johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Ni miaka 3 sasa bila yule anayeonekana ni kikwazo cha CHADEMA Shujaa Magufuli kuwepo duniani lakini CHADEMA iko vile vile kama 2021.
Nini kinawakwamisha CHADEMA kujitwalia viti vyao halali 19 maalumu vya Ubunge ikiwa hata Uongozi wa Bunge ni mpya yule Ndugai hayuko tena.
Ikumbukwe wengi wa wale COVID 19 waligombea Ubunge kwenye Majimbo wanashindwa na kura zao Kule majimboni zinachangia Ruzuku ya sasa inayopokelewa kiroho Safi na CHADEMA.
Je, ni mzimu wa Magufuli ndio unaitesa CHADEMA au laana ya kumtosa yule Mratibu wa Ziara ya Papa Yohanne Paul nchini Dr. Slaa bado inawatafuna?
Ramadan Mubarak. 😄😄🔥
Nini kinawakwamisha CHADEMA kujitwalia viti vyao halali 19 maalumu vya Ubunge ikiwa hata Uongozi wa Bunge ni mpya yule Ndugai hayuko tena.
Ikumbukwe wengi wa wale COVID 19 waligombea Ubunge kwenye Majimbo wanashindwa na kura zao Kule majimboni zinachangia Ruzuku ya sasa inayopokelewa kiroho Safi na CHADEMA.
Je, ni mzimu wa Magufuli ndio unaitesa CHADEMA au laana ya kumtosa yule Mratibu wa Ziara ya Papa Yohanne Paul nchini Dr. Slaa bado inawatafuna?
Ramadan Mubarak. 😄😄🔥