Ccmchipukizi maana yake nii?
Wana faida gani kwa chama?
Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?
Je, mtoto wa mkulima na...
Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk...
Nahitaji kuelewa majukumu haswa ya ujasusi katika mataifa masikini zaidi ya kupambana na ugaidi (ambao umekuwa changamoto zaidi kuanzi 2000s) ni yapi?
Naelewa Wamarekani, Wachina, Warusi na Ulaya...
Report ya mwaka huu wakati mama anapokea alizuga kuchukizwa sana, jiulize nani kafanywa nini kwa walio tajwa kwenye report? Sasa ngojea hizi tozo muone zinavyo pigwa, Wajinga wanakamuliwa ili...
M 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini.
Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali...
Ifuatayo ni miradi ambayo imeshindwa kumalizika, mingine inatumika hata kama haija isha mingine ndio imeshindwa hata kutumika.
1. Barabara ya njia nane toka kimara hadi Kibaha - wote mnapita...
Mama kama alitaka kuingilia chama hiki labda kwa lengo zuri, au lengo mahususi. Akafanya uteuzi wa viongozi wake. Kati ya viongozi wa Juu alilipoti moja tu. Kajaribu sana kuweka vitu upya...
Kama tunavyojua Mwenyekiti wa Chipukizi taifa bado ni mtoto anasoma tena itakua shule ya msingi.
Sasa kwa upuuzi huu wa CCM kumpa cheo huyu mtoto hivi walimu wake darasani au hata mwalimu mkuu...
Tuna tatizo la umeme linalochangiwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa. Tumeanza kuona Rehema za Mungu mvua inanyesha hivyo maji yataongezeka na mgao utaisha.
My worry for politicians; wataingia...
Shirika kama TANESCO na mashirika ya maji kila mkoa (Mfn. DAWASA, MOROWASA, nk) wananchi tunalipa "bills" ili kupata huduma na ikitokea usipolipa kwa wakati watendaji wa haya mashirika hawachelewi...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli, aliwahi kupendekeza kufutwa utaratibu wa kutumia Watoto katika Siasa kwa kuwaita Chipukizi ambapo alihoji Watoto hao...
Mara nyingi huwa nawasikia viongozi wa CCM wakijinasibu kuwa chama chao ni chama cha maskini na wanyonge.
Kama CCM ni chama cha maskini na wanyonge, jee viongozi wake nao ni maskini na wanyonge...
Aliyekuwa Mwenyekiti WA CDM Jimbo la KAHAMA Mjini Kamanda Juma Protas Ntahipera ameenguliwa kwenye kinyang'anyiro hicho Kwa tuhuma ya Kikiuza Chama.
Juma Protas Ntahipera alikata Rufaa kupinga...
Anna Tibaijuka kuwa Mkurugenzi wa shirika la makazi la umoja wa mataifa kunamfanya kuwa mtu sahihi na makini sana katika suala la makazi na mipango miji. Hakuwa anabahatisha alipoukataa uhuni wa...
Waziri Silaa ameagiza maafisa wake wampe taarifa ya vituo vya mafuta nchi nzima. Je anajiandaa kuvunja vituo vya mafuta nchi nzima? Wacha tuone nini kitafuata baada ya 30 January 2024.
Kauli za...
Serikali ya Tanzania imesema thamani ya misaada iliyotolewa na wahisani mbalimbali kwenye maafa ya Hanang imefikia Sh7.7 bilioni.
Kiwango hicho kinajumuisha misaada ya chakula na mahitaji muhimu...
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu amezindua program ya Binti Mzalendo iliyoandaliwa na Ngome ya Vijana ya chama. Program hiyo itawatambua na kuwahamasisha Mabinti Wazalendo Ili kuwaandaa...
Wakati ule wa Nyerere hapakuwepo Takukuru hivyo DCI alifanya majukumu yote ya kiuchunguzi
Baada tu ya Waziri Slaa kutoa taarifa za kukataa rushwa mbele ya wanahabari nguli akina Muhidin Michuzi...
Kama kuna jambo linalonifanya kila siku niseme inawezekana nchi yetu tulilaaniwa ni namna ambavyo nchi yetu imejengwa vibaya bila mpangilio. Yaani namna watu wanavyojijengea hovyo hovyo tu bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.