Personality ya Kikwete inatusaidia

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,605
8,744
Kikwete pamoja na weakness zake ni lazima tukubaliane kwamba ana personality nzuri sana, kwa namna nyingine anaonekana kama president. Ingawa kikwete hana kipaji cha akili kama Obama au Mkapa personality yake inamsaidia sana na kumuezesha kuweka urafiki na viongozi wa nje. Kuna wale tuliokuwa tunashangaa je ni kwa nini Kikwete akai nyumbani kutatua matatizo na badala yake anasafiri tu, nimepata jibu mwaka huu. Agenda ya kikwete ni kuomba misaada kwasababu amegundua hana uwezo wa mipango na uongozi lakini anakipaji cha kupendwa na kuwa na personality nzuri. Hakuna hata mradi mmoja alioanzisha kikwete hata huu wa afya ni Mkapa lakini kwa sababu Mkapa hana personality nzuri kama VP Cheney hata uwezo wake wa fikra na kipaji cha akini lakini hawapendwi. Kwa miaka hii ya media, video na picha image ya raisi inasaidia sana tunachoomba kikwete asiongee sana na badala yake aachie washauri maana anatoa pumba sana.





US Doctors for Africa award goes to JK


JK.jpg

President Jakaya Kikwete

President Jakaya Kikwete’s efforts in promoting and executing sound and practical health programmes in Tanzania on Wednesday made him become the first African Head of State to receive a US Doctors for Africa award.

US Doctors for Africa Founder and Executive Chairman Ted Alemayhu presented the award to the President, who is on an eight-day official tour of the US, at a dinner party in Los Angeles.

The dinner was hosted by the US Doctors for Africa and the Los Angeles World Affairs Council (LAWAC) and Alemayhu applauded the President, saying: “When President Kikwete speaks, the whole African continent listens.”

“I accept this award with all my heart and with great respect not only for my recognition but as a sign of recognising the efforts made by Tanzanians and their leaders and our friends all over the world in extending health services,” the President said, as he received the award.

He elaborated on the efforts made by his administration in improving health services in the country, including implementing a ten-year health development programme and significantly boosting the health budget.

President Kikwete had earlier had an audience with American tycoon Elliot Broidy, who hinted on his intention to establish projects in Tanzania’s special economic zone.

The President was later yesterday expected to have talks with his host, US President Barack Obama at the White House’s Oval Office in Washington, DC.

Their talks would centre on, among other things, global challenges like the global financial crisis and instability in Africa.
 
Mawazo ya kinyumenyume kama haya ndiyo wanayo wananchi wengi. Mtu anayeweza kutumia computer ktk Tz anachukuliwa kuwa ame-advance kidogo mbele ya wale lundo wasioelewa lolote ...lakini ona hoja zake zilivo famba. No doubt watu kama huyu watamrejesha kwenye kiti cha ufalme mwakani ili aendeleze n'ngwe ya kuimasikinisha nchi..
 
Maendeleo yapi hayo ya afya jamani? Kikwete needs to touch base with reality. Atasutwa na kina mama na watoto wanaokufa bila sababu kila kukicha tanzania hii!
 
Kikwete pamoja na weakness zake ni lazima tukubaliane kwamba ana personality nzuri sana, kwa namna nyingine anaonekana kama president. Ingawa kikwete hana kipaji cha akili kama Obama au Mkapa personality yake inamsaidia sana na kumuezesha kuweka urafiki na viongozi wa nje. Kuna wale tuliokuwa tunashangaa je ni kwa nini Kikwete akai nyumbani kutatua matatizo na badala yake anasafiri tu, nimepata jibu mwaka huu. Agenda ya kikwete ni kuomba misaada kwasababu amegundua hana uwezo wa mipango na uongozi lakini anakipaji cha kupendwa na kuwa na personality nzuri. Hakuna hata mradi mmoja alioanzisha kikwete hata huu wa afya ni Mkapa lakini kwa sababu Mkapa hana personality nzuri kama VP Cheney hata uwezo wake wa fikra na kipaji cha akini lakini hawapendwi. Kwa miaka hii ya media, video na picha image ya raisi inasaidia sana tunachoomba kikwete asiongee sana na badala yake aachie washauri maana anatoa pumba sana.

Sasa miss TZ kazi yake ni ipi? Mambo ya kuwakilisha nchi kwa vigezo vya vipaji vya kutabasamu, kuonekana kwenye video/picha ziko kwenye anga za miss TZ. By the way ni analysis nzuri tu .. ila naona cons ni nyingi kuliko pros
 
Kikwete anaonekana kama president. Ingawa kikwete hana kipaji cha akili kama Obama au Mkapa . Kuna wale tuliokuwa tunashangaa je ni kwa nini Kikwete akai nyumbani kutatua matatizo na badala yake anasafiri tu, nimepata jibu mwaka huu. Agenda ya kikwete ni kuomba misaada kwasababu amegundua hana uwezo wa mipango na uongozi lakini anakipaji cha kupendwa na kuwa na personality nzuri. Hakuna hata mradi mmoja alioanzisha kikwete hata huu wa afya ni Mkapa lakini kwa sababu Mkapa hana personality nzuri kama VP Cheney hata uwezo wake wa fikra na kipaji cha akini lakini hawapendwi. Kwa miaka hii ya media, video na picha image ya raisi inasaidia sana tunachoomba kikwete asiongee sana na badala yake aachie washauri maana anatoa pumba sana.

JK.jpg

President Jakaya Kikwete
Teh...teh....teh,duhh! some things will never change.
 
Personality gani? Ya kushindwa kui-market nchi katika dakika chache za MSNBC?

Kama alivyojisemea kibabu mchonga, kwani umesikia wanatafuta mtu wa kunywa naye chai huko?

Usichafue maana ya neno personality, mtu anashindwa kuwatuliza wandengereko hapa Mtoni Kijichi na Mbagala ndiyo unasema anaweza kuwa na personality ya kimataifa?

Hivi Kikwete katika watu wenye personality utamuweka? Au unachanganya ulimbwende na personality?
 
Kikwete anaonekana kama president. Ingawa kikwete hana kipaji cha akili kama Obama au Mkapa . Kuna wale tuliokuwa tunashangaa je ni kwa nini Kikwete akai nyumbani kutatua matatizo na badala yake anasafiri tu, nimepata jibu mwaka huu. Agenda ya kikwete ni kuomba misaada kwasababu amegundua hana uwezo wa mipango na uongozi lakini anakipaji cha kupendwa na kuwa na personality nzuri. Hakuna hata mradi mmoja alioanzisha kikwete hata huu wa afya ni Mkapa lakini kwa sababu Mkapa hana personality nzuri kama VP Cheney hata uwezo wake wa fikra na kipaji cha akini lakini hawapendwi. Kwa miaka hii ya media, video na picha image ya raisi inasaidia sana tunachoomba kikwete asiongee sana na badala yake aachie washauri maana anatoa pumba sana.

JK.jpg

President Jakaya Kikwete

QUOTE]
Teh...teh....teh,duhh! some things will never change.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni JK anayo mambo mengi ambayo ameyafanya suala la kwenda kuomba misaada viongozi woote wameomba hata Rais wa awamu ya kwanza aliomba misaada hata huyo Mkapa naye aliomba misaada
 
kuna watakaosema nimemsifia raisi na wengine nimemtukana raisi lakini kwa upande wangu nimeongea ukweli.
 
Hivi Kikwete katika watu wenye personality utamuweka? Au unachanganya ulimbwende na personality?

This is fun, Huyo mkwere anapendeza kwenye luninga tu(akimaliza uraisi atangaze swahili news) else hamna kitu..
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni JK anayo mambo mengi ambayo ameyafanya suala la kwenda kuomba misaada viongozi woote wameomba hata Rais wa awamu ya kwanza aliomba misaada hata huyo Mkapa naye aliomba misaada

Had it been he has some plausible strategies to stabilize his economy then that could have been understandable. Chinese have a say, 'Never give hungry men fish, but teach them how to fish and they'll never go hungry again'. JK anaomba samaki badala ya kuomba nyavu, shit!
 
Raisi hapimwi kwa sura nzuri.


waambiage mwayego...kibaki,.bingu na marehemu mwanawasa si walimbwende lakini kazi mtindo mmoja....

kusema jk ni mzuri ni kututukana watanzania...hasa ukizingatia anapenda kuomba omba badala ya kufanya kazi...kweli hamtutendei haki kumuita rais wetu ...baba wa watoto mrembo[mzuri]..itabidi akienda kuomba msaada tumlinde kwa kumvalisha skin tight.....maana kama wanasema ni mzuri kuna kina balusconi ,sakozy et al ambao hawakawii kum pet wakitegemea mengineyo!!!.....naomba mseme our president has athlete figure sio mzuri ...maana siku hizi wanaume wengi wanaoitwa wazuri ni shakhula!!!
 
President Jakaya Kikwete’s efforts in promoting and executing sound and practical health programmes in Tanzania on Wednesday made him become the first African Head of State to receive a US Doctors for Africa award.

- Wakuu wakati mwingine tuwe positive kidogo, this yaani hii habari ni a good thing kwa taifa letu sio tu kwa rais wetu, sawa ana mapungufu yake lakini akipewa zawadi international kama hizi tuwe grateful japo kidogo basi, taifa la Tanzania ni bigger than Kikwete as individual jamani!

- Kwamba tuna-drag down taifa zima kwa sababu ya mpungufu ya huyu raia mmoja tu kati ya raia Millioni 40, pleeeeease!

Respect.

FMEs!

 
Back
Top Bottom