Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mseminari Liyumba ameachiwa huru punde na mahakama baada ya kujiridhisha kuwa charge waliyoileta mahakamani ni batili, lakini punde vijana wa Hosea wameshamchukua Liyumba na sasa hivi yuko PCCB...
0 Reactions
70 Replies
9K Views
NINASIKIA eti serikali ndio kwanza imeanza kuwatathmini viongozi wake. Au kwa maneno mengine watu wa serikalini watakuwa wanatathminiana. Sasa mimi kichwa kichaka lakini mwenye akili nadhani kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zilizopatikana jioni hii (Jumatano, Mei 27, 2009) zinasema kwamba shemeji yake Dk. Shukuru Kawambwa, ambaye ndiye aliyekuwa msimamizi wa shamba la Dk. Kawambwa (Waziri wa Maendeleo ya...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Ukweli umebakia kuwa ukweli CCM bado inapendwa na kukubalika mijini na vijijini. Hili halina shaka. CCM kuweza kuendelea kutawala bado kupo kwa miongo kadhaa ijayo. Hilo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Je ni nani hapo? Anyway Mkutano utachukua viongozi kama 130 na naamini AFRICA itawakilishwa na nchi kadhaa ikiwemo Tanzania maana siku hizi tuko kila kona for reasons ambazo nadhani wote...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Mwinyi Sadallah Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha has said people who would like to know his position on his vying for the Isles presidency should wait until next January. The chief...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mafisadi waumbuka, sasa kuanikwa kwenye mtandao Wednesday, May 27, 2009 11:20 AM MBINU mpya imegundulika ya kuwataja mafisadi ili waweze kujulikana na na wataanikwa kwenye mtandao wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimesikia Tetesi kuwa Mkoa wa Dar Es Salaam utagawanywa sehemu mbili ili kurahisisha utawala na kuleta ufanisi. Kutakuwa na Mkoa wa Dar Es Salaam bila Wilaya ya Ilala. Kutakuwa na Mkoa wa...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Eventually Mrema declairs that "Presidency" is never a "big deal" with him anymore! And that he goes for the Parliamentary Races at Vunjo Constituency in 2010. This is exactly what Nyerere told...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Gazeti la Taifa letu la jana tarehe 22/05/2009 lilikuwa na kipande kifuatacho cha habari.. ....Pia katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mjumbe Halmashauri Kuu, John Komba aliwaambia waandishi...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Leo mheshimiwa Rostam kapokelewa kwa shangwe kubwa na msululu mrefu wa wapiga kura wake kwenye uwanja wa samora mjini Igunga,baskeli pikipiki pamoja na maelfu ya wakazi walijumuika kwenye mapokezi...
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Ladies and Gentlemen, the president of URT - Hon Jakaya Kikwete. Few minutes later....... "Is it my eyes or your president appears to have more than five undershirts on?", asked Julie, a...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kulingana na mfumo tuliorithi wa "Chama Kushika Hatamu" na katiba URT-1977[Kama ilivyofanyiwa mabadiliko] inayojivuta kuendena na mbio za mabadiliko Tanzania na dunia yote , watanzania wengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete pamoja na weakness zake ni lazima tukubaliane kwamba ana personality nzuri sana, kwa namna nyingine anaonekana kama president. Ingawa kikwete hana kipaji cha akili kama Obama au Mkapa...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Jumla ya wapiga kura waliojiandikisha ni 5,494 na zilizopigwa ni 4,917. Matokeo: CCM: 2,874 CUF: 1,974 SAU: 22 Zilizobaki (47?) zimeharibika.
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wale ambao hawatokubali serakali moja watajikuwa nje ya madaraka ifikapo uchaguzi ujao wa 2010 .
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ripoti ya Awali Kuhusu Matukio Yasiyo ya Kawaida Katika Zoezi la Upigaji Kura kwa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Magogoni, tarehe 23 Mei, 2009 Wapendwa Wanahabari, Wakati upigaji kura kwa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
  • Closed
Naona macho na masikio ya JF yapo huko Busanda tu, kwa taarifa kesho katika Jimbo la Magogoni kuna uchaguzi wa Mbunge vile vile.. Kampeni za Jimbo la Magogoni Z'bar kuhitimishwa Ijumaa...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Katika mchakato wa bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu hapo jana Mh.Pinda alisema kuna maombi ya kuwepo kwa Mkoa mpya wa Njombe, pamoja na wilaya kadhaa.Swali langu kwa wadau...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Mbunge 'amvaa' Dkt. Hosea mkutanoni 23 May 2009 17:19 Na Mwandishi Wetu Saturday, MBUNGE wa Jimbo la Kishapu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Bw.Fredy Mpendazoe juzi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom