Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naona ubalozi wetu huko London unawakilisha CCM zaidi ya serikali ya Tanzania.Tangu balozi wa sasa ateuliwe balozi nyingi zimefunguliwa karibu nchi nzima.Juzi alihudhuria mnuso wa CCM huko mjiniu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
OMBI MAALUM: Nimeamua kuliweka hapa hili ombi kwa sababu kuu mbili; Yakwanza ikiwa hapa ndipo wana-JF wengi zaidi wanafika ukifananisha na majukwaa mengi na sababu ya pili ikiwa ombi langu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mi nashangaa sana eti mjadala wa sasa ni 'haki sawa kwa wote' eti wakiwa na maana kuwa mwanamme na mwanamke wote wawe sawa kwenye kila nyanja, wana hoja yao eti wanawake wamekandamizwa mda mrefu...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Wadau mwenye soft copy ya Azimio la Zanzibar aning'inize humu jamvini pls! Salute kwa wote. ====== MAAMUZI YA ZANZIBAR, 1991 HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM, RAIS ALI HASSAN MWINYI WAKATI...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwenye wavuti ya Bunge la Tanzania kuna sehemu ya kumuuliza Spika: ASK THE SPEAKER Hon.Samuel Sitta(MP) Online interactive forum with the SPEAKER Cha kushangaza nimemwandikia Spika na kuwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauliza Mh Warioba mbona kimya,hapo zamani alikuwa na kawaida ya kutoa maoni au kushauri juu ya mustakabali wa nchi yetu pale Wakubwa walipokuwa wanafanya madudu yao.Lakini baadaye tukasikie kuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kutokana na taarifa zilzo toka tume ya uchaguzi na nyaraka zake kutumwa kwenye vyama vya siasa nchini kuhusu ushiriki wa vyama vya siasa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ambalo dar ni 22...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF naweza kuconfirm kuwa Maalim Seif Hajafariki kama uvumi ulivyoonea wakti wa Magharibi bali alianguka tuuu na akapelekwa hospitali ya Hindu Mandal...so far habari ni kuwa hajafa na yu...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kuna habari kuwa uchaguzi mkuu wa oktoba mwaka huu huenda usifanyike endapo serikali itaendelea na msimamo wake wa kutoruhusu mgombea binafsi inasemekana kuwa mawakili mbalimbali wakishirikiana na...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Jana Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro na mbunge wa Iringa mjini kaweka wazi nia yake ya kutetea jimbo lake, Mama huyu ambaye hakubaliki sana kwenye jimbo lake kiasi cha watu kuamini kuwa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
CHAMA cha siasa chenye usajili wa muda cha CCJ (Chama Cha Jamii), kimeondokana na mpango wa kutumia picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwenye kadi zake za uanachama... Hatua hiyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naanza kumchunuku Jaji Kiongozi.. nimemfuatilia tangu alipoteuliwa na kwa namna fulani nimegundua kuwa haumi umi maneno na anasema kila anchomaanisha. Safari amenigusa kwenye jambo hili jingine la...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakati tuko bize na huu wa NHC kuna mwingine unaendelea kule DAWASCO (ambao kuna wakati walinipiga mkwara nisianike data za deal nzima ya Privatization yao). Naam katika hii game ya MICHEZO ya...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Na hii hapa chini maeneo ya Msasani Hapa ni njia ya kituo cha Polisi cha Msimbazi kama kinavyoonekana kwa mpiga picha. Nimepata picha hii toka kwa Evarist Chahali FB; Ninajiuliza: a. Uchafu...
0 Reactions
92 Replies
9K Views
taarifa toka njia panda ya mzumbe pale morogoro ni kwamba basi la scandnavia la kwenda mbeya limewaka moto likiwa na abaria wote garini. Hakuna aliyepoteza maisha. Chanzo cha habari amesalimika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Marekani.com Nataka kutengeneza mtandao wenye hilo jina la Marekani.com. Kama Mswahili uliyeko Tanzania, au popote pale; ungependa kuona taarifa gani, au huduma zipi kwenye mtandao wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo wanawake wa wanasiasa wa Tanzania wamefanya uzinduzi wa Jukwaa la Wanawake wa Vyama vya siasa Tanzania (Tanzania Women Cross Party Platform,TWCP)lililofanyika katika ukumbi wa Karimjee...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tanesco bosses fired over Sh280 billion loan scam Former Tanesco Managing Director Dr Idris Rashidi. Two top directors of the cash strapped power utility firm have been suspended...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaji mkuu Ramadhan amewashangaza watu kwa kutumia pesa ambayo alipewa kukarabati nyumba yake na kuamua kwenda kukarabati jumba la kumbu kumbu ya Jaji mkuu wa kwanza wa Tanzania Bw. Said. Sherehe...
0 Reactions
74 Replies
8K Views
Jana nilitoa "Tamko kwa Vyombo vya Habari kuhusu Taarifa ya Sekretariati ya Maadili ya Viongozi wa Umma" ( Unaweza kulisoma tamko lote hapa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom