?
Watajitia aibu, kwa nguvu za jermani.They’ll embarrass themselves against German might
Wajuwao kuzurubu, wakiingia utamboni.9Because [the Germans] know how to fight a war
Mungu atawalani, kwa baa la kujitakia.May God curse them for bringing calamity upon themselves.
(3) Maadui wengi sana, walijazana
Ulaya.
Many enemies gathered in
Europe
Wakataka kupigana, kuyaeneza mabaya.They wanted to fight and spread evil
Dola kupunguziana, [missing hemistich]to reduce each other’s empires
Mungu atawalani, kwa baa la kujitakia.May God curse them for bringing calamity upon themselves.
(9) Wangereza wasikiri, araza ya jermani.The English failed to heed the
Germans’ warning
Walizani mahodari, jamii ulimwenguni.Thinking themselves the world’s finest
Kumbe, ni chao kiburi, pambo lao mwilini.But it is only their arrogance that they decorate themselves with
Mungu atawalani, kwa baa la kujitakia.May God curse them for bringing calamity upon themselves.
(10) Wadachi wakauzika, wakaanza kuwapiga:The Germans got angry and started fighting them
Taveta wakaiteka, pamwe na muji wa Vanga;They captured Taveta and the town of Vanga;
Hata Gasi wamefika, mnyororo kuwatunga.They even reached Gasi, shackled and chained them!
Mungu atawalani, kwa baa la kujitakia.May God curse them for bringing calamity upon themselves.
(11) Hata Ulaya jamaani, kuna mashujaa sana.My friends, even Europe has many heroes.
Wamewapiga yakini, kwa pigo la kiungwana.They have really fought them with noble attacks
Huko kwao Berlini, mateka wamejazana.There in their capital Berlin, they’ve taken many prisoners of war.
Mungu atawalani, kwa baa la kujitakia.May God curse them for bringing calamity upon themselves.
(12) Sasa ni mwezi wa sita, hisabu nawaambia!It is now the sixth month—I’m counting it for you!
Na wale walioteta, sasa wamejinamia.And those who fought now bow down
Majeshi waliyoleta, yamekwisha angukia.The army they brought has surrendered
Sasa wanajutia, kwa baa la kujitakia.Now they regret bringing calamity upon themselves.
(13) Kaiser wetu mpole, mshujaa wa wadachi.Our Kaiser is calm, hero of the
Germans
Uishi wewe milele, jamia kila nchi.May you live forever, in all countries
Kokote utawale, uzistawishe nchi.May you rule everywhere, developing the countries
Siku yako kufika, salam nakuletea.On this your birthday I bring you greetings
 
Tuombe uhai na uzima
Huko mbeleni mtu akitoka
Madarakani,utayasikia madongo
Hayo
Kutoka kwa taifa la wanafki

Ova
 
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu..

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?​

View attachment 2938852

Tusiwe wanyimi, tungo kumtungia kiongozi wetu wa 2024, huko nyuma tungo nyingi zilisukwa kusema makubwa alofanya kiongozi kwanini 2024 miaka mitatu inakuwa nongwa, kimya tumekuwa ....

Uimbo wa Kaizari (‘Song for the Kaiser’)10 Mbaraka bin Shomari (c.1897)

(1) Salam kwa wetu bana, Kaisari wa Virhamu,(1) Greetings to our Lord Kaiser
Wilhelm.
Bana mkubwa na sana, maarufu hatta Shamu.He is our great Lord well known even in Syria.
Sisi takupenda sana, wadogo hatta harimu:We like you very much both young and old:
Hapana tena hapana, wewe ndio
Kaizari!
There is nobody else. You are the Kaiser!
(2) Wewe ndio Kaizari, mtoto wa
Virhamu;
(2) You are the Kaiser, son of
Wilhelm11
Jina lake mashuhuri, sote tunalifahamuHis famous name, we all know it:
Ulaya na Zingibari, na Mrithi hatta AmuFrom Europe to Zanzibar, and from Egypt to Lamu:
Hapana tena hapana, wewe ndio
Kaisari!
There is nobody else. You are the
Kaiser!
(3) Wewe ndio Kaizari, hatta na wazee wako!(3) You are the Kaiser. Even your forefathers!
Tumezipata habari, kwa huku mbali tuliko.We’ve got the news, far away, where we are.
Una wengi askari, wahesabiwa lukukuYou have a lot of soldiers.
They number in hundreds of thousands.
Hapana tena hapana, wewe ndio Kaizari!There is nobody else. You are the
Kaiser!
(4) Kaizari ya Wadachi, na barra ya
Afrika.
12
(4) Kaiser of the Germans, and of the African continent
Nakusifu, bwana wangu, upate kunipulikaI praise you, my lord, that you may hear me.
Niletee langu fungu, nipate kufurahikaGive me my share, so that I may be happy:
Hapana tena hapana, wewe ndio
Kaizari!
There is nobody else. You are the Kaiser!
 
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu..

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?​

View attachment 2938852

Mkwe huyo yupo kazini. Kaanzisha .... wengine lazima wafuate mkumbo.....!!
 
Kumekuwa na malalamiko kuhusu report zinazotolewa na mawaziri kutathimini miaka 3 ya Rais Samia.

Data wanazo ziweka wengi wanaziona kama zimepikwa. Wanauliza kuna ubaya gani mkiweka tawimu sahihi?

Watanzania tunaheshimu kazi ambayo Rais samia ameifanya hasa kumalizia miradi ambayo aliachiwa na mtangulizi wake Rais John Magufuli.

Mfano: Waziri wa tamisemi anasema eti ndani ya miaka 3 serikali ya awamu ya 6 imejenga hosoitali mpya za halmashauri 127 wakati kuna jumla ya halmashauri 185 tu..

Wote tunatambua magufuli hadi anafariki alijenga hospitali za hamashauri karibia zote ambazo zilikua hazina hospitali zaidi ya hospitali 50. Magufuli amekuta kuna hospitali za halmashauri nyingi zipo.

Waziri wa tamisemi anataka kusema wakati Rais samia anaingia halmashauri 127 zilikua hazina hospitali?

Ukisoma report wanazo toa ni kama kumchafua Rais kwamba anapenda sifa zisizo mhusu wakati Rais mwenyewe hajawaambia wafanye hivyo.

Kuna ubaya gani kumpa sifa mtu anazo stahili?

Mchengelwa tunajua hawezi kunyoisha mambo lakini mawaziri wengine wanashida gani?​

View attachment 2938852
Shida ni maza anapenda kusifiwa zaidi badala ya kuambiwa ukweli, mfano unadanganywa hospitali na wakati hospitali mpya hazifiki hata 10 nyingi ni za zamani. Bahati mbaya wakati wanatoa uongo wao hawaweki orodha/majina ya hizo hospitali, hata barabara nyingi maza huwa anazindua ambayo zilishawahi kuzinduliwa na Magu.
 
Back
Top Bottom