We tanzanian we need to change the way we believe on issues about our nation. if we change the belief the performance follows ie if you and me change the our belief we can change the way we run...
Mwandishi Maalum
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema kuna uwezekano wa kuanzishwa mkoa mpya ambao umependekezwa uitwe Katavi utakaozihusisha wilaya za Mpanda (Rukwa) na sehemu ya Wilaya ya Urambo...
na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Utangazaji la Tanzania (TBC), linatarajia kurusha nchi nzima matangazo ya mwenendo wa zoezi la uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani utakaofanyika baadaye...
MREMA NAYE ATANGAZA RASMI KUMPIGIA KAMPENI KIKWETE 2010
Waandishi Wetu
MBUNGE wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ameponda maelekezo ya Rais Jakaya Kikwete kwa wanasiasa kuhusu...
Mufti aunda kamati kuwahamasisha nchi nzima
na Lucy Ngowi
VIJANA wa Kiislamu nchini wamehamasishwa kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi nchini katika kipindi hiki cha...
Wanabaraza;
Leo nimesikia katika udondozi wa magazeti kupitia redio kuwa Waziri Celina Kombani yuko ndani ya Sakata la Jerry Muro.
Mwenye taarifa zaidi atujuze...
Nimetoka sasa katika Mkutano mkuu wa Mwanza wa Takukuru ambako Rais Kikwete alikuwa Mgeni rasmi hapa jijini Mwanza.
Kikwete wakati wa kufungua mkutano wa mwaka wa TAKUKURU, emeonyesha furaha...
Alitimuliwa pamoja na Baregu na kanyimwa haki zote za msingi kama mwajiriwa kama mafao etc. Kweli inasikitisha kwa hali inayoendelea hapo UDSM. Inahisiwa kuwa alishiriki kwenye mgomo wa wanafunzi...
nasema TZ ikiendelea kulala kama argentina basi itafika siku tutaambiwa kuwa ZNZ siyo ya kwetu.
waingereza wameanza kuchimba mafuta falklands wakati argentina wakiwa wamelala.
mfano mzuri ni china...
Huyu alikuwa mwl. wa hisabati pale UDSM aliyependa sana mizaha akiwa darasanai, mojawapo ni hii hadithi hapa:
Hapo zamani za kale akili zilikuwa zinauzwa. Basi mtu mmoja akaenda kununua akili...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Mara kimepanga kufanya maandamano makubwa ya kuingia ndani ya mgodi wa dhahabu wa North Mara, wilayani Tarime kudai asilimia moja ya vijiji...
habari ifuatayo ni tetezi, bado nafuatilia kujua kama ni ya kweli. hasa kufahamu ni kampuni gani imekumbwa na maswahiba haya.
"majambazi yamevamia ofisi za kampuni mpya ya simu jana mahira ya...
ASEMA WATAKAONUNUA KURA, WATAKAOOMBA RUSHWA KUKIONA
Frederick Katulanda, Mwanza
RAIS Jakaya Kikwete amesema ataisaini kwa mbwembwe sheria ya matumizi ya fedha katika uchaguzi na kuwaonya...
Jamani naomba kueleweshwa hivi kwa nini kusiwepo na kipindi cha ukomo cha ubunge kama ilivyo kwa rais.
Raisi TZ ana vipindi viwili vya miaka mitano mitano cha kuwa rais.
Unakuta mbunge huyohuyo...
Kuna minon'gono nimeisikia lakini sijaithibitisha kuwa Mwenyekiti wa UWT Mheshimiwa Sophia Simba kamtosa HASNA MWILIMA na si Katibu Mkuu tena wa UWT. Mwenye kujua atujuze.
Sioni vijana (kati ya miaka 20 - 30) wakipata nafasi muhimu katika siasa za nchi zetu za Afrika.
Nafasi nyingi za juu za kisiasa zimekaliwa na wazee walioshiba miaka.
Hii ina maana kwamba vijana...
RAIS Jakaya Kikwete amesema watakaojihusisha au kutuhumiwa kwa vitendo vya rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi ndani ya vyama vya siasa na wakati wa uchaguzi mkuu ujao, watachukuliwa hatua kali za...
Alisema anayekaimu nafasi hiyo kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo, Amina Makillagi.
Kwa mujibu wa Makame, UWT inasikitishwa na uvumi ambao umesambaa kuwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya...
Wakuu,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ni mwaka huu 2010.
Tafadhali leteni updates za mchakato wa uchaguzi huo bila kujali chama au aina ya uchaguzi (Rais, Wabunge, n.k)
Itakuwa vema tukipeana updates...
Hi to all wadau wa kiringe hiki chenye wataalam wa uchambuzi wa mambo kadha wa kadha. Naomba mfungue attachment niliyotuma muweze kuona jinsi wawakilishi wetu pale Bungeni Dodoma wanavyotupigania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.