Na Mwandishi Wetu
Mwananchi
10/7/2009
MBUNGE wa Maswa, John Shibuda (CCM), ameendelea kuwa mwiba kwa Baraza la Mawaziri, baada ya kuhoji mantiki ya rasimu ya itifaki ya matumizi ya Mto Zambezi...
Hili ni suala nimekuwa najiuliza sana huko Tanzania. Tunaelewa kuwa Mwaka huu mwezi Oct kuna chaguzi za Serikali za mitaa yaani kuchagua wenyeviti wa Serikali za mitaa na wajumbe wao.
naona kuwa...
Makamba ahimiza mapambano dhidi ya ufisadi
na Jacob Ruvilo, Kigoma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusufu Makamba, amesema ufisadi unapaswa kupigwa vita na kila Mtanzania mzalendo...
Nilikuwa nasikiliza vyombo vya habari, nikamsikia msajili wa vyama vya siasa mzee Tendwa akiwaambia askari polisi kuwa wawachukulie hatua za kisheria viongozi wa vyama vya siasa watakaosababisha...
THERE is a serious rift within the Chama Cha Mapinduzi (CCM) establishment despite assertions to the contrary being made by ruling party elites, Mwalimu Nyerere Foundation Executive Director...
2009-10-07 07:14:00
Court suspends Jeetu theft case
By Rosina John
THE CITIZEN
The Kisutu Resident Magistrate Court has agreed to stop hearing the Sh9.7 billion theft case against Dar es...
2009-10-07 07:31:00
PUBLIC LEADERSHIP: Push for change
THE CITIZEN
Former Cabinet minister Ibrahim KadumaFormer Cabinet minister says the Speaker shouldn't be an MP as calls are made at a...
JOTO la kuwania nafasi ya ubunge ndani la Jimbo la Morogoro Mjini limezidi kupanda, baada ya kuwapo habari za kuaminika kuwa zaidi ya watu wanne wamejitokeza kutaka kuchukua fomu katika uchaguzi...
Deep divisions exist in CCM, says Butiku
THERE is a serious rift within the Chama Cha Mapinduzi (CCM)
establishment despite assertions to the contrary being made by ruling party elites...
Dk. Kessy (udsm)amesema mfumo unaosababisha wingi wa vyeo katika halmashauri za wilaya, unaongeza gharama na kusababisha matatizo kati ya viongozi na watendaji.
Alitoa mfano wa nafasi hizo kuwa...
Yawezekana tumeshasahau au kama tunakumbuka basi tunakumbuka walichokifanya lakini hatukumbuki ni nani walifanya kitu hicho. Wengi wetu letu tumedandia garimoshi la vita dhidi ya ufisadi na...
Mchezo wa siasa waanza.
Baada ya Zombe kutamba jana nyumbani kwake kuwa serikali itapoteza muda na fedha kwa kumkatia rufaa, kwani atashinda, leo serikali imeibuka na kukata rufaa.
Leo jioni...
Raisi wa Jamhuri ya Watu wa Tanzania atawasili Houston, Texas USA kwa ziara ya siku mbili kuhudhuria ufunguzi wa DICOTA iliyoandaliwa na baadhi ya watanzania waishio marekani wakishirkiana na...
It has come to my attention that history is rewritting itself at a crucial time when the world is busy with the economic melt-down that it has failed to take cognisance of a great...
Na Saed Kubenea
MwanaHALISI
MVUTANO wa aina yake unatarajiwa kuibuka wiki ijayo kati ya bunge na serikali juu ya kampuni ya kufua umeme ya Richmond, imefahamika.
Baadhi ya wabunge wamejiapiza...
Kuna taarifa kwamba mmoja wa wapiganaji wa vita dhidi ya ufisadi ndani ya CCM, kijana Nape amezidi kuweka mizizi jimbo la ubungo kuhakikisha anashinda kupitia ccm, huku wakati huohuo, kijana...
Maaskofu zaidi ya 200 toka barani Afrika wanakutana jijini Rome, Italia kujadili namna ya kuondoa ufisadi, mapinduzi na namna ya kukomesha unyonyaji mataifa madogo ya kiafrika dhidi ya mataifa...
05 Oct 2009
The United Republic of Tanzania has extended US$200 000 in budgetary support package to be deployed in aiding the Short Term Emergency Recovery Programme, STERP.
The US$200 000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.