Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Amos Makala awashukia Mbowe na Dr Slaa kwa ufisadi Mweka hazina wa CCM Amos Makala ameendelea na mkakati wake mahiri wa kuisafisha CCM. Leo katika mkutano wake na wanachuo wa IFM ameisafisha...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Mnyika atafutwa na polisi mkoani Mbeya Na Felix Mwakyembe, Mbeya VIONGOZI wawili waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana walikamatwa na Jeshi la Polisi, mkoani Mbeya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viongozi wa CUF kuchaguliwa Feb 23-27 Salim Said MWENYEKITI atakayeongoza Chama cha Wananchi (CUF) kwa kipindi kingine atajulikana mwezi ujao wakati baraza kuu la uongozi la chama hicho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rostam Aziz kugeukia Waislamu, Kuibua wengine CHADEMA Nilisema hapa miezi mingi nyuma kuwa Rostam kumtumia Chacha Wangwe kuibomoa CHADEMA. Watu wakasema nasema udaku. Leo CHADEMA ineshavikwa...
0 Reactions
196 Replies
24K Views
Ngawaiya: Simuombi radhi Ndesamburo Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Taasisi ya Utawala Bora na Maendeleo (Cegodeta), Thomas Ngawaiya amesema hayuko tayari kumuomba radhi na kumlipa fidia ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Niliwahi kuandika siku za nyuma mkakati mzima wa Rostam na ule wa Gachuma. Na katika kuandika nikamtaja na mtu mmoja aliyeitwa Mariam Chacha Wangwe. Niliacha kuendelea kuandika kwa heshima ya...
0 Reactions
144 Replies
17K Views
Katika uchunguzi wa Ernst and Young kuhusiana na ufisadi wa EPA katika mwaka 2005/2006 iligunduliwa kiasi cha shilingi bilioni 133 ziliibwa na kuwanufaisha mafisadi. Inawezekana kabisa kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwandishi Wetu Daily News; Friday,January 16, 2009 @20:00 JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limegundua mafuvu 40 ya binadamu na mifupa mingine katika shimo chini ya mti wa mbuyu.Taarifa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Date::1/16/2009 Kwa masharti haya UDSM ni wabaguzi Mwananchi MWISHONI mwa mwaka jana wanafunzi wa shahada ya kwanza kutoka vyuo vikuu saba vya umma nchini, walisimamishwa masomo kutokana na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yule kijana msomi mchakapakazi, Amosi Makala amefanikiwa mpaka sasa kumzidi kete mpinzani wake Suleman Sadiq "Murad". Bwana Makala ambaye amefanikiwa kujijengea jina Mvomero kutokana na uadilifu...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Death toll alongside 1. Second World War - 20 million + 2. First World War - 8.5 million 3. Korean War - 1.2 million 4. Chinese Civil War (1945-49) - 1.2 million 5. Vietnam War - 1.2...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni wazi kuwa kama hali ya kisiasa itaendelea kama ilivyo sasa huku watawala wakiendelea na imani potofu kuwa CCM ni Tanzania na Tanzania ni CCM, ipo siku nchi yetu itafika walipofikia makamarade...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu hii imekaaje kama wameanza kupigana wenyewe kwa wenyewe? Kuna watu wana hatimiliki ya majimbo? Mbunge CCM amtwanga konde M'kiti UV-CCM Na Mussa Juma, Monduli MBUNGE wa jimbo la Simanjiro...
0 Reactions
92 Replies
14K Views
Nataka tuwapambanishe Mwenyekiti mpya wa UWT, Sophia Simba na Mkurugenzi mpya wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA), Mama Naomi Kaihula. Tupitie walipopita tuone nani anaweza kuongoza...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
2009-01-17 08:19:00 Fears ahead of UDSM reopening By Beatus Kagashe THE CITIZEN Fears are mounting of possible demonstrations by students who have not yet been recalled to public...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Wanabodi Naomba kwa mwenye habari zaidi atufahamishe kuhusu hili. Katika taarifa ya habari ya jana (3 Novemba 2008) saa mbili usiku, na leo asubuhi (04 Novemba 2008), kituo cha ITV...
0 Reactions
361 Replies
50K Views
Yasema ni wababaishaji wasio na agenda :: Yawahusisha Zitto, Kiwelu na watuhumiwa EPA :: Wao wakiri kuwa na undugu na wanaotuhumiwa :: Mbatia naye awataja kuwa ni waongo wa hoja Benedict...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kambi rasmi ya upinzani kuvunjika hivi karibuni. Hatua hiyo inatokana na msuguano kati ya CHADEMA na CUF. Wadadisi wa mambo wanasema kwamba kwa kanuni za bunge zinasema kwamba chama au ushirikiano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Gazeti la Mwanahali limekamilisha kifungo cha miezi 3 (siku 90) na sasa lipo mitaani likiwa na habari motomoto juu ya kuibwa kwa nyaraka za EPA pale BOT pia kuhusu mmiliki wa Kagoda. fungua...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Yafuatayo ni mambo ambayo yamekubaliwa kufanywa baada ya uongozi wa Mamlaka ya Bandari, Wizara ya Miundo Mbinu na Ikulu kukutana jana. Hebu tuyaangalie na tuamue ni yapi yalimhitaji Rais na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom