Wapinzani siku mkija kuwa Serious, tunawapa nchi

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,237
4,041
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.
Utawezaje kuwa na upinzani serious wakati wameruhusu kuwa na wasemaji wa chama aina ya Mdude na Lema?
 
Siku ambazo sio mbali ambapo maisha yatakuwa maji ya shingo ndio pale Reset-Button itakuwa placed (cha kuomba isiwe too late sababu watu wakitoka kwenye reli kurudi ni bahati nasibu)

Na atakayeleta maendeleo ni wananchi wenyewe na sio mwanasiasa.., Mwananchi anahitaji infrastructure nzuri na maisha yatakwenda....

Hivi niambie sasa hivi kama sio mwendo wa kwenda Auto-Pilot na bado mwananchi kukamuliwa na Kodi ni kipi kinaendelea ?!!!

Sijajisikia mtu yoyote anaongelea Sera za watu kupata ajira zenye ujira..., Ni kama Serikali ipo pale kutoa Hisani kila inapoamua (na sio kuwajibika kuhakikisha kila mtu ana nyenzo za kuhakikisha mkono unakwenda kinywani)
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.
nyie mko serious?
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.
Anzisha Chama serious mkuu uchukue nchi. Au nyie ndio wale wanaccm mnaokuja kucheza mindgames ili tuone Bado bora ccm? Kama viongozi wa ccm wameweza kupora fedha nyingi hivyo na Bado unaonà wao ni afadhali, sasa huo u serious ni WA Nini unataka toka kwa wapinzani?
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.

..mbona Ccm hawajawahi kuwa "serious" na mnawaona wanafaa kupewa madaraka?
 
Anzisha Chama serious mkuu uchukue nchi. Au nyie ndio wale wanaccm mnaokuja kucheza mindgames ili tuone Bado bora ccm? Kama viongozi wa ccm wameweza kupora fedha nyingi hivyo na Bado unaonà wao ni afadhali, sasa huo u serious ni WA Nini unataka toka kwa wapinzani?
Uatanzishaje chama ili iweje?
 
..mbona Ccm hawajawahi kuwa "serious" na mnawaona wanafaa kupewa madaraka?
Ndio maana mtaendelea kuwa wapinzani hadi kiama ,mzee kahajumu kwa kuwaminisha kuwa upinzani ni kupinga kila kitu na si kuuza sera mmbadala ndio maana mmekuwa wapinzani wa siasa za matukio tu
 
Ukweli ni kuwa Tanzania upinzani aupo ni kama kuna walalamikaji halafu wakipata kidogo wanatulia.

Ni nchi gani wananchi wanalalamika na upinzania pia unalalamika na kugomba. Tulitegemea upinzani uwe na solution ya kutatua matatizo ya wananchi kama watawala wameshindwa lakina na wao wanalalamika.

Wamepewa uhuru wa kueneza sera zao nchi nzima lakini nao wanalalamika badala ya kusema ni namna gani watawasaidia watanzania ikiwa watashika hatam.
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 ulituonesha ni jinsi gani inawezekana.

Kwa miaka zaidi ya 60 sasa, viongozi wa CCM wamekuwa ni viongozi wa kujilimbikizia mali na kutoa familia zao. Kama kungekuwa na chombo huru chenye uwezo wa kuchunguza viongozi wote wastaafu na wa sasa fedha zao, jumla ya fedha hizo zinaweza kuwa ni bajeti ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo. Sad but true !

Above all , kwa sasa nikiulizwa, Je niupinzani gani unadhan unafaa kupewa jukumu la Urais; na kulinda mali za Umma ?

jibu langu litakuwa ni moja tu: kwa sasa Tanzania hakuna chama wala upinzani wenye TIJA.

Wapinzani wengi ni bahasha za kaki, baadhi ya vyama vipo kifamilia zaidi, baadhi ya vyama havina smooth transition ya uenyekiti, ni kama urithi fulani, and this makes CCM stand tall

Siku Tanzania ikipata vyama vya upinzani vyenye nia ya dhati na vilivyo serious , ndio siku naamini Tanzania itaanza kupata maendeleo. Na ndio itakuwa ni mwisho wa CCM.
Ila ninaamini ipo siku Tanzania itapata Upinzani wa maana, na watachukua nchi asubuhi na mapema.

JF ni mtunza mzuri wa records, huwa vya chini hujaa juu na vya juu huenda chini. Muda ni Hakimu mzuri.
Mbona na wewe unaonekana mpinzani wa nyuma ya keyboard tu
 
Ndio maana mtaendelea kuwa wapinzani hadi kiama ,mzee kahajumu kwa kuwaminisha kuwa upinzani ni kupinga kila kitu na si kuuza sera mmbadala ndio maana mmekuwa wapinzani wa siasa za matukio tu

..na kuongoza maana yake sio kuunga mkono kila kitu hata mambo yanayoumiza taifa. Utamaduni huo wa wanaCcm ndio kichocheo kikubwa cha kukwamisha maendeleo ya nchi yetu.
 
Ukweli ni kuwa Tanzania upinzani aupo ni kama kuna walalamikaji halafu wakipata kidogo wanatulia.

Ni nchi gani wananchi wanalalamika na upinzania pia unalalamika na kugomba. Tulitegemea upinzani uwe na solution ya kutatua matatizo ya wananchi kama watawala wameshindwa lakina na wao wanalalamika.

Wamepewa uhuru wa kueneza sera zao nchi nzima lakini nao wanalalamika badala ya kusema ni namna gani watawasaidia watanzania ikiwa watashika hatam.
Kwa hiyo bora CCM waendelee kuifisadi nchi.
 
Utawezaje kuwa na upinzani serious wakati wameruhusu kuwa na wasemaji wa chama aina ya Mdude na Lema?

Sahihi. Tatizo huanzia hapo. Vyama wa upinzani almost vyote wapo kwa kutaman ruzuku. Wanasahau they are capable of more than that .

Tukipata upinzani sahihi; CCM ni chama rahisi sana kukitoa. ASILIMIA ZAIDI ya 70, in real sense, hawakikubali CCM

CCM wanajiaminisha kuwa ni elite, na kujilimbikizia mali, huku taifa la Tanzania kwa wananchi halisi wanazidi kuwa masikini.

Kwa miaka 60 ya uongozi CCM imeshindwa hata kuwapatia wananchi wake health insurance as universal coverage, sad but true .

Viongozi na watoto zao wanajiona ni smart and privileged, huku wakiaminisha wengine kuwa ni masikini kwa sababu are not working hard,
CONSTRUCTION za Tanzania zinafanywa na wananchi, with very painful tax collection mechanisms, however mwisho wa siku unasikia ashukuriwe kiongozi fulan kwa ujenzi
Huu as if alitoa pesa zake mfukon. Shame !

The only way there is , ni nchi angalau ishikwe na Upinzani tuone what best they can do , after 60 years of BS life chini ya CCM
 
Anzisha Chama serious mkuu uchukue nchi. Au nyie ndio wale wanaccm mnaokuja kucheza mindgames ili tuone Bado bora ccm? Kama viongozi wa ccm wameweza kupora fedha nyingi hivyo na Bado unaonà wao ni afadhali, sasa huo u serious ni WA Nini unataka toka kwa wapinzani?

Hapana
 
..na kuongoza maana yake sio kuunga mkono kila kitu hata mambo yanayoumiza taifa. Utamaduni huo wa wanaCcm ndio kichocheo kikubwa cha kukwamisha maendeleo ya nchi yetu.
..na kuongoza maana yake sio kuunga mkono kila kitu hata mambo yanayoumiza taifa. Utamaduni huo wa wanaCcm ndio kichocheo kikubwa cha kukwamisha maendeleo ya nchi yetu.
Ndio maana mnaviziaga wagombea wa ccm hadi ngazi ya juu kabisa ya chama
 
Back
Top Bottom