Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ccmchipukizi maana yake nii? Wana faida gani kwa chama? Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji? Je, mtoto wa mkulima na...
1 Reactions
11 Replies
919 Views
Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk...
13 Reactions
39 Replies
3K Views
Nahitaji kuelewa majukumu haswa ya ujasusi katika mataifa masikini zaidi ya kupambana na ugaidi (ambao umekuwa changamoto zaidi kuanzi 2000s) ni yapi? Naelewa Wamarekani, Wachina, Warusi na Ulaya...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Report ya mwaka huu wakati mama anapokea alizuga kuchukizwa sana, jiulize nani kafanywa nini kwa walio tajwa kwenye report? Sasa ngojea hizi tozo muone zinavyo pigwa, Wajinga wanakamuliwa ili...
1 Reactions
2 Replies
545 Views
M 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini. Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali...
17 Reactions
305 Replies
20K Views
Ifuatayo ni miradi ambayo imeshindwa kumalizika, mingine inatumika hata kama haija isha mingine ndio imeshindwa hata kutumika. 1. Barabara ya njia nane toka kimara hadi Kibaha - wote mnapita...
3 Reactions
69 Replies
4K Views
Mama kama alitaka kuingilia chama hiki labda kwa lengo zuri, au lengo mahususi. Akafanya uteuzi wa viongozi wake. Kati ya viongozi wa Juu alilipoti moja tu. Kajaribu sana kuweka vitu upya...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama tunavyojua Mwenyekiti wa Chipukizi taifa bado ni mtoto anasoma tena itakua shule ya msingi. Sasa kwa upuuzi huu wa CCM kumpa cheo huyu mtoto hivi walimu wake darasani au hata mwalimu mkuu...
23 Reactions
102 Replies
10K Views
Tuna tatizo la umeme linalochangiwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa. Tumeanza kuona Rehema za Mungu mvua inanyesha hivyo maji yataongezeka na mgao utaisha. My worry for politicians; wataingia...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Ukatae 300m TZS halafu usubiri pensheni 400m TZS baada ya miaka mitano? Halafu hizo 300m zinafananaje?
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Shirika kama TANESCO na mashirika ya maji kila mkoa (Mfn. DAWASA, MOROWASA, nk) wananchi tunalipa "bills" ili kupata huduma na ikitokea usipolipa kwa wakati watendaji wa haya mashirika hawachelewi...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli, aliwahi kupendekeza kufutwa utaratibu wa kutumia Watoto katika Siasa kwa kuwaita Chipukizi ambapo alihoji Watoto hao...
11 Reactions
39 Replies
7K Views
Mara nyingi huwa nawasikia viongozi wa CCM wakijinasibu kuwa chama chao ni chama cha maskini na wanyonge. Kama CCM ni chama cha maskini na wanyonge, jee viongozi wake nao ni maskini na wanyonge...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Aliyekuwa Mwenyekiti WA CDM Jimbo la KAHAMA Mjini Kamanda Juma Protas Ntahipera ameenguliwa kwenye kinyang'anyiro hicho Kwa tuhuma ya Kikiuza Chama. Juma Protas Ntahipera alikata Rufaa kupinga...
2 Reactions
7 Replies
728 Views
Anna Tibaijuka kuwa Mkurugenzi wa shirika la makazi la umoja wa mataifa kunamfanya kuwa mtu sahihi na makini sana katika suala la makazi na mipango miji. Hakuwa anabahatisha alipoukataa uhuni wa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Waziri Silaa ameagiza maafisa wake wampe taarifa ya vituo vya mafuta nchi nzima. Je anajiandaa kuvunja vituo vya mafuta nchi nzima? Wacha tuone nini kitafuata baada ya 30 January 2024. Kauli za...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Serikali ya Tanzania imesema thamani ya misaada iliyotolewa na wahisani mbalimbali kwenye maafa ya Hanang imefikia Sh7.7 bilioni. Kiwango hicho kinajumuisha misaada ya chakula na mahitaji muhimu...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu amezindua program ya Binti Mzalendo iliyoandaliwa na Ngome ya Vijana ya chama. Program hiyo itawatambua na kuwahamasisha Mabinti Wazalendo Ili kuwaandaa...
1 Reactions
8 Replies
791 Views
Wakati ule wa Nyerere hapakuwepo Takukuru hivyo DCI alifanya majukumu yote ya kiuchunguzi Baada tu ya Waziri Slaa kutoa taarifa za kukataa rushwa mbele ya wanahabari nguli akina Muhidin Michuzi...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Kama kuna jambo linalonifanya kila siku niseme inawezekana nchi yetu tulilaaniwa ni namna ambavyo nchi yetu imejengwa vibaya bila mpangilio. Yaani namna watu wanavyojijengea hovyo hovyo tu bila...
2 Reactions
5 Replies
736 Views
Back
Top Bottom