Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,821
Air Tanzania Company(ATCL) ina mpango kuwa na uwanja wake utakaohudumia ndege zake pekee ndani ya uwanja wa ndege wa Jylius Nyerere. Mipango hiyo ilitangazwa na waziri mkuu, Kassim Majaliwa wakati akipokea ndege mpya aina ya Boeng.
Uwezekano ni Serikali itatenga uwanja wa ndege za ndani(Terminal II) baada ya marekebisho makubwa na kuwapa ATCL.
Nauliza tu, tunaona mwangaza kwa hela tunazomwaga ATCL? Usikute kimekuwa kitengo cha kuvuna 10%🤐
Uwezekano ni Serikali itatenga uwanja wa ndege za ndani(Terminal II) baada ya marekebisho makubwa na kuwapa ATCL.
Nauliza tu, tunaona mwangaza kwa hela tunazomwaga ATCL? Usikute kimekuwa kitengo cha kuvuna 10%🤐