Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,193
Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.

20220919_112123.jpg
 
Kumbe uwezo wa kukaa na kujazana ndani ya basi upo tu😂😂 na kumbe hata wao ni binadamu tu kama sisi. Sasa kwa nini huwa wanajikweza huku?😀😀

Sema bimkubwa kinamna kama anajiziba uso asionekane😁


20220919_112839.jpg
 
Back
Top Bottom