Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pinda Jiuzulu kazi imekushinda “Iwapo mnataka kumchagua tena Rostam zingatieni amewafanyia nini katika ubunge wake. Msisikilize kile kinachosemwa bungeni juu yake. Bunge lina mambo yake...
0 Reactions
78 Replies
8K Views
********************************************************** Waweza kusoma habari hii hapa chini au attachment niliyoambatanisha humu ambayo ni scan ya gazeti la TUMAINI LETU...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aliyedaiwa kuwa ni "FISADI WA ELIMU" Dr.Milton Makongoro Mahanga amefungua Civil case No.145 ya mwaka 2009 dhidi ya; 1.KAINERUGABA MSEMAKWELI. 2.MUHIBU SAIDI. 3.MANAGING EDITOR,NIPASHE. 4.THE...
0 Reactions
127 Replies
16K Views
mjane wa marehemu habyarimana ageukwa na maswahiba wa mumewe. kwa maelezo zaidi soma hapa chini http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2010/03/100302_habyarimana.shtml
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa wale walio UK wanaweza kuangalia BBC channel 4 maisha ya Zimbabweans today so sad story ..... .... Zimbabwe's Forgotten Children http://www.bbc.co.uk/bbcfour/watchlive/ Zimbabwe's...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
na Betty Kangonga MFANYAKAZI wa Wizara ya Nishati na Madini, Doroth Mtweve, amehamishwa kutoka makao makuu ya wizara hiyo baada ya kudaiwa kuvujisha siri za ofisi kuhusiana na sakata...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Kusemaga ule ukweli, Zamani nilipokuwa nasikia 'serikali ina mpango kamambe wa...' (fill in the blanks: 'maji kwa wote ifikapo mwaka 2000; 'afya kwa wote ifikapo mwaka 1990'; 'Structural...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asubuhi ya leo nikiwa mbele ya kituo cha Polisi Salendar Bridge ulipita msafara wa kiongozi mmoja wa juu serikalini anaenda zake ofisini ulikuwa msusururu wa magari ya kifahari...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The president? The ministers? CCM? The Secret service? religious leaders? Big businessmen? "Mafia" kingpins? Outside powers? Looking quickly at our country it's hard to tell whose running the show.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndiyo Tunawaudhi!! Wanakaa chini na kujiuliza kwanini tunawafuata fuata! Wanakereka tunapoandika na kuwajadili na wanaona tunawaandama pasipo sababu ya msingi. Wanachukia na wangekuwa na uwezo...
0 Reactions
110 Replies
12K Views
Date: 26 February 2009 Title: Tanzanian publisher admits Mozambican author not properly quoted Author: Fernando Veloso New Africa Press, the publishers of "Nyerere and Africa: End of an...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kumezuka wimbi la baadhi ya viongozi wa CCM na jumuia zake kutaka Kikwete awe mgombea pekee wa urais kupitia CCM......hivi kuna tatizo gani kumpambanisha na wana-CCM wengine wenye nia ya kugombea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hili limeanza kuwashtua wanachama wengi wa upinzani baada ya kuona sasa kila mwenyekiti anataka kwenda kugombea ubunge jimboni mwake mrema ameanza kukimbilia moshi mjini,mbatia nae...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakati tumebakiwa na takriban miezi 6 kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu wa Rais na wabunge,vyama vya upinzani vimeendelea kuwa kimya kuhusu wagombea wao katika nafasi ya urais huku baadhi ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CUF mambo magumu Bukoba na Ashura Jumapili, Bukoba CHAMA cha Wananchi (CUF) katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera kimeendelea kupoteza umarufu wake siku hadi siku kufuatia kuondokewa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Obama Atakiwa Aache Kuvuta Sigara Rais Barack Obama wa MarekaniMonday, March 01, 2010 6:54 AM Rais Barack Obama wa Marekani ametakiwa aache kuvuta sigara na daktari wake.Rais Obama ametakiwa na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Basi la AM lililokuwa linatokea Moshi/Arusha limeua baada ya kupata ajali. km chache kabla ya kufika Nzega mjini. Poleni wafiwa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Raisi Jakaya Kikwete amehitimisha uteuzi wa wabunge 10 wa kuteuliwa na rais kwa kumteua Bw. Ismail Jussa Ladhu, wa CUF na Janet Mbene wa CCM kuwa wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
112 Replies
14K Views
Ni mtizamo wangu kwamba kutokana na viongozi wa vyama vikubwa vya upinzani kuamua kugombea ubunge,ni wazi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kuongezeka idadi ya wabunge wa upinzani bungeni kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ili kupunguza ajali barabarani, Serikali ya Tanzania imeamua kuweka Gavana kwenye kila Basi na Lori eti kudhibiti mwendokasi wa Magari haya. Lakini Barabara zetu bado ni mbovu, zina matuta...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom